ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #521
Haters hao Wana wivu achana nao.Unakuta mtu akipiga picha za kwao hapafai maendeleo ziro alafu anakuja kuponda vitu Ambavyo haviendani kabisa mbeya pazuri na sehemu nyingi bongo ni nzuri basi tu hatuna mipango mizuri ya miji ila sio kupondea kama ndio jalalani vile na chunguza wanaoponda sana ukihoji katokea singida vijijini unamuonea hadi huruma
Uko sahihi kabisa boss bahati nzuri umejitambulisha ni wa kutoka Singida..Tutafute pesa wakuu Mbeya sio sehemu ya kuishi binadamu
Siyo kama Mbeya. Wala sina chuki kwa sababu mwenyewe imebidi niwepo Mbeya. Hali ya hewa na tabia ya nchi ya Mbeya ni nzuri. Hilo liko wazi. Lakini watu wa Mbeya mnaharibu kwa kujenga vibaya kila kona.Acha chuki wapi pamejengwa vizuri tz nzima ni yale yale ila mbeya wnaajitahidi hata mazingira yanavutia
Miji kama Dodoma, Singida, Babati, Sumbawanga, Mpanda, Vwawa, Iringa, Morogoro inazidi Mbeya pakubwa sana kwenye mipangilio ya mji na miundo mbinu. Hata majengo. Mbeya mnajenga kwa matofali ya matope(mabichi). Mji hauna majengo ya maana kama miji mingine mikubwa.Acha chuki wapi pamejengwa vizuri tz nzima ni yale yale ila mbeya wnaajitahidi hata mazingira yanavutia
Wadanganye ambao hawajawahi kufika.Tell him this is Mbeya well organized kuliko huko kwenye limji lake ambalo hataji View attachment 2576490View attachment 2576491View attachment 2576492View attachment 2576493
Natokea kaskazini miji yetu inajulikana bhana Mbeya sio mbaya, Arusha kupata barabara juzi tu leo mji mzuri miji yote tia maji tia maji hakuna miji tunachoshana tu na sikusema Mbeya nzuri kuzidi sehemu fulani ila Mbeya sio pakuponda hata Dar jiji kuna nyumba za tope mpaka leo Arusha zipo za tope kibao mjini lazima mabadiliko yawepo ila tofautisha jiji na miji.Miji kama Dodoma, Singida, Babati, Sumbawanga, Mpanda, Vwawa, Iringa, Morogoro inazidi Mbeya pakubwa sana kwenye mipangilio ya mji na miundo mbinu. Hata majengo. Mbeya mnajenga kwa matofali ya matope(mabichi). Mji hauna majengo ya maana kama miji mingine mikubwa.
Hata Arusha iko beautiful kwa majengo na hata kwa mandhari kuliko Mbeya.
Na kama umewahi kufika Tengeru, Njiro, Sakina, Sanawari, Moshono, huwezi kusema Mbeya imeizidi Arusha hata kwa tabia ya nchi.
Usilaumu watu kwani hakuna wanaopanga miji mifumo yetu kibongo bongo hakuna jipya kuchoshana tuSiyo kama Mbeya. Wala sina chuki kwa sababu mwenyewe imebidi niwepo Mbeya. Hali ya hewa na tabia ya nchi ya Mbeya ni nzuri. Hilo liko wazi. Lakini watu wa Mbeya mnaharibu kwa kujenga vibaya kila kona.
Wewe nae ni mbumbumbu tuu, tufanye hizo picha sio Mbeya bali ni za Mwanza au Dodoma?Wadanganye ambao hawajawahi kufika.
Ni kama wapi? Wapi mnakojenga vizuri?Siyo kama Mbeya. Wala sina chuki kwa sababu mwenyewe imebidi niwepo Mbeya. Hali ya hewa na tabia ya nchi ya Mbeya ni nzuri. Hilo liko wazi. Lakini watu wa Mbeya mnaharibu kwa kujenga vibaya kila kona.
Wanyiramba nao watu si wanyama wa porini wale WANAZIDIWA UNYAMWEZI NA KINA DUDUKWEE WAZEE WA MATUNDA NA NYAMAUko sahihi kabisa boss bahati nzuri umejitambulosha ni wa kutoka Singida..
Tukitafuta pesa tukaishi mojawapo ya Mikoa hii hapa View attachment 2576520
Na vipi kuhusu vumbi lote hilo?Mkoa wa Mbeya ni Kati ya Mikoa mitano iliyopo Nyanda za Juu Kusini sanjali na Mikoa ya Ruvuma, Iringa, Songwe, Njombe na Rukwa. Mbeya ilianzishwa mwaka 1961.
