"Hakuna mchezaji wa yanga sc anayeweza kuanza kwenye first eleven ya simba sc" - Ahmed ally

"Hakuna mchezaji wa yanga sc anayeweza kuanza kwenye first eleven ya simba sc" - Ahmed ally

Bahati mbaya zaidi ni kuwa mchezo huu huwa unachezwa hadharani si gesti.
Mungu alinisaidia sana kutokuwa na ushabiki maandazi kama huo wa Ahmed Ally maana ni ugonjwa. Unajua kutokubali mazuri ya mwenzio kama yapo ni ugonjwa mbaya sana. Yaani shabiki wa Yanga kwa ushabiki tu wa kishabiki anaweza kukana uwezo wa Manula dhidi ya Kindoki kipindi kile yuko Yanga! Kwa shabiki wa Simba Mzamiru ni bora mara 10 kuliko Feisal Salim.
Ndo maana unaona msemaji wa timu anaamini Aucho hana Namba mbele ya Mkude na mashabiki wa Simba kwa vile ndo msemaji wao wanatoka na mabango kama unavyomuona Mropokaji Scars. Muda wote nitaendelea kuamini shabiki bora wa Simba aliyeko JF ni Gentamycine na wa Yanga ni Shadeeya. Hawa angalau wanakubali udhaifu na kusifu ubora kama upo, wengine ni bora liende.
 
Kumbe huyu jamaa ni kilaza namna hii??
Nyie mbona mmeumia sana kusema hivyo?

Mmesahau Manara wenu alisema wakati ulee kuwa hakuna mchezaji wa Yanga kucheza Simba, labda kidogo Feisal

La ajabu lipi? Yaani mnatingishwa kidogo tu halafu mnatingishika..!
 
Mungu alinisaidia sana kutokuwa na ushabiki maandazi kama huo wa Ahmed Ally maana ni ugonjwa. Unajua kutokubali mazuri ya mwenzio kama yapo ni ugonjwa mbaya sana. Yaani shabiki wa Yanga kwa ushabiki tu wa kishabiki anaweza kukana uwezo wa Manula dhidi ya Kindoki kipindi kile yuko Yanga! Kwa shabiki wa Simba Mzamiru ni bora mara 10 kuliko Feisal Salim.
Ndo maana unaona msemaji wa timu anaamini Aucho hana Namba mbele ya Mkude na mashabiki wa Simba kwa vile ndo msemaji wao wanatoka na mabango kama unavyomuona Mropokaji Scars. Muda wote nitaendelea kuamini shabiki bora wa Simba aliyeko JF ni Gentamycine na wa Yanga ni Shadeeya. Hawa angalau wanakubali udhaifu na kusifu ubora kama upo, wengine ni bora liende.
Ukielewa falsafa ya wasemaje wa hizi Timu hupati shida wala mashaka hayo unayojipa.

Narudi tena Manara amewatukana sana na kuwadhihaki mno Yanga lakini sasa ndo Msemaji wao. Na aliwahi kusema hakuna mchezaji wa kucheza Simba pale Yanga.

Masau Bwire anavyosema Ruvu ni Barcelona ya Bongo unamlaumu vipi?

Kujipa ukakasi ni kujitakia tu..!
 
Na hakuna m hezaji wa Simba anae weza kuanza fest ileven ya yanga labda chama
Yes..yaani wewe ndo umeelewa falsafa ya hawa Wasemaji wa Timu

Kuna wengine hapa JF nilikuwa nawaamini kuwa wa hoja Kuntu lakini wanalia lia tu kama Watoto ilhali Manara alishawahi kusema hivyo, na wala hawakupanik kihivyo.

Tena akaenda mbele zaidi kusema Yanga wote Hamnazo, sasa je ni kweli?
 
Jamaa mpaka aondoke Simba atakuwa mwehu 100%.
Naona kapoteza tafakari kabisa.

Maneno haya ndiyo yanawapanikisha mashabiki wachezaji na benchi la ufundi, kwa kuamini katika ubora ambao haupo.
Mtibwa akitoa sare au kushinda hata huyu atapoteza kazi!
Wewe ni nani mpaka kusema Mtibwa akishinda au kutoa sare, Afisa habari wa Simba atapoteza kazi...!

Manara aliposema tunaenda Zanzibar na kombe na tutarudi nalo hatuachi kitu safari hii

Baada ya kuangukia pua, alipoteza kazi?
 
Mungu alinisaidia sana kutokuwa na ushabiki maandazi kama huo wa Ahmed Ally maana ni ugonjwa. Unajua kutokubali mazuri ya mwenzio kama yapo ni ugonjwa mbaya sana. Yaani shabiki wa Yanga kwa ushabiki tu wa kishabiki anaweza kukana uwezo wa Manula dhidi ya Kindoki kipindi kile yuko Yanga! Kwa shabiki wa Simba Mzamiru ni bora mara 10 kuliko Feisal Salim.
Ndo maana unaona msemaji wa timu anaamini Aucho hana Namba mbele ya Mkude na mashabiki wa Simba kwa vile ndo msemaji wao wanatoka na mabango kama unavyomuona Mropokaji Scars. Muda wote nitaendelea kuamini shabiki bora wa Simba aliyeko JF ni Gentamycine na wa Yanga ni Shadeeya. Hawa angalau wanakubali udhaifu na kusifu ubora kama upo, wengine ni bora liende.
Aucho hana namba mbele ya Mkude ndio sio uongo. Kwenye ligi hii hakuna midfielder anapiga pasi kama mkude. Labda ungesema kanoute

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Aucho hana namba mbele ya Mkude ndio sio uongo. Kwenye ligi hii hakuna midfielder anapiga pasi kama mkude. Labda ungesema kanoute

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hakuna mchezaji anaemzidi Litombo bangala pasi na ndio mchezaji alieweka rekodi ya kupiga pasi nyingi kwenye mchezo mmoja
source. @mpira takwimu
 
Mimi ni simba damu lakini ukweli usemwe huyu msemaji tumepigwa, maneno kama haya yanaharibu jina la club sasa haiwezekani badala ya kuongelea timu yetu anawaza vijembe kama shoga
 
Back
Top Bottom