Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Haters hao Wana wivu achana nao.

Mbeya
 
Acha chuki wapi pamejengwa vizuri tz nzima ni yale yale ila mbeya wnaajitahidi hata mazingira yanavutia
Siyo kama Mbeya. Wala sina chuki kwa sababu mwenyewe imebidi niwepo Mbeya. Hali ya hewa na tabia ya nchi ya Mbeya ni nzuri. Hilo liko wazi. Lakini watu wa Mbeya mnaharibu kwa kujenga vibaya kila kona.
 
Acha chuki wapi pamejengwa vizuri tz nzima ni yale yale ila mbeya wnaajitahidi hata mazingira yanavutia
Miji kama Dodoma, Singida, Babati, Sumbawanga, Mpanda, Vwawa, Iringa, Morogoro inazidi Mbeya pakubwa sana kwenye mipangilio ya mji na miundo mbinu. Hata majengo. Mbeya mnajenga kwa matofali ya matope(mabichi). Mji hauna majengo ya maana kama miji mingine mikubwa.

Hata Arusha iko beautiful kwa majengo na hata kwa mandhari kuliko Mbeya. Na kama umewahi kufika Tengeru, Njiro, Sakina, Sanawari, Moshono, huwezi kusema Mbeya imeizidi Arusha hata kwa tabia ya nchi.
 
Ya nini kujidanganya hali ya mji kama Mbeya? Inahitajika kupangwa upya. Hatupaswi kutegemea uzuri wa asilo wa hali ya hewa. Miji yetu inahitaji uzuri wa kutengenezwa kwa kuweka miundo mbinu ya maana ili iweze kuvutia uwekezaji wa biashara kubwa kubwa.

Imagine mji mnauona mkubwa kama Mbeya lkn haina Supermarket hata moja.
 
Mji mzima una kile minisumarket vipodozi ya SH Amon pale mataa ya junction ya Mafiat.
 
Natokea kaskazini miji yetu inajulikana bhana Mbeya sio mbaya, Arusha kupata barabara juzi tu leo mji mzuri miji yote tia maji tia maji hakuna miji tunachoshana tu na sikusema Mbeya nzuri kuzidi sehemu fulani ila Mbeya sio pakuponda hata Dar jiji kuna nyumba za tope mpaka leo Arusha zipo za tope kibao mjini lazima mabadiliko yawepo ila tofautisha jiji na miji.
 
Siyo kama Mbeya. Wala sina chuki kwa sababu mwenyewe imebidi niwepo Mbeya. Hali ya hewa na tabia ya nchi ya Mbeya ni nzuri. Hilo liko wazi. Lakini watu wa Mbeya mnaharibu kwa kujenga vibaya kila kona.
Usilaumu watu kwani hakuna wanaopanga miji mifumo yetu kibongo bongo hakuna jipya kuchoshana tu
 
Siyo kama Mbeya. Wala sina chuki kwa sababu mwenyewe imebidi niwepo Mbeya. Hali ya hewa na tabia ya nchi ya Mbeya ni nzuri. Hilo liko wazi. Lakini watu wa Mbeya mnaharibu kwa kujenga vibaya kila kona.
Ni kama wapi? Wapi mnakojenga vizuri?
 
Na vipi kuhusu vumbi lote hilo?
 
Pakis*nge niko hapa chuo cha MUST napakumbuka sana nyumbani Arusha.....
Kwani nani anahitaji kuona makanyagio Yako na meno yaliyooza? Uliitwa au kulazimishwa ?

Mbona mna kachuo kenu Kwa nini hukuenda kusoma huko?

Mbeya hatuvuti Bangi na Wala hakuna maisha magumu kama kwenu..

This is Mbeya
 
Tafuta hela Yani we tafuta hela usilale tafuta hela hata jangwani ukiwa na hela kuzurii mfano dubai ni jangwa tupu leo ndio mji mzuri kushinda Tz kwenye Kila kitu nasemea ten na ten tafuta hela ukiwa na hela hamna sehemu mbaya
 
Mbeya palipaswa iwe sehemu ya kulima mpunga na viazi TU na sio kuishi binadamu aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…