Mungu hana munda wakupanga ndoa. Hayo ni maamuzi yako.Tabia mbovu sawa ila kama wana sura mbovu kosa ni la nani? Wao wana kosa gani na hawakujiumba?
Kuna mada zingine ni za kuwaumiza wanawake kisaikolojia tu
U could feel their pain kama ungekuwa Mwanamke above 25 with no hubby
Then kwenye maisha kila kitu ni mipango ya Mungu hata Ndoa.
Yeye ametupa muongozo wa jinsi ya kuishi na uhuru wa kuchagua. Hampangiliii mtu maisha