Hongera classmateHiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Pamekua na mambo mob sana hapa ndani, na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba "kumtunza ama kumhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa/noti/njaro".
Nasema hivi.....
Ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu kuto kumuhudumia mwanaume "amini hana hela".
Tafuteni hela vijana, kumhudumia mwanamke ni kitu ya asili and that's nature.
Nature inasema....
Mwanamke anapaswa ahudumiwe na mwanaume, haijalishi nini yani.
Ebu hudumieni wanawake zenu maze....
Binafsi niliwahi kushuhudia one of the richest man Tz akimpea Ke 30 millions Tsh.
Hakika nilishangaa sana, na nilipokua mkubwa nilikuja gundua kwamba that's nature.
Serikali inampangia Tycoon matumizi ya pesa yake..🤣Ahongwa bilioni 2.3 na bilionea wa Bitcoin
DADA AHONGWA MPAKA SERIKALI YAINGILIA KATI Mahakama ya kupambana na Rushwa Nchini Kenya, imeagiza account ya bank ya Mwanafunzi wa chuo cha Ufundi Nairobi. Felesta Njoroge (21) Ifungwe kwa siku 90 ili kuruhusu wakala wa urejeshaji mali (ARA) kufahamu chanzo cha Tsh Bilion 2.3 zilizopo kwenye...www.jamiiforums.com
Mbona mi ME sikupi wewe KE pesa? 😀😃Hiyo nafasi niloacha hapo juu ni kwaajili ya salam.
Ipo hivi.....
Pamekua na mambo mob sana hapa ndani, na vijana wengi wamekua wanalalamika kwamba "kumtunza ama kumhudumia mwanamke ambae sio mke wako ni uharibifu wa pesa/noti/njaro".
Nasema hivi.....
Ukimsikia mwanaume analalamika kuhusu kuto kumuhudumia mwanaume "amini hana hela".
Tafuteni hela vijana, kumhudumia mwanamke ni kitu ya asili and that's nature.
Nature inasema....
Mwanamke anapaswa ahudumiwe na mwanaume, haijalishi nini yani.
Ebu hudumieni wanawake zenu maze....
Wanaume mna roho nzuri sana☺️Ukiona umetumiwa hela na Me, basi tambua he is a gentleman...🤜🤛
Mate wako saa 12 alfajiri anawaza kuhonga. Yaani Jumatatu hii ameshindwa kuwaza namna ataingiza pesa, yeye anawaza kuhonga.Hongera classmate