Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Hakuna mkoa mzuri wa kuishi kama Mbeya hapa Tanzania

Mkoa wenyewe imejengwa hovyo hovyo hasa Mbeya mjini kuliko mkoa mwingine wowote hapa Tanzania.
Miundo Mbinu mibovu kuliko mkoa mwingine wowote.
Mbeya mjini wameharibu jiografia kwa kujenga hovyo hadi kwenye vimilima kama kile cha Ilemi, cha Simike! Skwataz everywhere.
Haku mipango mji wanajenga hovyo saaana
 
Msopende sana mikoa yenye cgakula kingi, hsina nxunguko wa hela.
Mbeta,Songea,Rujwa, Kigoma, Kagera,Kilimanjaro.
Hio mikoa utashiba ika hela za maana hutashika. Mkoa unaoata ndizj 4 kwa miambili utatoboa hapo.
Ili uyoboe hio mikia inakubidi ulime usafirishe mikoa mingine.
Napingana na usgsuri wako. Maisha sio cgakuka vali ni hela ukiwa na hela utanunua chochote..
Ili upate elf 10 itabifi uuze sagani ngspi za chips au chane ngapii za nduzi!
Tulia uandike vizuri
 
Mkoa wenyewe imejengwa hovyo hovyo hasa Mbeya mjini kuliko mkoa mwingine wowote hapa Tanzania.
Miundo Mbinu mibovu kuliko mkoa mwingine wowote.
Mbeya mjini wameharibu jiografia kwa kujenga hovyo hadi kwenye vimilima kama kile cha Ilemi, cha Simike! Skwataz everywhere.
Kwa hili uko sahihi kabisa. Baada ya Mjerumani kupanga mji Sokomatola, Nonde, Ghana na Uhindini, serikali ikaja kupanga kidogo Block T, Q na X. Baada ya hapo wakazembea mpaka mji ikaharibikia Makunguru, Ilemi, Simike, Ilolo na Isanga. Wamekuja kushituka hapa majuzi na kuanza kupima Isyesye, Iwambi na Nsalaga. Kwenye mipango miji mbeya wamekwama sana. Waliojitahidi kupanga miji Nyanda za juu Kusini ni ji wa Vwawa na Sumbawanga mjini. Tunduma ni mji takataka kama ilivyo Ilemi.
 
Mbeya pana uzuri wake,huwezi kupa down grade moja kwa moja,shida ni watu wake wanavopasifia sanaaaa,..hii ndiyo hufanya mtu ambaye hajawahi fika mbeya kabisa,anatamani siku moja afike...akisha fika mkiwa mjini katikati ( yaweza kuwa uhindini,mwanjelwa,sido,kabwe nk) mgeni wako atakuuliza "mjini ni wapi?".. wewe utamjibu "hapa ndiyo mjini", basi utamuona mgeni wako akikata tamaa kabisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Haya uliyoyasema ndo yalinikuta nilipofika mbeya.
..
 
Mbeya haifai kuitwa hata manispaa
Jiji gani CBD haijulikani ipo wapi hamna mishe mishe hata kidogo watu wake wamekaa kilugaluga, hakuna vibes wala mipango miji, hakuna sehemu ya starehe zaidi ya vilabu vya gongo, huwez kujua kijana ni yupi mzee ni yupi wote wanavaa mibwanga tu, kilugha kila mahali, nyumba za tope adi katikati ya mji, ni tabu na kelele za mabajaji kila kona, poor city, poor mbeya.
 
Mbeya pana uzuri wake,huwezi kupa down grade moja kwa moja,shida ni watu wake wanavopasifia sanaaaa,..hii ndiyo hufanya mtu ambaye hajawahi fika mbeya kabisa,anatamani siku moja afike...akisha fika mkiwa mjini katikati ( yaweza kuwa uhindini,mwanjelwa,sido,kabwe nk) mgeni wako atakuuliza "mjini ni wapi?".. wewe utamjibu "hapa ndiyo mjini", basi utamuona mgeni wako akikata tamaa kabisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Mbeya raha ,Mbeya Ina Suburban 4

Uyole, Mwanjelwa, uhindini na Mbalizi zote ni 🔥🔥🔥
 
Mbeya haifai kuitwa hata manispaa
Jiji gani CBD haijulikani ipo wapi hamna mishe mishe hata kidogo watu wake wamekaa kilugaluga, hakuna vibes wala mipango miji, hakuna sehemu ya starehe zaidi ya vilabu vya gongo, huwez kujua kijana ni yupi mzee ni yupi wote wanavaa mibwanga tu, kilugha kila mahali, nyumba za tope adi katikati ya mji, ni tabu na kelele za mabajaji kila kona, poor city, poor mbeya.
Naona haters mnafarijiana ila Cha kufanya hamna 😁😁
 
Mbeya ingepata planning za maana, kwa kweli kwa hali yake ya hewa na productivity, ingekuwa kweli haishikiki. Halafu mbali na mipango miji lkn hata wananchi wenyewe hawaachiani space za mawasiliano ardhini. Sijui wanategemea tutembee kwa nyungo?
 
