Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hii tabia ya ukabila kazini inawezekana imeota mizizi Mbeya Kuna colleagues mwenzangu aliajiriwa huko alikua ananiambia simuamini nasikia wanaongea kinyaki mpaka ofisini wanasemavibaya wenzao na ukipata tatizo kazini wanafurahia laivu na kazi za field zenye malipo wanaitana wao kwa wao mgeni huna nafasi, sikuwahi muelewa nilijua yeye labda anashida kumbe alikua anasema ukweli.
Ukabila mno yaan mnakaa vikao mnapanga namna makazi yapaswa yapangiliwe halafu wanaongea kinafiki et huyu ni mzaliwa wa wapi wakijua sio mbeya yaani hawakubali wanaanza chokochoko za hapa na pale na hii imepelekea at mji wao kuwa wa hovyo Tanzania nzima uchafu Kila upande,,hawasikii kipind sugu yupo at mkiwambia mipango ya kujenga hawataki kuelewa wanaandamana ovyo kutetea ujinga wanaotaka wao
Now wameamka wanataka huduma Bora...
 
Huu mji umechoka inabidi uvunjwe ujengwe upya. Ni mji mkubwa ila sio mzuri kimpangolio ispokuwa sehemu kadhaa.
Mbeya ingepangwa mji ungekuwa mzuri no 1.
Geographically ni no1.
Mwanza itaendelea kuiacha Mbeya daima kwa sababu Mbeya wanaendelea kujenga holela sasa sijii kwa nini serikali haingilii kati na kuzuia kujenga holela.
Wanyakyusa na ndugu zao wasafwa hawazingatii mpango mji japo ni watu wanaojenga sana pengine kuliko makabila mengi.
Tatizo hawashauriki ni wabishi balaa ukiwapa mkakati positive wako tayr wakuvamie usku wakuue,, usiombe uajiriwe mbeya katika KAZI znazohusiana na maswala ya mipango usiporud marehemu bas utakimbia
 
Huna hoja unapayuka tuu ilimradi kukidhi your hate..
Mbeya haifananishwi na Mkoa wowote Kwa uzuri wa Kila kitu hapa Tanzania.

Suala la kuishi miaka mingapi Wala sio dili ,mbona Mimi naishi Dodoma mwaka wa 6 huu na sijapapenda? Niliiehi Dar miaka 3 sikupapenda?
Kama hujapapenda mbna upo mpaka Sasa dodoma? Unajua akili Yako haiko sawa imebunguliwa sana sana unawezaje kuishi sehemu huitaki Kwan ew jiwe kwamba adi ung'olewe Ndo utoke,,

Jibu ni kwamba DODOMA usifananishe na mashambani huko mbeya ni kulima na kujenga majiji kama

DOM
DAR
MWZ
ARUSH
 
Ukabila mno yaan mnakaa vikao mnapanga namna makazi yapaswa yapangiliwe halafu wanaongea kinafiki et huyu ni mzaliwa wa wapi wakijua sio mbeya yaani hawakubali wanaanza chokochoko za hapa na pale na hii imepelekea at mji wao kuwa wa hovyo Tanzania nzima uchafu Kila upande,,hawasikii kipind sugu yupo at mkiwambia mipango ya kujenga hawataki kuelewa wanaandamana ovyo kutetea ujinga wanaotaka wao
Now wameamka wanataka huduma Bora...
Acha uwongo wako wewe huu mji haujapangiliwa kitambo sio jana wala juzi. Wakati wewe unalalia ngozi huko shambani kwenu
 
Hivi Mbeya ni Jiji?
Ukitoa kabwe na Mwanjelewa Kuna jengine Mbeya?

Sehemu ya kwenda kumaliza hela ni kulekule Mbeya carnival, Mbeya pazuri yaani HIVI MBEYA NI JIJI?

NJOO DAR NIKUJIBU MAANA YA JIJI.

#YNWA
Kwahiyo kigezo kwako cha jiji ni sehemu za kunywea zikiwa nyingi washamba bwana kazi sana
 
Kwahiyo kigezo kwako cha jiji ni sehemu za kunywea zikiwa nyingi washamba bwana kazi sana

Unaweza kupunguza negative worlds then ukajibu swali.