Mkoa wa Mbeya umejaaliwa kila kitu unachokijua wewe.
Kwa hapa Tanzania sijaona Mkoa Mzuri wa Kuishi kushinda Mbeya.
1. Kiuchumi
Mbeya ni ya 3 Kwa kuchangia pato la Taifa yaani GDP Tanzania.
Mbeya ni ya 3 Kwa kuwa na Watu wenye kipato kikubwa.
2. Hali ya Hewa na Mandhari
Mbeya Ina Hali ya hewa ya majira yote yaani Bariadi na joto na mvua ni uhakika sio tia maji tia maji kama Mikoa mingine.
3. Usafiri
Uwanja wa ndege wa Songwe
Usafiri wa Barabara kutoka Mikoa yote na Nchi jirani Kupitia Barabara kuu ya Tanzam. Usafiri wa kwenye Maji via Ziwa Nyasa. Pia Kuna usafiri wa reli nzuri kabisa unakufikisha Zambia kutokea Dar.
4. Kilimo
Mbeya Ina Ardhi nzuri ya kulima Kila aina ya zao kuanzia mbogamboga, matunda, nafaka Hadi pareto na chai.
5. Madini na Nishati
Mkoa una Kila aina ya Madini kuanzia Dhahabu za Chunya Hadi Makaa ya Mawe ya Kiwira bila kusahau Madini ya gas asilia ya CO2. Umeme ni wa uhakika unaozalishwa kutoka migodi ya Kiwira na Geothermal.
6. Elimu
Mbeya ni Kati ya Mikoa ya Wasomi hapa Tanzania. Mkoa wa Mbeya una vyuo Vikuu zaidi ya 5 mfano MUST, Mzumbe, CuCoM, UDSM, Tumaini, nk.
Mkoa una mamia ya vyuo vya kati na shule za kutosha eg St.Francis hivyo ni ideal pia Kwa issues za Elimu.
7. Utalii
Hapa kwenye Utalii ndio Kuna fursa nyingi maana sehemu kubwa ni underdeveloped.
Kuna Milima ya Kawetere, bwawa la Mungu, Hifadhi ya Kitulo na pia unafika Kwa urahisi Ruaha au Katavi NP kutokea Mbeya.
8. Viwanda na Biashara
Kuna viwanda vya aina mbalimbali kama Saruji, vinywaji vikali na laini kama soda, bia, wine nk.
Kuna viwanda vya magodoro, vifaa vya ujenzi, home appliances nk.
Aisha kama unataka kujenga viwanda Kuna maeneo ya kutosha yametengwa Kwa Ajili hiyo.
Mbeya ndio Kitovu Cha Uchumi wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
9. Makazi na Accomodations
Kuna fursa kubwa Bado ya ujenzi wa hoteli za kitalii na hoteli za kawaida maana ni Mkoa wa Biashara hivyo itakulipa.
Pia Hapa ni wewe tuu maana ujenzi wa Mbeya sio costful kama Mikoa mingine,unachagua ijengee tofauti au blocks au hata tofari mbichi udongo una nata vizuri kabisa.
10. Watu
Mbeya Ina idadi ya watu zaidi ya milioni 2.3 Kwa Mkoa mzima wanaokuhakikishia soko.
Aidha watu wake ni Wapambanaji ndio maana huwezi kusikia Mbeya ikitajwa kwenye mambo ya umaskini na shida ndogo ndogo,hawalalamiki kusubiria serikali.
11. Michezo na Burudani.
Mbeya Ina Wasanii wakubwa Toka kitambo ila icon ya Mkoa ni kina Sugu,VanBoy na Stamina.
Kwenye Michezo hapo ndio nyumbani hususani football.Mbega Ina Timu 3 Ligi kuu za Prisons,Ihefu,Mbeya City na Timu 3 Ligi daraja la kwanza za KenGold,Mbeya Kwanza na Tukuyu Stars.Na Ina Wachezaji Wakubwa wengi tuu na makocha.
Kiufupi hiyo ni summary ndogo sana Kati ya Mengi mazuri yaliyopo Mbeya,Karibuni sana Mbeya.
Unaishi wapi ambako mna lami Hadi kwenye milango ya nyumba zenu?Na vipi kuhusu vumbi lote hilo?
Kwani nani anahitaji kuona makanyagio Yako na meno yaliyooza? Uliitwa au kulazimishwa ?Pakis*nge niko hapa chuo cha MUST napakumbuka sana nyumbani Arusha.....