- Thread starter
- #281
Miaka 30 kwa mwanamke uzazi unakuwa ni shida. Unakuta mdada kishatoa mimba 12 ktk umri huo. Na pia bado miaka 10 tu afike menopause.walau mtu awe 30 hivi ndio aingie kwenye mbilinge za ndoa,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 30 kwa mwanamke uzazi unakuwa ni shida. Unakuta mdada kishatoa mimba 12 ktk umri huo. Na pia bado miaka 10 tu afike menopause.walau mtu awe 30 hivi ndio aingie kwenye mbilinge za ndoa,
Wengi tu mkuu. Unadhani kuingia kwenye ndoa ikiwa na 40 au 50 ndiyo utaifurahia ndoa?Kati ya hao.... Wangapi walifika 40+ years wakiwa bado kwenye ndoa tamuuuu???
Huko kwenu wadada wanafika menopause wakiwa 40?Miaka 30 kwa mwanamke uzazi unakuwa ni shida. Unakuta mdada kishatoa mimba 12 ktk umri huo. Na pia bado miaka 10 tu afike menopause.
Savana achaaWewe mwehu nini!
Umenielewa nilichomwambia mdau au hukunielewa.Ni kua asiwasimange wanawake wa kuanzia 30+.Umri wowote mwanamke anaolewa aache kukariri.Wewe kwa Umri wako hao wa Range hyo hawakufai maana inaweza wakawa wanafanana na wanao..
Pia, nachojua hatuoi wanawake ili watupe kitu kitu, wanawake siku zote ni wakupewavtu
Hata miaka 50,mwanamke anaolewa tu.Huko kwenu wadada wanafika menopause wakiwa 40?
Kiuhalisia mtu akioa/akiolewa na umri mdogo anaichoka ndoa mapema sana. Unadhani aliyeolewa akiwa 18 hadi akifika 35 anakuwa na hali gani?
Tumeoa wadada wana 29 na wametuzalia bila matatizo, tusiwape dad's zetu stress za kuolewa wakiwa wadogo, wakati wao ukifika wataolewa, hata wakiwa 40.
MremboWewe mwehu nini!
Mwaka wa kumi kwenye ndoaaa niliolewaa na 23 watu watuliee kidogooo kuwahi Sana Kuna changamotoo zakeeeeUpo na miaka mingapi kwa ndoa?
Huwa nawaambia watu, kuoa/kuolewa mapema hata sio dili, upo 22 unakimbilia ndoa, by the tume unafika 35 upo hoi huitamani tena ndoa.
Ndoa zina ups and downs nyingi, changamoto zake ni nyingi, walau mtu awe 30 hivi ndio aingie kwenye mbilinge za ndoa, disadvantage yake ni moja tu kuwa utapata watoto kwa kuchelewa.
Sijakuelewa, kwamba kuna wazazi hawapendi mabinti zao waolewe ?! Fahari ya wazazi ni binti yao kuolewa na kutokua nungaiyembe. Miaka 26 plus Nungaiyembe mpaka 30 plus ati kuna wazazi hawataki binti yao aolewe ?!!I think inategemea na familia ya uyo binti na akili za wazazi wake pia😂😂
We jamaa umekunywa nini ?! Bikra ni uzuri wa sura na tabia ?! Na libikra lake ni ushahidi mkeo ni bonge la polygon sura ya mbuzi. Binti gani mzuri anafikisha 17 hajatobolewa ?!! HAIJALISHI MAADILI HATA AWE MTOTO WA ASKOFU wanaume watatumia kila mbinu na ushawishiwi wa level ya Phd atajikuta kaliwa, men are very smart. Hakuna binti mzuri wa sura atafika 17 hajaliwa.Siyo kweli mbona wangu nimemuowa akiwa na 30+ na bado alikuwa bikra.
Msichana aliyeumbika na kubarikiwa tabia nzuri huwa anagombewa na wachumba tangu akiwa na miaka 15.
Hivyo haiwezekani popote pale duniani msichana mrembo na mwenye tabia njema kufika miaka 25 hajaolewa.
Nataka kusema nini? Wadada wote wenye miaka 25+ na hawajaolewa, wana mapungufu makubwa Sana ya kimaumbile ama kitabia.
Nimemaliza!
We jamaa umekunywa nini ?! Bikra ni uzuri wa sura na tabia ?! Na libikra lake ni ushahidi mkeo ni bonge la polygon sura ya mbuzi. Binti gani mzuri anafikisha 17 hajatobolewa ?!! HAIJALISHI MAADILI HATA AWE MTOTO WA ASKOFU wanaume watatumia kila mbinu na ushawishiwi wa level ya Phd atajikuta kaliwa, men are very smart. Hakuna binti mzuri wa sura atafika 17 hajaliwa.
Sisi tulioolewa na 23 inakuaje aisee🙄🙄25 unaolewa unakimbiliaa ndoaa ya nn wkt ujana ujaumalizaa ujatoa hata mimbaa 3 ndoaa itakushnda ,,angalau 29 nakuendelea ndio uwaze kuolewaa..
NA C LAZIMA KUOLEWA AU KUOAA..
KATAAA NDOAAAAAA...
Msichana mzuri huwa anatolewa posa anapomaliza tu kidato cha sita. Anaingia chuo akiwa mke wa mtu. Waremo wote wenye tabia nzuri huwa wanasoma elimu ya juu wakiwa na wachumba ama waume .Fala kweli, kama yupo bado anaongeza Elimu?
HahahaaaaaWewe mwehu nini!