What happened??Mkubwa umemaliza kila kitu . Niliwahi kumkuta mdada mrembo sana na miaka yake 32. Nikafakamia kilichonipata nitasimulia maisha yangu yote
Umeona eeh! Waswahili wana msemo usemao "nazi mbovu ndiyo hubakia mezani".Mkubwa umemaliza kila kitu . Niliwahi kumkuta mdada mrembo sana na miaka yake 32. Nikafakamia kilichonipata nitasimulia maisha yangu yote
Na kweli mkuuHata hio 25 ni mbali
Unaweza kunishambulia kwa maneno makali lkn huo ndiyo ukweli. Msichana mzuri na mwenye tabia njema hafikishi 25 bila kuolewa. Atalazimishws na pressure ya waoaji kwa gharama yoyote ileWewe mwehu nini!
Unaonge house girls au wasomi huo ndiyo umri wa kimaliza vyuo!Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
Mbona Rihanna wa Matejo bado?Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
Ni mzuri wa sura na umbo kubwa zaidi alikuwa na kazi nzuri na kwao ni mtoto wa mwisho. Nilizama kwenye penzi na kaamua nioe kabisa mapicha picha yalianza ya kutoshaWhat happened??
Wenye sura za baba zenu ndiyo mnabakia mitaani na mnaleta na mabango humuEm tuoneshe ambao wewe umewaumba afu wameolewa
Utakuwa na sura ya babako wewe. Umekataliwa na wanaume zaidi 10, wamepiga wakakojoa halafu wakasepa25 unaolewa unakimbiliaa ndoaa ya nn wkt ujana ujaumalizaa ujatoa hata mimbaa 3 ndoaa itakushnda ,,angalau 29 nakuendelea ndio uwaze kuolewaa..
NA C LAZIMA KUOLEWA AU KUOAA..
KATAAA NDOAAAAAA...
nakubaliana na wewe kwa asilimia zote mia moja japo watakuja masingle mother wa jf kupinga ila ukweli unabaki pale pale hakuna binti mzuri wa sura na tabia atafika 26 hajaolema na wanaume hua wanawanyukua haraka sana.Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nn? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!