Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Mkuu, sioni tofauti kubwa sana ya ujenzi holela baina ya Mbeya na Mwanza.
Kama ilivyo Mbeya, Mwanza ina maeneo mengi ambayo mpangilio wake ni holela.
Hawa gen z ndo wanajenga holela,mwanza master plan ni nzuri,ukiwa mitaa nyegezi ndani huko ni hovyo kabisa
 
Nimesema along the road.
Mbeya hakuna pulling factor ktk mji.
Mwanza kuna ziwa linaloleta utitiri wa watu. Kuna viwanda vya samaki, biashara ipo juu. Ni center ya mikoa ya Shy, Kagera, Mara, Tabora, Singida nk.
Mbeya ipo pembezoni sana watu wa Njombe ndio wamejaa. Mwanza iache tu kama ilivyo mbeya haitakuja kuifikia.
Mbeya asilimia kubwa wanategemea kilimo cha kujikimu, hawana ufugaji mkubwa,wala uvuvi, viwanda vichache sana kulinganisha na majiji mengine.
Viwanda viko kiasi ni kweli,lakini Iringa nako sii haba,Mafinga na mufindi kwa ujumla is a hot topic ingawa vina roho mbaya
 
Sababu za kihistoria.
Mfano Kigoma imezungukwa na nchi zenye vita muda wote nani ataenda kuwekeza? Serikali haikujenga barabara mapema, mkoa upo pembezoni sana. Kutoka tabora mpaka kigoma mapori makubwa sana hakuna mwingiliano.
Kusini haikukuwa na barabara nzuri kama mbeya. Tanga ni jiji hivyo lina hadhi sawa na Mbeya, Tanga inashindwa na Dar na pwani as a pulling factor, kwa sababu ni karibu hivyo Dar inawavuta zaidi kuliko Tanga, Kuna mambo mengi sana ktk kukua kwa miji.
Ni sawa ba kusema lwa nini Tunfuma inakua kuliko Mbalali.
Hivi Mbeya usipolima na kuwa mchuuzi wa mazao utafanya ishu gani nyingine,.
Fursa ya mipaka inatimiwa na wageni zaidi kuliko wenyeji.
Vitu vingi vinasafirishwa kwenda mikoani badala nje ya mipaka, kwa hio Mbeya imekuwa njia panda ya wageni badala uwe fursa kwa wanambeya.
Kaskazini wanajitahifi zaidi kusafirisha mazao kenya kuliko kusini.
Tujadili ktk mtazamo chanya sio hasi maana hii mikoa tunaishi wote, hivyo maendeleo ni ya wote.
Mimi naamini in hard work,naunga mkono mbeya sababu ya hard work,uchuuzi tuwaachie DP.world
 
Umeanza vizuri ndugu P, ila umekuja kuharibu hapo kwenye "wanawake wa Mbeya sio wachoyo". Jiji la Mbeya lina mkusanyiko wa wanawake kutoka mikoa mbalimbali.
Mi nadhani hali ya hewa ya baridi ndio hufanya wanawake wengi wa huko kutokuwa "wachoyo".
Wanaongoza kukosa ni Njombe
 
Nimeishi Mbeya almost 5 yrs ..pabovu mno hapo mjini..hufeel raha ya kuwa ni mji..slums kote
It depends,huo mji masika watu wanaenda shamba mjini wanarudi kiangazi ,sasa jipange uwe una hang uzunguni na soweto,na uyole in fact Arusha ni nzuri for hang out,Dar es salaam ni fujo muda wote. Mbeya Hata maeneo ya forest yako bomba hakuna slum sana.na forest mpya.
 
Mbeya ndio kijiji kikubwa Afrika Mashariki
Muwe na tabia ya kuridhika,Forest mpya Iko poa,uzunguni ni poa sana for hiking,an the like,ukienda soweto pia kuko poa,jitahidi kutafuta vibe,mnaita mbeya Kijiji kwa kuringanisha na wapi,ondoa uwekezaji wa serikali DSM na Dodoma zina nini hapo,reform ya miji haiko vizuri.Mwanza inavurugwa kila Kona sasa hivi ndivyo tulivyo,Ukienda uyole.njia ya tukuyu nako kuko poa sana you can hang out,Raha itafute usifuate mkumbo.
 
Mbeya pana uzuri wake,huwezi kupa down grade moja kwa moja,shida ni watu wake wanavopasifia sanaaaa,..hii ndiyo hufanya mtu ambaye hajawahi fika mbeya kabisa,anatamani siku moja afike...akisha fika mkiwa mjini katikati ( yaweza kuwa uhindini,mwanjelwa,sido,kabwe nk) mgeni wako atakuuliza "mjini ni wapi?".. wewe utamjibu "hapa ndiyo mjini", basi utamuona mgeni wako akikata tamaa kabisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mimi napenda forest mpya ya zamani uzunguni na uyole yote,kwa kifupi Sina baya,hata makunguru Kuna vibe flani hivi
 
Kwa Mbeya mjini hapana mkuu.Danganya wasiofika.
1.Poor Infrastructures,barabara za mitaaniu ni vumbi&giza
Hata taa za mitaani shida..
Soko changamoto
(Sijaona cha maana pale Mwanjelwa,Kabwe & Soweto)
Stand za bus mjini na nanenane ni aibu,hakuna majengo ya maana ya stendi kama zilivyo Msamvu Terminal,Magufuli Terminal,Dodoma(88) Terminal etc
2.Poor housings etc
Labda pembezoni huko.
Vijumba vingiii kuliko nyumba za maana.
Isipokuwa taasisi tu
NB;
Kwa hali ya hewa ni pazuri✓
Utalii wa mandhari asilia✓
Hoteli Nzuri ×
Wingi wa watu✓
Vyakula✓
Nahisi mlivyomkwaza jiwe kipindi kile, aliamua kuwatelekeza kimiundombinu😅😅
Nashauri utembelee mikoa mingine.
 
Halafu nilisahau kuwauliza watu wa Mbeya,
Vipi mbususu za huko?
Bei zao ni elekezi
Pia pisi za huko ni kali au ni mbegu fupi kama za kule kwa kina nanihii?
Dsm ni mchanganyiko wa kaskazini na Kanda ya ziwe,in fact DSM ni cream ya nchi,Mbeye walioharibu ni wavamizi wameleta vipimbi vingi mno
 
Mbeya hawana international school hata moja, st francis ni shule bora tu lakini si shule ya kimataifa.
Kumbuka haya malalamiko ya ubora wa nchi ni ya kote,na huu ni wakati wa mpito,tujitahidi kujenga nchi mafisadi wasifixhe pesa Switzerland
 
Daraja zuri lakini angalia background hapo hizo nyumba za tope kila mahali, na hapo ndio maeneo yenu ya kula bata, kutwa nzima kukesha kwenye makanisa na mambo ya kishirikina na kupiga umbeya kama jina la mkoa wenu.
Duuu,kitombile hasira zote za nini
 
😅😅😂😂🤣🤣 atakuja mtu hapa aseme MBEYA NI LIKIJIJI LIKUBWA LILILO CHANGAMKA"🏃🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom