ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #241
Uliwahi Kuta zomebomoka?Nyumba za matope hadi katikati ya jiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwahi Kuta zomebomoka?Nyumba za matope hadi katikati ya jiji.
Ukabila mno yaan mnakaa vikao mnapanga namna makazi yapaswa yapangiliwe halafu wanaongea kinafiki et huyu ni mzaliwa wa wapi wakijua sio mbeya yaani hawakubali wanaanza chokochoko za hapa na pale na hii imepelekea at mji wao kuwa wa hovyo Tanzania nzima uchafu Kila upande,,hawasikii kipind sugu yupo at mkiwambia mipango ya kujenga hawataki kuelewa wanaandamana ovyo kutetea ujinga wanaotaka waoHii tabia ya ukabila kazini inawezekana imeota mizizi Mbeya Kuna colleagues mwenzangu aliajiriwa huko alikua ananiambia simuamini nasikia wanaongea kinyaki mpaka ofisini wanasemavibaya wenzao na ukipata tatizo kazini wanafurahia laivu na kazi za field zenye malipo wanaitana wao kwa wao mgeni huna nafasi, sikuwahi muelewa nilijua yeye labda anashida kumbe alikua anasema ukweli.
Tatizo hawashauriki ni wabishi balaa ukiwapa mkakati positive wako tayr wakuvamie usku wakuue,, usiombe uajiriwe mbeya katika KAZI znazohusiana na maswala ya mipango usiporud marehemu bas utakimbiaHuu mji umechoka inabidi uvunjwe ujengwe upya. Ni mji mkubwa ila sio mzuri kimpangolio ispokuwa sehemu kadhaa.
Mbeya ingepangwa mji ungekuwa mzuri no 1.
Geographically ni no1.
Mwanza itaendelea kuiacha Mbeya daima kwa sababu Mbeya wanaendelea kujenga holela sasa sijii kwa nini serikali haingilii kati na kuzuia kujenga holela.
Wanyakyusa na ndugu zao wasafwa hawazingatii mpango mji japo ni watu wanaojenga sana pengine kuliko makabila mengi.
Kwa Sasa usajili wa Bajaji umesitishwa hivyo zitapungua na kuwa replaced na usafiri wa Umma yaani daladala.
Kama hujapapenda mbna upo mpaka Sasa dodoma? Unajua akili Yako haiko sawa imebunguliwa sana sana unawezaje kuishi sehemu huitaki Kwan ew jiwe kwamba adi ung'olewe Ndo utoke,,Huna hoja unapayuka tuu ilimradi kukidhi your hate..
Mbeya haifananishwi na Mkoa wowote Kwa uzuri wa Kila kitu hapa Tanzania.
Suala la kuishi miaka mingapi Wala sio dili ,mbona Mimi naishi Dodoma mwaka wa 6 huu na sijapapenda? Niliiehi Dar miaka 3 sikupapenda?
Hivi Mbeya ni Jiji?Pole zako Kwa nini usielewe Jiji bwashee
Acha uwongo wako wewe huu mji haujapangiliwa kitambo sio jana wala juzi. Wakati wewe unalalia ngozi huko shambani kwenuUkabila mno yaan mnakaa vikao mnapanga namna makazi yapaswa yapangiliwe halafu wanaongea kinafiki et huyu ni mzaliwa wa wapi wakijua sio mbeya yaani hawakubali wanaanza chokochoko za hapa na pale na hii imepelekea at mji wao kuwa wa hovyo Tanzania nzima uchafu Kila upande,,hawasikii kipind sugu yupo at mkiwambia mipango ya kujenga hawataki kuelewa wanaandamana ovyo kutetea ujinga wanaotaka wao
Now wameamka wanataka huduma Bora...
Kwahiyo kigezo kwako cha jiji ni sehemu za kunywea zikiwa nyingi washamba bwana kazi sanaHivi Mbeya ni Jiji?
Ukitoa kabwe na Mwanjelewa Kuna jengine Mbeya?
Sehemu ya kwenda kumaliza hela ni kulekule Mbeya carnival, Mbeya pazuri yaani HIVI MBEYA NI JIJI?
NJOO DAR NIKUJIBU MAANA YA JIJI.