""Ukitoa kabwe na Mwanjelewa Kuna jengine Mbeya?""

#YNWA
 
Yani kumbe stamina alinidanganya jamaa yule, dah. Alinambia kwao ni moro mbwa yule.
 
Afu inaonesha huna taarifa kabisa juu ya kinachoendelea mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira.
 
Hivi Mbeya ni Jiji?
Ukitoa kabwe na Mwanjelewa Kuna jengine Mbeya?

Sehemu ya kwenda kumaliza hela ni kulekule Mbeya carnival, Mbeya pazuri yaani HIVI MBEYA NI JIJI?

NJOO DAR NIKUJIBU MAANA YA JIJI.

#YNWA
Wewe unaonaje Mkuu? Jiji ni nini?
 
Hata mipango mji? Mapato ya halmashsuri mengine si yanabaki. Dodoma yajuzi tu wameweza kupanga mji wao na unakua kwa kasi na itaizidi mbeya si muda mrefu.
Mbeya ilitakiwa iwe zaidi ya hapa ilipo, tuongee ukweli.
Mkurugenzi wa dodona kipindi cha Magu alikuwa mkali sana kwenye mipango miji
Mbeya miji mipya inajengwa holela hafi sasa hivi nenda itewe nk ujionee ni shaghala bagala.
Unasema Dodoma itaizidi Mbeya muda si mrefu? Hivi Dodoma mji mzuri vile unauringanishaje na Mbeya?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha uwongo wako wewe huu mji haujapangiliwa kitambo sio jana wala juzi. Wakati wewe unalalia ngozi huko shambani kwenu
Mbna at hujaeleweka Kwan Kuna sehemu nmesema tuliupanga au mbeya imekuwa Jiji mwaka Gani?

Si Ndo lile la nipeni kura nitangaze mji wenu kuwa jiji
 
Acha mzaha basi,Mbarali ipi ambayo haibadiliki?

Unazungumzia Mwanza,hivi ukiacha Mwanza Mjini Kuna Wilayani gani huko Mwanza inaweza fanana na Wilaya yeyeote ya Mbeya ikiwemo Mbarali?

Kwamba ukienda Kwimba au Ukerewe Kuna mzunguko wa hela? 😁😁😁

Acha vichekesho Mkuu ,tofayya Mbeya na Mwanza ni kwamba maendelea ya Mbeya yamesambaa Wiakaya zote na huko Mwanza Yako hapo Mjini na sababu kubwa ni kwamba Wilaya za Mbeya Zina fursa ya kuvutia watu kuishi huko huko badala ya kukimbilia mjini..

Na hii sifa sio ya Mbeya tuu Bali Mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini unlike Mikoa mingine ambako maendelea Yako concentrated kwenye Miji mikuu Yao..
Acha mzaha basi,Mbarali ipi ambayo haibadiliki?

Unazungumzia Mwanza,hivi ukiacha Mwanza Mjini Kuna Wilayani gani huko Mwanza inaweza fanana na Wilaya yeyeote ya Mbeya ikiwemo Mbarali?

Kwamba ukienda Kwimba au Ukerewe Kuna mzunguko wa hela? 😁😁😁

Acha vichekesho Mkuu ,tofayya Mbeya na Mwanza ni kwamba maendelea ya Mbeya yamesambaa Wiakaya zote na huko Mwanza Yako hapo Mjini na sababu kubwa ni kwamba Wilaya za Mbeya Zina fursa ya kuvutia watu kuishi huko huko badala ya kukimbilia mjini..

Na hii sifa sio ya Mbeya tuu Bali Mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini unlike Mikoa mingine ambako maendelea Yako concentrated kwenye Miji mikuu Yao..
Nimemshangaa Sana.

Mbarali ipi anayoisema?

Mbarali yenye Ubaruku, Rujewa, Igawa, Chimala , Igurusi , Mswiswi?

Mbarali kwenye mpunga na madili ya Petrol na diesel?
 
Back
Top Bottom