Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Umeongea kitu cha kawaida sana mkuu,nilidhan umekuja na kigezo kipya cha wanawake kuolewa,apo mwisho ungemalizia unless yeye mwnyw hatak kuolewa ama lesbian

Km mm chupi kali yenye afya njema me naweka ndan,tabia tainyoosha umo umo ndan
 
Na mm hii nakubali kuna mmoja huyo enzi namfahamu akiwa kwenye 20's alikuwa na uwife material akawa anafuatwa na waolewaji ila sasa akaja akakutana na kijamaa kilikuwa kihuni kikamfundisha pombe na clubbing za kila weekend baadae si akamuacha demu akawa amekolea kweny ulevi,mpk sasa ana 33yrs anahangaikaga tu.
 
Si ndio mkuu, mimi kama nitaoa basi binti wa miaka 17 , nasemaje, bora kuoa mjane au mwenye watoto hata watatu lakini sio hawa wengine (japo sio wote)

Mabinti wengi aged 25+ wana mileage nyingi kuliko mama zao walio ndoani miaka 30

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ila hiyo mileage tunaifanya isome sana ni sisi, tuwaoe tu hakuna namna
 
Mi mwenyewe kuna family friend ana 57 hivyo hivyo mkuuu sema yy kaamua kuolewa na muosha magari

Mwaka jana huyu mbibi ana apartment 9 mkuuu na duka la vipodozi kwa siku ana minya kitu kama 600k sema ndoivyo kaamua kuwa submissive kwa muosha magari wake


Na mwanaume anamuendesha kama nn daaaah we acha tu mkuuu haya mambo haya yanawaumizaga sana japo wanajifurahishaga kinafki tu 😬
Damn it 😅, hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
 
Msichana aliyeumbika vizuri na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.

Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.

Nataka kusema nini? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.

Nimemaliza!
Nani kakutenda huyo. Mm nadhani uweke hivi. Ukifikisha miaka 23 hujaolewa kwisha habari yako
 
Huku mtandaoni sio kwa kushinda kabisa, njoeni kamsamba huku wanaoa hata kama unanyonyesha, ila huko mjini mnatiana hofu sana, na masingle father, mabachelor na single mother wapo wanabebana wao kwa wao wanachanga na watoto maisha yanaendelea
Kamsamba inapatikana wapi ndugu?
 
Mama zetu wametuangusha sana katika kuwakuza mabinti waliozaliwa kuanzia miaka ya 1980+.

Wengi wanahisi mahusiano kwao sio muhimu hadi pale umri unapowatupa mkono na kubakia wakimanga manga kama mabata kwenye bustani nzuri ya mauwa, wakilia Kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwa kwaaaa kwa kwaaaa kwaaa kwa kwaaaa.
 
Nimeolewa na miaka 33 cash, nikiwa nimetulia tulii, kuolewa ukiwa umekomaa akili hata kuendesha familia inakuwa rahisi, kuna mambo mengi unakuwa muelewa sana yaani, nina familia bomba sana tunaishi maisha ya amani kuliko hao walioolewa before 25.Yaani mimi ni mshauri wa ndoa nyingi za walioolewa kabla yangu.Mi naona Mwanamke aolewe akiwa 25 and above ataenjoy. Kama akiolewa kabla ya hapo sio vibaya ila atasota kidogo.
Kuanzia una miaka 13 hadi 33 Yani miaka 20 unachezea mboo tofauti tofauti, jamaa kaoa mtumba grade ya mwisho
 
Hizi mada ni kama zinashabiihana hivi, nadhani watoa mada wana hoja wasikilizwe?

 
Kuanzia una miaka 13 hadi 33 Yani miaka 20 unachezea mboo tofauti tofauti, jamaa kaoa mtumba grade ya mwisho
Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.
 
Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.
Dada yangu Executivesister wapo wanawake wa kitanzania waliofika miaka 30 hawajui kupika chakula?
 
Hiyo mishisha kama gari moshi,unavozipenda bange/
ATAKUOA NANI

Umezidisha kila party hukosi na lazima uliwe/
ATAKUOA NANI.

Mwili umejaa matattoo,na hayo matattoo unatembea kwa miguu/
ATAKUOA NANI.

Na unavozipenda pombeee,ukishalewa wanaswaga kama ling`ombe/
ATAKUOA NANI.

Na huo usingo maza na unavorembua,nyodo kibao,na shepu yako ya box/
ATAKUOA NANI..

Halafu kama ni singo mama hata uwe na miaka 20,tako laini,sura nzuri,tabia nzuri nenda kacheze porno tu/
HUOLEWI NG'O!!
Upo sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom