Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Niliaminigi maneno ya Wanyakyusa nikaenda huko 2009 nilikutana vumbi kama poda kipindi hiki watu wanakula nondo za utosi, saa moja jioni wote ndani ukitaka kwenda hata dukani inabidi uvae helmet kulinda fuvu.
Wapiga nondo, sijui sababu ilikuwa nini
 
Bila kusahau Morogoro
 
Mbeya ni namba 3 Kwa uchumi mkubwa Tanzania nzima sijui wewe unaongea nini..

Kagera ni Kati ya Mikoa inaingiza pesa nyingi za Kodi hapa Tanzania
 
Nimeishi ubaruku nikawa naenda mbeya kufuata spear za trakta lkn inasikitisha baadhi ya vifaa tulikuwa tunaagiza kutoka Arusha.nikaenda mpanda Katavi ukienda mbeya hivyo vifaa hamna ukiagiza Arusha kinakuja hivyo nikajua Mbeya agiza vyakula tu hapo utapata muda wowote lkn si vya viwandani nikaenda kuishi Arusha ndio nikaona Arusha ndio Mji wa kuishi kw kuwa kila kitu kipo ispokuwa gharama za mji huo ni ghali ikabidi nihamie Mbulu huko ni pazuri san ila baridi lake hatari utadhani upo ncha za kasikazini za Dunia likanikimbiza hata miezi 3 haikuisha kwa sasa karibuni Katesh Hanang hapa mazingira ni kati kw kati na mji upo katikati popote unaagiza bidhaa inafika iwe Dom.Arusha.Singida au Mwanza karibuni san muone mlima Hanang
 
Mbeya ni namba 3 Kwa uchumi mkubwa Tanzania nzima sijui wewe unaongea nini..

Kagera ni Kati ya Mikoa inaingiza pesa nyingi za Kodi hapa Tanzania
Soma vizuri uelewe. Kila mtu akiwa mkulima unategemea mzunguko wa hela uwepo ? Watu wanapenda kuishi Mbeya kwa sababu vyakula vipo bei chini. Inapelekea mzunguko wa hela uwe chini. Mbeya kila mkazi anawaza ajenge na gharama za kujenga zipo chini uategemea sekta ya nyumba itakuwa na faida na mzunguko wa hela ? Mbalizi unafyatua tofali mbichi unajengea bila hata kuzichoma wakati miji mengine utanunua kila kitu mpaka maji ya kujengea na bei ya kupanga au kuuza nyumba inakuwa juu.
 
Kwa nini mzunguko usiwepo? Haya mabilioni yanaenda wapi? πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DBlv10Kt_rE/?igsh=N21laGM4Y2RseTZy
 
Hii ya mwisho ni wapi hapo mkuu
 
Niliaminigi maneno ya Wanyakyusa nikaenda huko 2009 nilikutana vumbi kama poda kipindi hiki watu wanakula nondo za utosi, saa moja jioni wote ndani ukitaka kwenda hata dukani inabidi uvae helmet kulinda fuvu.
Hilo vumbi ndo rutuba ya ardhi,mambo ya nondo yashapita kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…