Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Mbeya ndio inaongoza Kwa fertilizer consumption hapa Tanzania wewe hujui kitu.
Kwa hio unasherehekea ardhi iliokufa , Wenzio wanapanda mahindi bila mbolea na wanavuna. Biodiversity ya mbeya isha kufa, ardhi haina uhai tena. Watu wanaojielewa wanataka kurudi kwenye kilimo hai wewe unajitapia inorganic ! Umewahi fanyika utafiti kupima vyakula vinavyozalishwa mbeya ? Vyakula vya mbeya vimejaa sumu kwa taarifa yako. Na ndio maana magonjwa yamejaa tele.
Ardhi ya mbeya ilishakufa mkuu ni suala la mda tu, sema Tanzania mazombi ni wengi.
Ikija kutokea mtu akafanye utafiti wa vyakula mbeya basi havitaenda sokoni, vimejaa sumu.
Hii mada ya fertilizer naomba uiache maaana binafsi nimelima sana viazi. Nakuhakikishia serikali ikiamua ipime madhara ya fertilizer na viatilifu kwa watu wa mbeya itastaajabu. Uzuri TZ tunaishi kama makondoo tu ndio maana watu kama wewe mnafurahia matumizi ya chemicals kwenye mimea.
Mwanza nao hutumia kem9kali kwenye pamba marhara yake ni kidogo sana kwa sababu pamba hailiwi ispokuwa mafuta na mashudu kwa wanyama. Anza kampeni tlya kupunguza matumizi ya kemikali ili kunusuru afya za watanzania.
 
Kwa hio unasherehekea ardhi iliokufa , Wenzio wanapanda mahindi bila mbolea na wanavuna. Biodiversity ya mbeya isha kufa, ardhi haina uhai tena. Watu wanaojielewa wanataka kurudi kwenye kilimo hai wewe unajitapia inorganic ! Umewahi fanyika utafiti kupima vyakula vinavyozalishwa mbeya ? Vyakula vya mbeya vimejaa sumu kwa taarifa yako. Na ndio maana magonjwa yamejaa tele.
Ardhi ya mbeya ilishakufa mkuu ni suala la mda tu, sema Tanzania mazombi ni wengi.
Ikija kutokea mtu akafanye utafiti wa vyakula mbeya basi havitaenda sokoni, vimejaa sumu.
Hii mada ya fertilizer naomba uiache maaana binafsi nimelima sana viazi. Nakuhakikishia serikali ikiamua ipime madhara ya fertilizer na viatilifu kwa watu wa mbeya itastaajabu. Uzuri TZ tunaishi kama makondoo tu ndio maana watu kama wewe mnafurahia matumizi ya chemicals kwenye mimea.
Mwanza nao hutumia kem9kali kwenye pamba marhara yake ni kidogo sana kwa sababu pamba hailiwi ispokuwa mafuta na mashudu kwa wanyama. Anza kampeni tlya kupunguza matumizi ya kemikali ili kunusuru afya za watanzania.
Unatapatapa.Ingeanza Kufa all over the World.

Matumizi makubwa ya mbolea=Tija kwenye uzalishaji sawa na faida zaidi ya kibiashara.

Mbeya ni Mkoa wa Kimkakati,na mbolea nyingine zimeshafika Kwa Ajili ya msimu Mpya wa kilimo👇👇

View: https://youtu.be/ngZmDWyQJtE?si=Q58xnlhXeaxsXzT1
 
Wewe una mahaba na mbeya.
Kwa hio hivyo ulivyotaja ndio viwanda ? Umewahi fanya kazi au ingia pale TBL. Malighafi gani inauzwa na watu wa mbeya mle kiwandani ? Kiwanda cha bia fully automation hakuna mamia ya waajiliwa pale wala hakuna value chain, ngano inatoka nje. Pale c4ment mnauza miamba ya kusagia cement ?
Mwanza fish industry inatosha kuzipita huto tuviwanda tote twa mbeya. Ykisikia nchi za maziwa makuu ujue Vi toria ndio baba yao.
Mbeya haitakaa iipite Mwanza kamwe labda wakati tumezeeka au tumerudi kwa maulana.
Mbeya ni mkoa wa wachuuuzi. Hakuna mzunguko wa hela pale. Mbeya ndio mkoa unaongoza kwa subsistence farming ukiondoa mbalali watu wanalima tu portion portion sasa utatajirika kwa kulima chini ya heka 100. Kumkuta ntu anamiliki heka 100 za avocado ni hadithi ya abunuwasi wenzenu Njombe wapo wanaomiliki mpeka heka 700 nawajua trna ni watu wabkawaida hawanw title. Mbeya Shsmba kubwa ni Rungwe Avo ado ambao wana heka 800.
Ukija sekta ya viazi mviringo yaani ni majanga na aibu bora hata nisiseme.
Tukiandika humu usidhani hatujaishi huko. Ukianzia mbalizi mpaka kule juu umalila ni wapi utaona mtu katandika mkeka wa kueleweka ? Njoo uyole mpaka kyela kuna shamba gani kubwa zaidi ya tu plot plot kama viwanja vya mjini. Njoo ukanda wa mwakaleli na busokelo wapi kuna mahekta ya kilimo ? Unaweza ona kidogo chai ukanda wa ushirika, tena nayo ni dead industry.
Ndizi ndio zao la walala hoi. Sijawahi ona mtu katajirika kwa ndizi kama ilivyo chai. Unataka kuniambia chai ni pulling factor kama pamba ?
Zaidi ya bonde la mbalali mbeya hakuna pulling factor inayoweza kuita watu wawekeze zaidi ya dwellers. Mtu mwenye akili zaKe ni bora akawekeze kilimo Songea, katavi, moro, Njombe.
Mbeya ni mkoa wa kuganga njaa na ndio maana wanachelewa kuamka na wanawahi kulala.
Mpaka SGR kupelekwa mwanza sio jambo dogo.
Shayiro inayotumika Kuzalisha bia hapo TBL wewe unajua inalimwa wapi?

