Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Hakuna msichana mzuri wa sura na tabia anafikisha miaka 25 hajaolewa

Nimekuelewa Sexless na mwanaume wa miaka 45, yeye ni mzee au kijana bado? Daa!
Mwanaume wa miaka 45 bado ana miaka mingine 40 ya kupata watoto. Mfano professor Kapuya miaka 5 iliyopita alifunga ndoa na msichana wa miaka 24 huku yeye akiwa na miaka 76. Piusi Mwandu mpk anafariki (78) alikuwa na mke mwenye miaka 26.
 
Hiyo mishisha kama gari moshi,unavozipenda bange/
ATAKUOA NANI

Umezidisha kila party hukosi na lazima uliwe/
ATAKUOA NANI.

Mwili umejaa matattoo,na hayo matattoo unatembea kwa miguu/
ATAKUOA NANI.

Na unavozipenda pombeee,ukishalewa wanaswaga kama ling`ombe/
ATAKUOA NANI.

Na huo usingo maza na unavorembua,nyodo kibao,na shepu yako ya box/
ATAKUOA NANI..

Halafu kama ni singo mama hata uwe na miaka 20,tako laini,sura nzuri,tabia nzuri nenda kacheze porno tu/
HUOLEWI NG'O!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Waoaji kimya tunacheki mtanange kumbe napaswa kuoa under 25 ili nipate mzuri
Ninaye mmoja ana 23yrs mpaka mwezi wa kumi anatimiza 24yrs huyu tayari kishakataa wanaume kama kumi hivi ila mimi ndo kaja kunikubali na kishanidirect mpaka kwao nipeleke barua

Nimemkuta Bikra akiwa na 22yrs kuelekea 23yrs

Nataka nimuoe
 
Wanawahi wakafue majinsi ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Eniwei kuna wazazi wanamisimamo yao, sio njaa njaa to them wanahitaji jinti yao afikie malengo fulani ndio achukuliwe
 
Kwa taarifa yako amenikuta Mwanamke safi mzuri, independent,sio kila mtu ambaye hajaolewa anapenda kuchezea hayo mavitu ambayo hata nguvu hayana, mimi nimewekeza akili yangu katika mambo ya kuniendeleza mimi na watu walionizunguka, pole kama wewe ndo mtumba au umeoa mtumba. Nimeishi mwenyewe miaka zaidi ya 6 sijawahi lala nje na kwangu au mwanaume kulala kwangu, hata huyu alienioa alishangaa kuwa kumbe najua kupika baada ya kunioa, self commitment ni muhimu, tuwe makini na tuanayowaza vinginevyo utajikuta mwanao wa kike hana cha kujifunza kutoka kwako, mimi ni mfano wa kuigwa hata kwa wasichana wangu wa ndani. Sijacomment hapa kumfurahisha mtu ni maisha yangu binafsi, wanaume walikuwa wananifuata ndio lakini mimi sikujiweka karibu na sex mongers, hadi sasa najiweka karibu na wanaume wanaoheshimu wanawake.
Mlete mume wako humu yeye ndo aseme .Ukute na vumilia yote ili maisha ya sogee tu.
 
Back
Top Bottom