"Hakuna mchezaji wa yanga sc anayeweza kuanza kwenye first eleven ya simba sc" - Ahmed ally

"Hakuna mchezaji wa yanga sc anayeweza kuanza kwenye first eleven ya simba sc" - Ahmed ally

Kwan kasema uongo? Acheni kuwafananisha wachezaji wa simba wanaocheza ligi za kimataifa na hao wachezaji wenu wa mchangani.. simba imesajili kwa malengo ya sio tu kucheza NBC mnayohangaikia nyie bali hata match za CAF cofederation... hilo kombe la NBC kwa simba na yanga halina maana yoyote zaid tu kama njia ya kufuzu kucheza CAF champions.. simba lengo letu ni kuadvance ili tupambane kimataifa ndo maana sajili zetu zinaguza kila pembe ya africa ili tupate vipaji vya maana tofauti na nyie utopolo harakati zenu ni kupambania NBC ilimuendeleze pambio zenu za mabingwa wa kihistoria.... stupid... na ndo maana sajili zenu ni wakongomani tu..
 
Msemaji wa Simba SC, Ahmed Ally amesema labda Khalid Aucho tu ndio kidogo anaweza akakaa benchi.
Kuna Jambo Nilikuwa naamini kaaingiziwa kuhusu kumuacha Lwanga sababu ya majeruhi. Kumbe si Kila akili ina akili. Haya hayapaswi kuwa maneno ya Msemaji wa timu yanapaswa kusemwa na shabiki tu wa Mpitimbi au Sangamwalugesha huko. Juzi alisemà wenzao wanatamani kuwa na Msemaji kama yeye, Sasa hapa ana tofauti gani na Manara maana haya ndo yalikuwa maneno ya Manara.
Kwa elimu yake na exposure aliyopata Azam Media alistahili kujitofauyisha na Wasema ovyo lakini kumbe ndo anazama kabisa? Au anaongea wanachotaka kusikia mashabiki na siyo kinachotakiwa kusikiwa na Mashabiki?
 
Kumbe Ahmed Ally ni mpumbavu alokuwa kajificha Azam Media. Yanga hii anaweza kuiongelea namna hiyo kweli?
Hana baya Msemaji wa Mabingwa Nchi Simba SC, kasema ukweli yaani..!

Ukija kiungo wa chini, Aucho hawezi kumweka bechi Mkude wala Lwanga na ukija kiungo wa juu, Aucho hawezi kumweka bechi Chama wala Kanoute.
 
Haka kajamaa ni kapumbavu fulani tu,ila mm sishangai maana ndo sisi mashabiki wa simba tunapenda kusikia....ila kiukweli Shaban Juma hawezi kuwa chini ya Kapombe,Aucho hawezi kuwa chini ya kanoute au mkude,Mayele hawezi kuwekwa bechi na boko,kagere,mugalu...feisal hawezi kuwekwa bechi na bwalya,mzamiru....Saido hawezi kuwekwa bechi na kibu...
 
Haka kajamaa ni kapumbavu fulani tu,ila mm sishangai maana ndo sisi mashabiki wa simba tunapenda kusikia....ila kiukweli Shaban Juma hawezi kuwa chini ya Kapombe,Aucho hawezi kuwa chini ya kanoute au mkude,Mayele hawezi kuwekwa bechi na boko,kagere,mugalu...feisal hawezi kuwekwa bechi na bwalya,mzamiru....Saido hawezi kuwekwa bechi na kibu...
Bahati mbaya zaidi ni kuwa mchezo huu huwa unachezwa hadharani si gesti.
 
Back
Top Bottom