Hakuna mkate mgumu kwenye chai, hakuna mwanaume anayeweza kumnyima mwanamke pesa

Hakuna mkate mgumu kwenye chai, hakuna mwanaume anayeweza kumnyima mwanamke pesa

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Hiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam.

Ipo hivi. Pamekua na mambo mob sana hapa ndani, na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba "kumtunza ama kumhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa/noti/njaro".

Nasema hivi: Ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu kutokumuhudumia mwanamke "amini hana hela".
Tafuteni hela vijana, kumhudumia mwanamke ni kitu ya asili and that's nature.

Nature inasema, mwanamke anapaswa ahudumiwe na mwanaume, haijalishi nini yani.

Ebu hudumieni wanawake zenu maze.

Pia soma: Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako
 
C5391BE6-0F48-49C7-9BCD-1F629B0C7607.jpeg
 
Kuchapiwa hakunaga formula ni automatically tu ngoma himo.........
Police anachapiwa

Mjeshi anachapiwa

Muuza genge naye anachapiwa

Doctor anachapiwa

Boda boda anachapiwa

Jobless nao wanachapiwa

Walala hoi nao wanachapiwa

Masheshe wanachapiwa

Mim binafsi nishakula demu wa Mganga..........
 
Hiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Pamekua na mambo mob sana hapa ndani, na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba "kumtunza ama kumhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa/noti/njaro".
Nasema hivi.....
Ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu kuto kumuhudumia mwanaume "amini hana hela".
Tafuteni hela vijana, kumhudumia mwanamke ni kitu ya asili and that's nature.
Nature inasema....
Mwanamke anapaswa ahudumiwe na mwanaume, haijalishi nini yani.
Ebu hudumieni wanawake zenu maze....
Hongera classmate
 
Binafsi niliwahi kushuhudia one of the richest man Tz akimpea Ke 30 millions Tsh.
Hakika nilishangaa sana, na nilipokua mkubwa nilikuja gundua kwamba that's nature.
 
Serikali inampangia Tycoon matumizi ya pesa yake..🤣
 
Hiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Pamekua na mambo mob sana hapa ndani, na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba "kumtunza ama kumhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa/noti/njaro".
Nasema hivi.....
Ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu kuto kumuhudumia mwanaume "amini hana hela".
Tafuteni hela vijana, kumhudumia mwanamke ni kitu ya asili and that's nature.
Nature inasema....
Mwanamke anapaswa ahudumiwe na mwanaume, haijalishi nini yani.
Ebu hudumieni wanawake zenu maze....
Mbona mi ME sikupi wewe KE pesa? 😀😃
 
Kizazi hiki hakiangalii tamaduni kuliko logic. Wengi wanajiuliza "kwa nini" ni lazma na wakati huo huo wanawake wanaona ufahari zaidi kujitegemea kuliko kutegemea wanaume tofauti na vipindi vilivyopita.

Hata hivyo sasa hivi dunia inarudi kisingeli nyuma maana kuna wanaume wengi tu wanategemea wanawake wanaojiweza ili wakwepe majukumu ya kuwa mume au baba kama provider wa familia
 
Back
Top Bottom