Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Wewe mwehu nini!
Mbona jazba bibie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwehu nini!
Mtoto wako wa Kwanza Ana umri gani?Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.
This People or That People, both of them can be used in a singular. Don't be static."THAT PEOPLE " kingereza cha wapi hiki??? Andika kiswahili.
Ulikuta mali haina breki au?Mkubwa umemaliza kila kitu . Niliwahi kumkuta mdada mrembo sana na miaka yake 32. Nikafakamia kilichonipata nitasimulia maisha yangu yote.
😂😂😂😂Subiri manungaembe ya JF yakufuate.
Wengi wamejificha kwenye picha za wadada wengine
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Duh!?Wewe mwehu nini!
Hii inabid uifungulie uzi kabsa mkuuSintasahau na naomba nishauri kitu kwa wanaume wote wanaohitaji kuoa kupitia ushuhuda wangu .Mdada yeyote awe kanisa ni au msikitini alifikisha umri wa miaka 30 tafadhali jibe muda wa kutosha kabla ya kufanya maamuzi ya kumuoa.Sisemi usimuoe mpe muda wa kusoma haswa.Mimi yalinipata yafuatayo na nilikurupuka na kuzuzuliwa na uzuri wake .
1.Nikoswa koswa kuchomwa kisu mara tatu ndoa ikiwa na mwezi mmoja.
2.Kabla yangu aliwahi kuwa na wanaume wakutosha ambao wengine alikula vyao wakaahidi kumkomesha baada ya kusikia amefunga ndoa alichezewa kimazingara hatari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hili Povu hapa si la kitotoWewe mwehu nini!
Umeongea kitu cha kawaida sana mkuu,nilidhan umekuja na kigezo kipya cha wanawake kuolewa,apo mwisho ungemalizia unless yeye mwnyw hatak kuolewa ama lesbian
Km mm chupi kali yenye afya njema me naweka ndan,tabia tainyoosha umo umo ndan
Kilichokufanya usiolewe mpk miaka 33 ni Nini kama siyo uzinzi? Unaolewa miaka 33 ili update nn zaidi ya kusumbua mkaka wa watu kukupeleka tiba mbadala ili update mimba?Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.
Anajipa promo tu humu huyu. Miaka 33 mwanamke anakuwa hatazamiki kabisa. Amekorogwa na mipingo kama yoteDada yangu Executivesister wapo wanawake wa kitanzania waliofika miaka 30 hawajui kupika chakula?
Hawezi kupata mtoto ktk umri huoMtoto wako wa Kwanza Ana umri gani?
.
Bado unazidi kuharibu lugha ya watu acha kujishaua. Unatia aibu hapa jukwaaniThis People or That People, both of them can be used in a singular. Don't be static.
Miaka 33 kweli mwanamke anakuwa hatazamiki Sexless ? Mbona umri huo bado ni wa kijana kabisa.Anajipa promo tu humu huyu. Miaka 33 mwanamke anakuwa hatazamiki kabisa. Amekorogwa na mipingo kama yote
😂😂😂😂😂 Kijana mzeeeMiaka 33 kweli mwanamke anakuwa hatazamiki Sexless ? Mbona umri huo bado ni wa kijana kabisa.
Wasichana wazuri wenye tabia njema waliisha tokea 1968...Msichana aliyeumbika vizuri na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nini? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
Kwasababu gani inakuwa no kwa mwanamke Sexless ?Kwa mwanaume sawa. Lkn mwanamke!! No
Mwanamke by nature anakua haraka Sana. Ndiyo maana Kuna nchi mwanamke anaolewa akibalehe tu (miaka 14). Lkn ushasikia wapi mtoto wa kiume miaka 14 kaoa?Kwasababu gani inakuwa no kwa mwanamke Sexless ?
Nimekuelewa Sexless na mwanaume wa miaka 45, yeye ni mzee au kijana bado? Daa!Mwanamke by nature anakua haraka Sana. Ndiyo maana Kuna nchi mwanamke anaolewa akibalehe tu (miaka 14). Lkn ushasikia wapi mtoto wa kiume miaka 14 kaoa?
Tuje kisayansi sasa. Menopause (kukoma kwa siku za mwanamke ie menstruation cycle) ni miaka 45. Kwahiyo mwanamke anapaswa kuzaa kabla ya miaka 45.
Tafsiri yake mwanamke akifika 45 ni mzee ama ukipenda bibi kizee. Sasa huyu wa miaka 33 si hatazamiki.