#YNWA
Kwahiyo kigezo kwako cha jiji ni sehemu za kunywea zikiwa nyingi washamba bwana kazi sana
Wewe unaonaje Mkuu? Jiji ni nini?Hivi Mbeya ni Jiji?
Ukitoa kabwe na Mwanjelewa Kuna jengine Mbeya?
Sehemu ya kwenda kumaliza hela ni kulekule Mbeya carnival, Mbeya pazuri yaani HIVI MBEYA NI JIJI?
NJOO DAR NIKUJIBU MAANA YA JIJI.
#YNWA
Jiji ni Dar.Wewe unaonaje Mkuu? Jiji ni nini?
Weka Bango la kupinga basi ,Jiji manake nini kwanzaJiji ni Dar.
Mbeya ni kabwe na Mwanjelwa.
#YNWA
Iangalie dar ndio utajua Jiji ni nini.Weka Bango la kupinga basi ,Jiji manake nini kwanza
Hater unajisumbua Mbeya ni City na inasomeka hivyo all over the worldIangalie dar ndio utajua Jiji ni nini.
#YNWA
Unasema Dodoma itaizidi Mbeya muda si mrefu? Hivi Dodoma mji mzuri vile unauringanishaje na Mbeya?Hata mipango mji? Mapato ya halmashsuri mengine si yanabaki. Dodoma yajuzi tu wameweza kupanga mji wao na unakua kwa kasi na itaizidi mbeya si muda mrefu.
Mbeya ilitakiwa iwe zaidi ya hapa ilipo, tuongee ukweli.
Mkurugenzi wa dodona kipindi cha Magu alikuwa mkali sana kwenye mipango miji
Mbeya miji mipya inajengwa holela hafi sasa hivi nenda itewe nk ujionee ni shaghala bagala.
Mbna at hujaeleweka Kwan Kuna sehemu nmesema tuliupanga au mbeya imekuwa Jiji mwaka Gani?Acha uwongo wako wewe huu mji haujapangiliwa kitambo sio jana wala juzi. Wakati wewe unalalia ngozi huko shambani kwenu
Angalia orodha ya majiji mbeya imepigwa Buti kitambo mno unapambana na Tanga hukoUnasema Dodoma itaizidi Mbeya muda si mrefu? Hivi Dodoma mji mzuri vile unauringanishaje na Mbeya?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Acha mzaha basi,Mbarali ipi ambayo haibadiliki?
Unazungumzia Mwanza,hivi ukiacha Mwanza Mjini Kuna Wilayani gani huko Mwanza inaweza fanana na Wilaya yeyeote ya Mbeya ikiwemo Mbarali?
Kwamba ukienda Kwimba au Ukerewe Kuna mzunguko wa hela? 😁😁😁
Acha vichekesho Mkuu ,tofayya Mbeya na Mwanza ni kwamba maendelea ya Mbeya yamesambaa Wiakaya zote na huko Mwanza Yako hapo Mjini na sababu kubwa ni kwamba Wilaya za Mbeya Zina fursa ya kuvutia watu kuishi huko huko badala ya kukimbilia mjini..
Na hii sifa sio ya Mbeya tuu Bali Mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini unlike Mikoa mingine ambako maendelea Yako concentrated kwenye Miji mikuu Yao..
Nimemshangaa Sana.Acha mzaha basi,Mbarali ipi ambayo haibadiliki?
Unazungumzia Mwanza,hivi ukiacha Mwanza Mjini Kuna Wilayani gani huko Mwanza inaweza fanana na Wilaya yeyeote ya Mbeya ikiwemo Mbarali?
Kwamba ukienda Kwimba au Ukerewe Kuna mzunguko wa hela? 😁😁😁
Acha vichekesho Mkuu ,tofayya Mbeya na Mwanza ni kwamba maendelea ya Mbeya yamesambaa Wiakaya zote na huko Mwanza Yako hapo Mjini na sababu kubwa ni kwamba Wilaya za Mbeya Zina fursa ya kuvutia watu kuishi huko huko badala ya kukimbilia mjini..
Na hii sifa sio ya Mbeya tuu Bali Mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini unlike Mikoa mingine ambako maendelea Yako concentrated kwenye Miji mikuu Yao..