ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #201
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupika hawajui maskini vyakula ni chukuchuku kulePia wana ukarimu sana dada zao.
Huhitaji maneno mengi kama wataka shinda udiwani.
Upishi wa chakula Mbeya na ukanda wote huo ni 0
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ndio maana Wana Afya.Wewe umeenda hata shule?Kupika hawajui maskini vyakula ni chukuchuku kule
😭😭😂😂😂 We ni mshamba Sana maskiniNdio maana Wana Afya.Wewe umeenda hata shule?
Kwa hiyo? Nimekuuliza ulienda hata shule kweli wewe?😭😭😂😂😂 We ni mshamba Sana maskini
Mimi ni mtu wa mbeya nmekua mbeya kabila la mbeya Tena interior kabisa nafahamu ABC zote za kule
Eti umeenda shule 😂😂😭😭
Maskini Mbeya?kwamba hamna chakula?kupika hatujui chukuchuku kwamba mafuta hamna??karanga,mawese,ufuta na alizeti zoote izi!unataka kusema wazaramo ndo wanatuzidi kupika!?ahahahaaa ilawatu mnachuki binafsiKupika hawajui maskini vyakula ni chukuchuku kule
Waambie haters wasifie kwao 😁😁😁Maskini Mbeya?kwamba hamna chakula?kupika hatujui chukuchuku kwamba mafuta hamna??karanga,mawese,ufuta na alizeti zoote izi!unataka kusema wazaramo ndo wanatuzidi kupika!?ahahahaaa ilawatu mnachuki binafsi
Fala wewe shule ulienda kukuza mavuzi ndio maana unasema chukuchuki ni kutojua kupika.Ndio o level iyunga tech
Advance mzumbe secondary
Degree muhimbili
Masters University of Stellenbosch Una lingine mkuu la kuniuliza
Sina chuki bwana sio kwamba hawajui kupika I have semantic views here kama hujaangalia point zangu za nyuma utasema na chuki look on my previous post here nmeongea Kila kitu ndo uje ku argue hapa mkuuMaskini Mbeya?kwamba hamna chakula?kupika hatujui chukuchuku kwamba mafuta hamna??karanga,mawese,ufuta na alizeti zoote izi!unataka kusema wazaramo ndo wanatuzidi kupika!?ahahahaaa ilawatu mnachuki binafsi
OkFala wewe shule ulienda kukuza mavuzi ndio maana unasema chukuchuki ni kutojua kupika.
Lushoto 💥💥Lushoto au mbeya ndio sehemu nitakazo chagua kumalizia uzee wangu
Yas ni mlugaluga wa rungwe kaka mbeya moja hii. Nimekutajia maeneo nilioishi na kuona nyumba za udongo majiji makubwa. We endelea kukalili mjini kwenu kagongwa nyuma kahama
A
Kuna mikoa gharama za maisha zipo juu hadi unaweza kutamani kuacha kazi manake kila unachochuma kinaishia kwenye msosi tuHuu sio mzuri wa kuanzia sababu ukihama utapata tabu sana mbeya maisha rahisi sana