Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Kizuri cha kwao wenyeji wa huko! Ila mimi kusema kweli Mbeya uzuri ni chakula tu!
Ila mji wao ni mbovu na hauna mvuto wowote!
Wivu unakusumbua ,tufanye kuzuri ni Mwanza kwenye kipindupindu 😁😁😁

Nyie mnaita Mbeya sisi tunaita nyumbani

View: https://twitter.com/victormatara/status/1730839066730508330?t=szvcegQNBl7f3Lorqq_vmg&s=19
20240113_072411.jpg
20240113_072415.jpg
20240113_072329.jpg
20240113_072021.jpg
20240113_071949.jpg
20240111_065546.jpg
20240111_065549.jpg
20240111_065906.jpg
20240111_065902.jpg
20240113_071955.jpg
20240113_072009.jpg
20240113_072050.jpg
20240113_072206.jpg
20240113_072247.jpg
20240113_072310.jpg
20240113_072341.jpg
 
Mleta uzi hivi mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira umewahi kufika kweli? mgodi umechoka hauzalishi umeme,nimewahi kwenda usiku hadi nikasikitika,kwa sasa wanatumia umeme wa TANESCO,unaotoka Kidatu
 
Back
Top Bottom