Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Mleta uzi hivi mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira umewahi kufika kweli? mgodi umechoka hauzalishi umeme,nimewahi kwenda usiku hadi nikasikitika,kwa sasa wanatumia umeme wa TANESCO,unaotoka Kidatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…