Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,808
- 6,934
Labda bikra ya mchongoSiyo kweli mbona wangu nimemuowa akiwa na 30+ na bado alikuwa bikra.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda bikra ya mchongoSiyo kweli mbona wangu nimemuowa akiwa na 30+ na bado alikuwa bikra.
Hoja yako iko na mapungufu kadhaa likiwemo suala la kuzingatia factor KamaMsichana aliyeumbika vizuri na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nini? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
Hivi Mwanamke akichukua sura ya Baba yake ndio lazima awe mbaya?Hakuna mkuu. Hata kama una dada zako au majirani lkn hawajaolewa at 25 walinganishe sura zao na zile za baba zao. Kama hawajafanana na baba zao nasimamia uwanja wa Mkapa uniite MBWA
Ndiyo. Tunategemea mama ndiyo awe na sura nzuri kuliko baba. Sasa kama mtoto kachukua sura ya baba maana yake kachukua sura mbayaHivi Mwanamke akichukua sura ya Baba yake ndio lazima awe mbaya?
Tabia mbovu sawa ila kama wana sura mbovu kosa ni la nani? Wao wana kosa gani na hawakujiumba?Issue siyo kushukuru Mungu. Mungu hapa huwa anapewa lawama za bure.
Wote ambao hawapati wachumba mpka 25 Wana tabia mbovu ama Wana sura mbovu
Na kama Baba ndio mwenye sura nzuri kuliko mama?Ndiyo. Tunategemea mama ndiyo awe na sura nzuri kuliko baba. Sasa kama mtoto kachukua sura ya baba maana yake kachukua sura mbaya
Mkuu tuheshimiane tusivinjiane heshima.Nimeeleza kisa siyo UKIMWI am free from AIDSUngetumia Condom mkuu , UKIMWI ni hatari.
Kilichokufanya usiolewe mpk miaka 33 ni Nini kama siyo uzinzi? Unaolewa miaka 33 ili update nn zaidi ya kusumbua mkaka wa watu kukupeleka tiba mbadala ili update mimba?
Ninyi ndiyo mnazaa mtoto mmoja tu tena mwenye mtindio wa ubongo. Maana mifuko ya uzazi ishaharibiwa na midonge ya kutoa mimba tangu ukiwa na miaka 13 mpaka 33 umetoa mimba zaidi ya 20.
Na huyo aliyekuoa naye atakuwa hamnazo au labda ni mbabu wa miaka 80. Mwanamke miaka 33 unampeleka wapi? Na wa nn?
Hata kama ni utani usifanye hivyo kwa mwenzio please siyo vizuri.Fikiri Ingekuwa kwakoUKIMWI ulipima mkuu? Unajua ukichelewa kuanza dozi utateseka sana
Kweli mkuu ngoja nifute reply hiyoHata kama ni utani usifanye hivyo kwa mwenzio please siyo vizuri.Fikiri Ingekuwa kwako
Sure !Futa kabisa chiefKweli mkuu ngoja nifute reply hiyo
Inatokea kwa 1 kati 100Na kama Baba ndio mwenye sura nzuri kuliko mama?
Kitambo nilifutaSure !Futa kabisa chief
Wapo wengi tuu hasa wasomiDada yangu Executivesister wapo wanawake wa kitanzania waliofika miaka 30 hawajui kupika chakula?
Sipo hapa kujitetea hili ni jukwaa la kuelimishana, nina watoto 3 wa mwisho ana 3 years, nina ndoa yenye Furaha kwa sababu I live my life hata watu wengine nawashauri hivyo, ishi maisha yako na uwajibike na maamuzi utakayoyafanya, hakuna anaehusika na kufeli kwangu kwenye kitu chochote, wanawake wasitiwe hofu wakajikuta wanaingia kwenye ndoa ya majuto eti kwa sababu umri umeenda, Mwanamke wawekeze kwenye akili, uzuri una kikomo maarifa hayana kikomo.Mtoto wako wa Kwanza Ana umri gani?
Punguza kujitetea.
Ni kwa sababu wewe au ndugu yako mliwahi kushiriki kwenye utoaji mimba ndo maana, wanangu wote ni responsible kids kama mama yao,na hakuna mwenye shida yoyote, sishangai ukinishambulia hivi kwa sababu hunijui na mimi sikujui ninachoandika usikichukulie binafsi utaumia sana. Muda wote huo niliamua kutulia ndo maana nilipata mume anaenipenda kweli maana mimi ni mtulivu wa mwili na akili pia.Kilichokufanya usiolewe mpk miaka 33 ni Nini kama siyo uzinzi? Unaolewa miaka 33 ili update nn zaidi ya kusumbua mkaka wa watu kukupeleka tiba mbadala ili update mimba?
Ninyi ndiyo mnazaa mtoto mmoja tu tena mwenye mtindio wa ubongo. Maana mifuko ya uzazi ishaharibiwa na midonge ya kutoa mimba tangu ukiwa na miaka 13 mpaka 33 umetoa mimba zaidi ya 20.
Na huyo aliyekuoa naye atakuwa hamnazo au labda ni mbabu wa miaka 80. Mwanamke miaka 33 unampeleka wapi? Na wa nn?
Mmh! Kwamba from 13 to 33 ulikuwa ukipatwa hamu unatumia nn? Tango, mpingo wa mmakonde ama maji ya moto?Ni kwa sababu wewe au ndugu yako mliwahi kushiriki kwenye utoaji mimba ndo maana, wanangu wote ni responsible kids kama mama yao,na hakuna mwenye shida yoyote, sishangai ukinishambulia hivi kwa sababu hunijui na mimi sikujui ninachoandika usikichukulie binafsi utaumia sana. Muda wote huo niliamua kutulia ndo maana nilipata mume anaenipenda kweli maana mimi ni mtulivu wa mwili na akili pia.