BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,738
- 3,199
Nimeona Viongozi wa awamu mbalimbali nchini,kwenye kada tofauti,kasoro mkoloni.katika medani ya siasa na uongozi maeneo mbalimbali, wengi wao wamepata umaarufu baada ya kuondoka madarakani,walipigwa Kwa maneno magumu ya kuwalalamikiwa na kuwalaani wakiwa madarakani.
Kila mtu ni malaika akiwa Hana kazi,akipewa nafasi ya uongozi hatuangalii mazuri ya mtu,tunaangalia ubaya,Matokeo akiondoka kwenye nafasi,tunaangalia mazuri yake.
Watu wapewe maua yao mapema,sio wakifa.tukilinganisha tunaona ni wema Kuliko walioko madarakani! Usilaani,weka akina ya Maneno.
Kila mtu ni malaika akiwa Hana kazi,akipewa nafasi ya uongozi hatuangalii mazuri ya mtu,tunaangalia ubaya,Matokeo akiondoka kwenye nafasi,tunaangalia mazuri yake.
Watu wapewe maua yao mapema,sio wakifa.tukilinganisha tunaona ni wema Kuliko walioko madarakani! Usilaani,weka akina ya Maneno.