Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Kumbe sie tunajua hii tuu
 
Mbeya haina mzunguko wa hela. Watu wengi wanalima na kuwa na chakula kupelekea mzunguko mdogo wa hela. Mbeya wanajenga holela kupelekea mji kuwa kama kijiji kikubwa. Mbeya imeshindwa hata na shinyanyanfa kwa moango mji.

Wasafa kama wazaramu wanauza mpaka barabara. Zaidi ya misosi Mbeya hakuna la maana. Naishi Mbeya si mzaliwa. Hela za madini sijui zinaendaga wapi hazionekani tofauti na Mwanza., unaona kabisa jinsi pesa za madini zinavyochangamsha mji.

Mbalali along the main road zaidi ya miaka 15+ pako vilevile hakuna mabadriko ya maana kama Njombe along the main road. Rungwe imejitaijidi sana.

Siongei ushabiki nimetembea zaidi ya mikoa 10. Dodoma sasa hivi kiujenzi opo vizuri ila sijajua mzunguko wa pesa.
Kinachoiangusha Mbeya wakulima wanauza mazao bei chini sana na kuishia kuwanufaisha wafanyabiashara wa mikoani.
 
We umeishi mikoa mingapi na hizo data zako za uongo. Unafahamu hata Tanzania ina mikoa mingapi, na waweza kuitaja? We ni wale hamjatoka nje ya mkoa.
 
Not that bad,Tanzania Iko hovyo ukitoka Dodoma.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…