Aiseee...mwanamke akivaa hizi sleeveless dresses mie hoi kabisaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee...mwanamke akivaa hizi sleeveless dresses mie hoi kabisaaa
NAKAZIAAlways remember that there's no refund policy in a relationship
Mafala yanapigwa halafu yanajikuta gentlemenUsenge ni nini?
Ni pale wanaume zaidi ya watano mnamhudumia mwanamke mmoja bila nyie kujijua
Go through her phone uone mnavyopangwa
Always remember that there's no refund policy in a relationship
Learn or perish
Hizi ndizo nyuzi ambazo nazitaka na usisite kunitag kila unapoziona, kwa sababu mimi nipo hapa kwa ajiri ya kuwaokoa masimp kama huyu mleta mada, mimi ni kama dokta hospitali nipo kwa ajiri ya kutibu wagonjwa sasa kusipokua na wagonjwa hakutakua na uhitaji wangu tenaHizi ndio nyuzi ambazo Kina Zemanda na Natafuta Ajira hawapendi kuzionaa
hata kama akiolewa bado ni jukumu lako kumuhudumia vipi mwanao akikwama hautamuhudumia kisa kaolewa..?Usijipe umuhimu kwenye majukumu yasiyokuhusu
Ni jukumu la baba kumhudumia binti yake ambaye hajaolewa
Akishaolewa ni jukumu la mume wakehata kama akiolewa bado ni jukumu lako kumuhudumia vipi mwanao akikwama hautamuhudumia kisa kaolewa..?
😂 tujisalimie wenyewe sioHiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam.
🌷🌷🌷Maua yakoHiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Pamekua na mambo mob sana hapa ndani, na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba "kumtunza ama kumhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa/noti/njaro".
Nasema hivi.....
Ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu kuto kumuhudumia mwanaume "amini hana hela".
Tafuteni hela vijana, kumhudumia mwanamke ni kitu ya asili and that's nature.
Nature inasema....
Mwanamke anapaswa ahudumiwe na mwanaume, haijalishi nini yani.
Ebu hudumieni wanawake zenu maze....
Mtoa mada yuko sahihi tafuta pesa acha kuwapangia wanaume wenzako namna ya kutumia za kwaoHizi ndizo nyuzi ambazo nazitaka na usisite kunitag kila unapoziona, kwa sababu mimi nipo hapa kwa ajiri ya kuwaokoa masimp kama huyu mleta mada, mimi ni kama dokta hospitali nipo kwa ajiri ya kutibu wagonjwa sasa kusipokua na wagonjwa hakutakua na uhitaji wangu tena
Hiyo Picha hapo inatisha 😜😅Njoo PM😋