Ryan Holiday
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 2,026
- 4,450
๐๐๐๐Bado unazidi kuharibu lugha ya watu acha kujishaua. Unatia aibu hapa jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐Bado unazidi kuharibu lugha ya watu acha kujishaua. Unatia aibu hapa jukwaani
Mwanaume wa miaka 45 bado ana miaka mingine 40 ya kupata watoto. Mfano professor Kapuya miaka 5 iliyopita alifunga ndoa na msichana wa miaka 24 huku yeye akiwa na miaka 76. Piusi Mwandu mpk anafariki (78) alikuwa na mke mwenye miaka 26.Nimekuelewa Sexless na mwanaume wa miaka 45, yeye ni mzee au kijana bado? Daa!
Pius N'gwandu - waziri wa maji/elimu ya juu na mbunge wa zamani wa Maswa.Mwanaume wa miaka 45 bado ana miaka mingine 40 ya kupata watoto. Mfano professor Kapuya miaka 5 iliyopita alifunga ndoa na msichana wa miaka 24 huku yeye akiwa na miaka 76. Piusi Mwandu mpk anafariki (78) alikuwa na mke mwenye miaka 26.
E bwanaaa eeh hebu semaMkubwa umemaliza kila kitu . Niliwahi kumkuta mdada mrembo sana na miaka yake 32. Nikafakamia kilichonipata nitasimulia maisha yangu yote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mwehu nini!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahHiyo mishisha kama gari moshi,unavozipenda bange/
ATAKUOA NANI
Umezidisha kila party hukosi na lazima uliwe/
ATAKUOA NANI.
Mwili umejaa matattoo,na hayo matattoo unatembea kwa miguu/
ATAKUOA NANI.
Na unavozipenda pombeee,ukishalewa wanaswaga kama ling`ombe/
ATAKUOA NANI.
Na huo usingo maza na unavorembua,nyodo kibao,na shepu yako ya box/
ATAKUOA NANI..
Halafu kama ni singo mama hata uwe na miaka 20,tako laini,sura nzuri,tabia nzuri nenda kacheze porno tu/
HUOLEWI NG'O!!!
Ninaye mmoja ana 23yrs mpaka mwezi wa kumi anatimiza 24yrs huyu tayari kishakataa wanaume kama kumi hivi ila mimi ndo kaja kunikubali na kishanidirect mpaka kwao nipeleke baruaWaoaji kimya tunacheki mtanange kumbe napaswa kuoa under 25 ili nipate mzuri
Huna sura ya baba, napinga katu katu! alaf boss lady sasa ๐คSisi tulioolewa sura za baba na nyuma flat screen unatuambiaje??? ๐ ๐ ๐ ๐
Oa mkuu huyo ni wife material kabisaNinaye mmoja ana 23yrs mpaka mwezi wa kumi anatimiza 24yrs huyu tayari kishakataa wanaume kama kumi hivi ila mimi ndo kaja kunikubali na kishanidirect mpaka kwao nipeleke barua
Nimemkuta Bikra akiwa na 22yrs kuelekea 23yrs
Nataka nimuoe
Aisee hapa napinga. Kuna wanawake wa maana humu sio weeengi ila wamo bana dont generaliseHakuna mwanamke wa JF ambaye kaolewa. Wote ni malaya wa mjini.
Next time you have to put data on the table.Bado unazidi kuharibu lugha ya watu acha kujishaua. Unatia aibu hapa jukwaani
Hana baya huyu Ninja ๐ชraraa reree ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌ๐ฌ
Punguz speed kidogo
Sio wote ila 89% ni kweliHakuna mwanamke wa JF ambaye kaolewa. Wote ni malaya wa mjini.
Hawezi kuolewa huku anaongeza hiyo elimu??Fala kweli, kama yupo bado anaongeza Elimu?
Hawezi kuolewa huku anaongeza hiyo elimu??
Ahaa basi sawa naniiMsimamo wa mtu, malengo ya mtu, hauna sababu ya kum judge, au kumuwekea mipaka ya lini atafanikiwa kuolewa.
Lengo namba moja la wazazi kwa binti yao ni kuolewa .Hakuna mzazi anayefurahia binti wa miaka 35 na hajaolewa kisa tu ana PhD na magari.Wanawahi wakafue majinsi ๐๐
Eniwei kuna wazazi wanamisimamo yao, sio njaa njaa to them wanahitaji jinti yao afikie malengo fulani ndio achukuliwe
Mlete mume wako humu yeye ndo aseme .Ukute na vumilia yote ili maisha ya sogee tu.Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.