Hawa gen z ndo wanajenga holela,mwanza master plan ni nzuri,ukiwa mitaa nyegezi ndani huko ni hovyo kabisaMkuu, sioni tofauti kubwa sana ya ujenzi holela baina ya Mbeya na Mwanza.
Kama ilivyo Mbeya, Mwanza ina maeneo mengi ambayo mpangilio wake ni holela.