Mahindi 27000 kwa sasa mbeya, viazi 12 ndio, Mchele hadi 60 kwa ndoo maisha ni magumu mbeya kwa sasa
 
Shule za international zipo nyingi nyingi kwa sasa na zinafanya vizuri sana tu, ukiachana na za hapa mjini za wilaya nyingine pia
 
Mbeya ni mkoa wa tatu ukitoka iringa, njombe inafuata mbeya kwa kuwa na watoto na watu wenye udumavu na unyafuzi na viribatumbo na kwarshiokor.
Takwimu hizo umezitoa wapi? Yaani Mbeya kuna unyafuzi watoto. Ficha chuki zako dada
 
Mkoa wa Mbeya ni Kati ya Mikoa mitano iliyopo Nyanda za Juu Kusini sanjali na Mikoa ya Ruvuma, Iringa, Songwe, Njombe na Rukwa. Mbeya ilianzishwa mwaka 1961.

Mkoa wa Mbeya umejaaliwa kila kitu unachokijua wewe.

Kwa hapa Tanzania sijaona Mkoa Mzuri wa Kuishi kushinda Mbeya.

1. Kiuchumi
Mbeya ni ya 3 Kwa kuchangia pato la Taifa yaani GDP Tanzania.

Mbeya ni ya 3 Kwa kuwa na Watu wenye kipato kikubwa.

 2. Hali ya Hewa na Mandhari
Mbeya Ina Hali ya hewa ya majira yote yaani Bariadi na joto na mvua ni uhakika sio tia maji tia maji kama Mikoa mingine.

3. Usafiri
Uwanja wa ndege wa Songwe
Usafiri wa Barabara kutoka Mikoa yote na Nchi jirani Kupitia Barabara kuu ya Tanzam. Usafiri wa kwenye Maji via Ziwa Nyasa. Pia Kuna usafiri wa reli nzuri kabisa unakufikisha Zambia kutokea Dar.

4. Kilimo
Mbeya Ina Ardhi nzuri ya kulima Kila aina ya zao kuanzia mbogamboga, matunda, nafaka Hadi pareto na chai.

5. Madini na Nishati
Mkoa una Kila aina ya Madini kuanzia Dhahabu za Chunya Hadi Makaa ya Mawe ya Kiwira bila kusahau Madini ya gas asilia ya CO2. Umeme ni wa uhakika unaozalishwa kutoka migodi ya Kiwira na Geothermal.

6. Elimu
Mbeya ni Kati ya Mikoa ya Wasomi hapa Tanzania. Mkoa wa Mbeya una vyuo Vikuu zaidi ya 5 mfano MUST, Mzumbe, CuCoM, UDSM, Tumaini, nk.

Mkoa una mamia ya vyuo vya kati na shule za kutosha eg St.Francis hivyo ni ideal pia Kwa issues za Elimu.

7. Utalii
Hapa kwenye Utalii ndio Kuna fursa nyingi maana sehemu kubwa ni underdeveloped.

Kuna Milima ya Kawetere, bwawa la Mungu, Hifadhi ya Kitulo na pia unafika Kwa urahisi Ruaha au Katavi NP kutokea Mbeya.

8. Viwanda na Biashara
Kuna viwanda vya aina mbalimbali kama Saruji, vinywaji vikali na laini kama soda, bia, wine nk.
Kuna viwanda vya magodoro, vifaa vya ujenzi, home appliances nk.

Aisha kama unataka kujenga viwanda Kuna maeneo ya kutosha yametengwa Kwa Ajili hiyo.

Mbeya ndio Kitovu Cha Uchumi wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.

9. Makazi na Accomodations
Kuna fursa kubwa Bado ya ujenzi wa hoteli za kitalii na hoteli za kawaida maana ni Mkoa wa Biashara hivyo itakulipa.

Pia Hapa ni wewe tuu maana ujenzi wa Mbeya sio costful kama Mikoa mingine,unachagua ijengee tofauti au blocks au hata tofari mbichi udongo una nata vizuri kabisa.

10. Watu
Mbeya Ina idadi ya watu zaidi ya milioni 2.3 Kwa Mkoa mzima wanaokuhakikishia soko.

Aidha watu wake ni Wapambanaji ndio maana huwezi kusikia Mbeya ikitajwa kwenye mambo ya umaskini na shida ndogo ndogo,hawalalamiki kusubiria serikali.

11. Michezo na Burudani.

Mbeya Ina Wasanii wakubwa Toka kitambo ila icon ya Mkoa ni kina Sugu,VanBoy na Stamina.

Kwenye Michezo hapo ndio nyumbani hususani football.Mbega Ina Timu 3 Ligi kuu za Prisons,Ihefu,Mbeya City na Timu 3 Ligi daraja la kwanza za KenGold,Mbeya Kwanza na Tukuyu Stars.Na Ina Wachezaji Wakubwa wengi tuu na makocha.

Kiufupi hiyo ni summary ndogo sana Kati ya Mengi mazuri yaliyopo Mbeya,Karibuni sana Mbeya.





View attachment 2565251View attachment 2565252View attachment 2565253
Umefafanua vizuri sana mkuu mpaka nimetamani kuhamishia huko hii biashara yangu ya majeneza
Vipi mzunguko huko utakuwa vizuri ?
Isije ikanitokea kama kipindi kile nilipoenda kujaribu hii biashara Zanzibar ikawa misiba mingi ni ya waislamu tu mpaka mtaji wangu ukayumba na kahela kenyewe ka mkopo[emoji848]
 
Back
Top Bottom