min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hii kitu inaweza kuwa kwel mkuuUzuri wa Mbeya ni hali ya hewa nzuri
Wanyaki ndugu zangu punguzeni dharau, ukabila,choyo,wivu na kuwapelekea maboss zenu umbea Ili mpendwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu inaweza kuwa kwel mkuuUzuri wa Mbeya ni hali ya hewa nzuri
Wanyaki ndugu zangu punguzeni dharau, ukabila,choyo,wivu na kuwapelekea maboss zenu umbea Ili mpendwe.
Mm shuhudaHii kitu inaweza kuwa kwel mkuu
Inalendwa na wale watumishi wanaochukiwa na mpwayungu village, kama chips ni sh 500 kwanini wasifurahie lakini kwa walamba asali na wafanyabiashara hawawezi kuishi kwenye hicho kijiji cha walima mpunga, there is no money circulationWewe ni wa ajabu,, Mbeya ni miongoni mwa Mikoa inayopendwa Sana na watumishi
Huko ni mahali salama kwa watumishi wamungu kwenda kuvuna kutoka kwa walugaluga wa mbeya.Kwa mawazo Yako na inategemea watumishi Gani kama wa mungu sawa maana makanisa ni mengi
Mbeya ni mkoa wa tatu ukitoka iringa, njombe inafuata mbeya kwa kuwa na watoto na watu wenye udumavu na unyafuzi na viribatumbo na kwarshiokor.Yote tisa kumi Mbeya kuna misosi bei chee huwezi konda Mbeya kwa maisha yetu sisi wasakatonge na watafutaji.
Ndio maana Mbeya hamna Utapiamlo wala Udumavu kwa watoto uliokithiri kama Rukwa,misosi ni mingi mno iwe jamii ya mizizi, mbogamboga, matunda kibao mengi na bei chee,maji mazuri hayapaushi iwe nguo au mwili,nyama za kiwango sijui Ng'ombe wao wanakula nini wale jamaa.
Ardhi ya mkoa ule umebarikiwa kiukweli. Nitarudi Mbeya
Huko ulikotaja kunaongoza kwa maslum na vichochoro vyenye matope na mabanda ya nguruwe.Uhindini kuna nini na uyole kuna nini labda unahitaji kipi zaidi kwenye maeneo mengine tukuambie
Mbeya ndio anazalisha Watumishi wa bwana,nyie wa kuja mtatuambia kipi hasa?Huko ni mahali salama kwa watumishi wamungu kwenda kuvuna kutoka kwa walugaluga wa mbeya.
Sio hoja ya msingi ewe shoga la kusiniMbeya ndio anazalisha Watumishi wa bwana,nyie wa kuja mtatuambia kipi hasa?
Ukiona kuna watumishi na wachungaji wengi ujue huko hamna kazi ya kufanya, pia wachungaji wengi ni kielelezo cha sehemu husik kuwa na wachawi wengi na nguvu za kishirikina.Mbeya ndio anazalisha Watumishi wa bwana,nyie wa kuja mtatuambia kipi hasa?
Tungekuwa hatufanyi kazi Kwa nini Mbeya ni ya 3 Kwa Uchumi Tanzania?Ukiona kuna watumishi na wachungaji wengi ujue huko hamna kazi ya kufanya, pia wachungaji wengi ni kielelezo cha sehemu husik kuwa na wachawi wengi na nguvu za kishirikina.
Washukuru watu wa kanda ya ziwa kutumia vema hizo resources zenu, nyinyi ni wavivu na mmekalia kuwanga tu.Tungekuwa hatufanyi kazi Kwa nini Mbeya ni ya 3 Kwa Uchumi Tanzania?
Boya wewe usinichoshe endelea kutafuniwa na Kansa huko kwenu.Washukuru watu wa kanda ya ziwa kutumia vema hizo resources zenu, nyinyi ni wavivu na mmekalia kuwanga tu.
Huko wanaenda wale watumishi wenye vichwa vilivyo lala.Just imagine chips jero,mahindi debe moja 3000, Sasa wataendeleaje na Nan mfanyabiashara mjinga afanye mbeya,,,hko patabaki kuwa mashamba ya nchi TU
Mashamba mengi yamekaliwa na wasukuma pamoja na wakurya wenyeji wanakodoa macho maana ata biashara hamjui kauli zenu mbovu Kwa watejaTungekuwa hatufanyi kazi Kwa nini Mbeya ni ya 3 Kwa Uchumi Tanzania?
Hiyo kansa imeacha kumtafuna babu na bibi yangu, endeleeni kueneza chuki na hazitawafikisha popote, wajinga tu ndio wakubali kuishi huko mashambani na mavumbini, huko ni kuja kuexplore resources zenu na kwenda kupiga biashara sehemu makini na zenye mzunguko wa pesa.Boya wewe usinichoshe endelea kutafuniwa na Kansa huko kwenu.
Sindano imepenya kunako😝😝😝Boya wewe usinichoshe endelea kutafuniwa na Kansa huko kwenu.