Kama sio viwanda ni nini? Mwanza vipo?

Kinachotafutwa ni kuwa na maisha ya middle class na sio kuwa Tajiri,Hilo linahitaji extra ordinary efforts ndio maana Mbeya ni Kati ya Mikoa 3 Tanzania yenye per Capita income kubwa.
Screenshot_20241007-071513.jpg


Kilimo Cha ekari 5 kinafaa kabisa Kwa ku appy mechanisation na mbinu Bora za Kilimo ,Mbeya Hilo wanaweza tena unaamua ulime viazi,Tumbaku, parachichi,pareto,Mpunga au Kakao nk nk

Mwisho Mbeya ingekuwa Haina mzunguko wa pesa usingekuta mabilioni ya Mapato kama haya kwenye Halmashauri zake ,huwezi Kuta Mikoa mingine ya kipuuzi kama huko kwenu 👇👇
juma_zuberi_homera_1720609958796204.jpg
 
Kuna vitu vingine mnaongea kama mnachekesha au msiokuwa na akili.Kuna Mji Nchi hii ambao Barabara za Mitaani zote ni vumbi? Kama unadai hakuna hata kidogo nikuoneshe picha za Barabara za Mitaani?

Stendi sio hayo majengo unayodai wewe,kote yalikojengwa yamekaa hayatumiki,Sasa ni mpumbavu tuu ndio anaweza ona ni jambo la kujivunia kumwaga pesa harafu hazizalishi popo wanaishi kuanzia Dodoma, Magufuli, Sumbawanga,Iringa,Mwanza kote huko majengo Yako iddle yanazidi kuzeeka.So Mbeya hawatakiwi kuiga upuuzi huu ,majengo yaje kujengwa pale tuu yanapohitajika.By the way ujenzi wa Stendi Mpya unaendelea Old Airport.

2.Poor housing ni tofauti kabisa na mipango Miji.Poor housing kulinganisha na wapi labda ambako hakuna Vijumba.Wanaoweza kuleta jeuri Kwa Mbeya ni Dodoma mjini tuu,huko Mikoa mingine kuna Vijumba vya mafukara kama wote ikiwemo Dar achilia mbali vimikoa vyenu vingine vya hovyo.

Mwisho Jiwe alijenga miundombinu wapi hapa Tanzania,nitajie nikuonhe huko kwenu kunavyofanana.
Bro, umesahau kufuta povu mdomoni😂😂😂😂
 
Hiyo ndiyo green city, watu wameshaanza kuweka viwanda miaka 5 ijayo litakuwa jiji la viwanda maana malighafi zitachakatwa kwanza huko ndiyo zisafirishwe
 
Shayiro inayotumika Kuzalisha bia hapo TBL wewe unajua inalimwa wapi?

Kama sio viwanda ni nini? Mwanza vipo?

Kinachotafutwa ni kuwa na maisha ya middle class na sio kuwa Tajiri,Hilo linahitaji extra ordinary efforts ndio maana Mbeya ni Kati ya Mikoa 3 Tanzania yenye per Capita income kubwa.
View attachment 3140343

Kilimo Cha ekari 5 kinafaa kabisa Kwa ku appy mechanisation na mbinu Bora za Kilimo ,Mbeya Hilo wanaweza tena unaamua ulime viazi,Tumbaku, parachichi,pareto,Mpunga au Kakao nk nk

Mwisho Mbeya ingekuwa Haina mzunguko wa pesa usingekuta mabilioni ya Mapato kama haya kwenye Halmashauri zake ,huwezi Kuta Mikoa mingine ya kipuuzi kama huko kwenu 👇👇View attachment 3140342
We jamaa unapambsnia home. Kwa hio hayo maisha ya uyole nzovwe mabatini ni middle income ? Mh haya bana chukua kombe.
 
Back
Top Bottom