Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Kilichokufanya usiolewe mpk miaka 33 ni Nini kama siyo uzinzi? Unaolewa miaka 33 ili update nn zaidi ya kusumbua mkaka wa watu kukupeleka tiba mbadala ili update mimba?

Ninyi ndiyo mnazaa mtoto mmoja tu tena mwenye mtindio wa ubongo. Maana mifuko ya uzazi ishaharibiwa na midonge ya kutoa mimba tangu ukiwa na miaka 13 mpaka 33 umetoa mimba zaidi ya 20.

Na huyo aliyekuoa naye atakuwa hamnazo au labda ni mbabu wa miaka 80. Mwanamke miaka 33 unampeleka wapi? Na wa nn?
Maneno makali sana

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wadada wa JF this time around wanakula bakora ile kiroho mbaya..

Acheni hizo wakuu.
 
Wapo wengi wazuri tu na tabia njema na wamepita age hiyo hawajaolewa, na hii yote ni mazingira waliyokulia, wazazi kuwa wakali saana unaogopa kuwa hata kwenye mahusiano au kuchagua saana wachumba.
 
Hiyo mishisha kama gari moshi,unavozipenda bange/
ATAKUOA NANI

Umezidisha kila party hukosi na lazima uliwe/
ATAKUOA NANI.

Mwili umejaa matattoo,na hayo matattoo unatembea kwa miguu/
ATAKUOA NANI.

Na unavozipenda pombeee,ukishalewa wanaswaga kama ling`ombe/
ATAKUOA NANI.

Na huo usingo maza na unavorembua,nyodo kibao,na shepu yako ya box/
ATAKUOA NANI..

Halafu kama ni singo mama hata uwe na miaka 20,tako laini,sura nzuri,tabia nzuri nenda kacheze porno tu/
HUOLEWI NG'O!!!
Daaaaah sasa hivi mtu akikumimba then akasepa ni kumroga tu no way out. Hizi kebehi kwa masingo maza zimezidi sana. Hakuna mtu anapenda kuzalishwa na kuachwa punguzeni ukali wa maneno!
 
Msichana aliyeumbika vizuri na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nini? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!
Point[emoji3578]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wadada wa JF this time around wanakula bakora ile kiroho mbaya..

Acheni hizo wakuu.
Ndiyo maana hawaonekani JF muda huu. Miguu yao imepinduliwa chini juu kama buibui
 
Daaaaah sasa hivi mtu akikumimba then akasepa ni kumroga tu no way out. Hizi kebehi kwa masingo maza zimezidi sana. Hakuna mtu anapenda kuzalishwa na kuachwa punguzeni ukali wa maneno!
Kuzalishwa na kuachwa sio hoja...tatizo linaanzia pale unapoolewa halafu unaendelea kuwasiliana na baba wa mtoto...
Ndio sababu inafanya tuwaogope singo maza kuliko kituo cha polisi..
 
Kuzalishwa na kuachwa sio hoja...tatizo linaanzia pale unapoolewa halafu unaendelea kuwasiliana na baba wa mtoto...
Ndio sababu inafanya tuwaogope singo maza kuliko kituo cha polisi..
Hata asiye singo maza ana uwezo wa kudate na wewe huku akiwasiliana na ex wake!
 
Kwa kifupi wanawake smart wote wameolewa.
 
Binti anafika kwenye maximam uzuri akiwa na 22 na katika age hiyo wajuba kibao wanammezea mate na yeye kwakuwa beki hazikabi anaacha mlango wazi wageni wanagonga sana ,sasa wageni wakigonga sana title yake inabadilika na anakuwa malaya then hakuna mwanamme anayeoa malaya hence wanaokuja watakuwa hit and run akija kustuka 30s hii no ndoa.
Hahaha
 
Back
Top Bottom