Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Wamekalia ushirikina na kushinda kwenye makanisa watakumbuka mambo ya mipango miji.
Hata kama huwapendi wana Mbeya, hii imezidi. wana ushirikina gani ambao mkoa mwingine hauna? Umekutana na ibao vingapi vya matangazo ya waganga ukifananisha na Dar?
 
Igoma ambako kuna usafiri wa Baiskeli kupeleka watu vichochoroni? Hamnq mji hapo.
Hapo unaongea kwa chuki, nilizani una facts kumbe una urojo tu kichwani, hilo fuvu lako ni bora likawa linatunzia ugali kuliko ubongo wenye ukakasi kama wako.
 
Hata kama huwapendi wana Mbeya, hii imezidi. wana ushirikina gani ambao mkoa mwingine hauna? Umekutana na ibao vingapi vya matangazo ya waganga ukifananisha na Dar?
Sina chuki na ilo shamba lenu la viazi lakini huwa naongea ukweli tu, uongo kwangu mwiko.
 
Mbeya Ni Pazuri Sana... Hasa Ukiwa Na Shughuri Uta Enjoy Mana Sifa Ya Mbeya PESA INA THAMANI YANI ELFU KUMI UKIINGIA SOWETO SOKONI AU SOKO LOLOTE UNAJAZA MZIGO.

NI KWELI MBEYA PESA NI NGUMU KIDOGO KUIPATA ILA INAPATIKANA NA INA THAMANI KUBWA.

PESA YA MBEYA INATHAMANI SANA YANI HATA UKIWA NA ELFU TANO KWENYE MBOGA INATOSHA SANA.
 
Hapo unaongea kwa chuki, nilizani una facts kumbe una urojo tu kichwani, hilo fuvu lako ni bora likawa linatunzia ugali kuliko ubongo wenye ukakasi kama wako.
Naongea kwa facts wewe ndiye umejaa chuki na unaionyesha waziwazi. Miji niliyokutajia, Mbalizi na Uyole inajitosheleza kwa kila kitu, ina hadi machinjio zake. Wewe hizo Igoma, Buhongwa, Buzuruga na Nyegezi ni miji inayojitegemea? Ina kitu kama machinjio? Nazungumzia miji wewe unaleta mifano ya stendi!!
 
Na kukutoa ushamba. Shule za intrrnational wanasoma hasa watoto wa wageni, kama wafanyakazi wa ubalozini, makampuni ya nje nk. Na wanatumia mtaala wa kimataifa. Kama watu hao hawapo kwenye mji, shule ya kimataifa ya nini?
Kufika na kusema Hilo najua ila ewe ndo ujiulize Kwann mbeya hamna?
 
Lete PICHA kama Kuna baiskeli pia ujue at bajaji mwanza sio nyingi na sio usafiri official Kwa abiria kama ilivo mbeya
Kuna mji unausafiri mzuri kama Mbeya. Mwanza bado mnapanda vihiace mmejikunja wakati Mbeya vilipigwa marufuku kitambo sana.
 
Kuna mji unausafiri mzuri kama Mbeya. Mwanza bado mnapanda vihiace mmejikunja wakati Mbeya vilipigwa marufuku kitambo sana.
Mbeya Haina route na ndo maana mnatmia bajaji Kwa maana ya usafiri kuingia vichochoro Barabara hamna za hiace hivo gari hushusha Barabara kuu TU halafu unaruka mitaro kuingia kwako
 
Pvc Aluminium
Madirisha balcony milango partition
Tuone kupitia namba hii 0735432020
Pia Tunabadilisha wavu wa umbu zilizo chanika kutoboka
255686307879_status_a43ff7a8bf42421c92fc8937f2afd8a9.jpg
 
Mwanza zipo,dar zipo na Arusha zipo tena adi kahama Kuna international school ila mbeya huko mashambani shule za kimataifa sio mahala pake
Dar na Arusha kunauhitaji, Arusha makao makuu ya EAC hata Kahama kuna watu wa Migodi kutoka nje, huwezi jenga kitu huhitaji.
 
Mbeya Haina route na ndo maana mnatmia bajaji Kwa maana ya usafiri kuingia vichochoro Barabara hamna za hiace hivo gari hushusha Barabara kuu TU halafu unaruka mitaro kuingia kwako
Huwezi kuwa na mji watu wanapiga safari ndefu kwa vihiace na ukawa mji wa maana. Bora kupanda Bajaji kuliko hivyo vidude.
 
Back
Top Bottom