Hakuna mtu mwenye kujitambua na mwenye Akili Timamu anayeweza kuishabikia au kuiunga mkono CHADEMA kwa Sasa

Hakuna mtu mwenye kujitambua na mwenye Akili Timamu anayeweza kuishabikia au kuiunga mkono CHADEMA kwa Sasa

halafu kuwa na kadi ya chama chakavu na kushona mgauni mrefu wa kijani usione umemalixa kufurahia waafrica wenzio wanaumia Newton third law of motion unaikumbuka bac subiria 202...
 
Ni ofisi ngapi ccm imejenga kwa fedha zake zaidi ya hizi walizorithi kutoka chama kimoja?!
Hakuna ofisi za kurithi hapa, pia unaweza ukarithi kitu Lakini Kama huna akili ukaishia kuharibu kila kitu, jiulize fedha alizotoa sabodo na kuwapa chadema mlizipeleka wapi? Mlifanyia Nini zaidi ya kugawana na kufanyia anasa? Sasa nani mjinga awape nchi nyie mnaoshindwa hata kujenga ofisi zenu ilihali pesa mlikuwa mnapata mkaishia kuzitafuna tu
 
😂😂😂😂 hivi vijamaa vinalala na uoga 2025 hawatoamini macho yao
Kwa kazi kubwa aliyoifanya mh Rais wetu ya kuwahudumia na kuwatumikia watanzania kwa kazi zilizogusa maisha yao, uchaguzi ujao unakwenda kuwa mwepesi Sana kwa CCM kuliko uchaguzi wowote kuwahi kutokea hapa nchini, mama anakwenda kuzoa kura Zote
 
Lini uliona watoto wakienda vichakani? Serikali hii imefanya kazi kila eneo linalogusa maisha ya watanzania , iwe Ni shuleni,hospitalini, maji au umeme unakuta CCM imefanya kazi ya kutukuka sana
CHADEMA ndio agenda yako?. Mbona serikali yako yenye Kodi, tozo, mikopo na misaada imeshindwa kujenga vyoo vya shule za msingi?. Ndio nikakuambia anzia kukosoa ndani mwako.
 
Tulisusia bunge la katiba baada ya CCM kuanza kuchezea maoni halali ya wananchi. Nikatoe maoni kwenye kikosi ya nini wakati kila kitu kiko kwenye rasimu ya Warioba? Kikosi kazi ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi, wakati mchakato halali wa kukusanya maoni ya wananchi ulishafanywa na tume ya Jaji Warioba.
Huo mchakato wa kujadili rasimu ya warioba ndio huo mliukimbia baada ya kuwa mmezidiwa hoja ndani ya bunge, kwa hiyo kwa Sasa muwe wapole tu na mkae kwa kutumia muache serikali ya CCM ifanye kazi yake
 
Lini uliona watoto wakienda vichakani? Serikali hii imefanya kazi kila eneo linalogusa maisha ya watanzania , iwe Ni shuleni,hospitalini, maji au umeme unakuta CCM imefanya kazi ya kutukuka sana
Sasa kwa akili yako ccm imefanya nini kati hii nchi hii...kwanza umefatilia bunge leo asubuhi au una bwabwaja
 
Huo mchakato wa kujadili rasimu ya warioba ndio huo mliukimbia baada ya kuwa mmezidiwa hoja ndani ya bunge, kwa hiyo kwa Sasa muwe wapole tu na mkae kwa kutumia muache serikali ya CCM ifanye kazi yake
Screenshot_20220907-143318_Instagram.jpg
 
Hivi MATAGA bado wapo,akili iliyoanika hizi pumba ni Taga copyright 😳😳
 
Kwa huku Jamii kwasasa inawapuuza sana watu wa makam wanao onekana wakishabikia chadema, wanaonekana Kama wanashabikia pia yanayofanya na vijana wa chama hcho
 
Sasa kwa akili yako ccm imefanya nini kati hii nchi hii...kwanza umefatilia bunge leo asubuhi au una bwabwaja
Maendeleo na mafanikio yote unayoyaona katika nchi hii Ni matunda ya kazi njema ya kutukuka iliyofanywa na serikali ya CCM
 
Maendeleo na mafanikio yote unayoyaona katika nchi hii Ni matunda ya kazi njema ya kutukuka iliyofanywa na serikali ya CCM
😤😤😱😱 niki reply tena thread yako maxmelo anipige ban....kumbe nkajua naongea na soundmind
 
Huo mchakato wa kujadili rasimu ya warioba ndio huo mliukimbia baada ya kuwa mmezidiwa hoja ndani ya bunge, kwa hiyo kwa Sasa muwe wapole tu na mkae kwa kutumia muache serikali ya CCM ifanye kazi yake

Kujadili sio kubadilisha maoni ya wananchi. Tofautisha kujadili na kubadilishana maoni ya wananchi.
 
Kujadili sio kubadilisha maoni ya wananchi. Tofautisha kujadili na kubadilishana maoni ya wananchi.
Sasa kwanini hamkukaa kujadili hayo mawazo yenu? Sasa kukimbia kwenu kuliwafikisha wapi? Na he saiz hamtakimbia ten? Nani wakuwaamini Tena nyie
 
Sawa chawa. ila hizo propaganda uchwara danganyaneni wenyewe hapo koridoni ila mtaji wa ujinga mmebaki wenyewe.
 
Sawa chawa. ila hizo propaganda uchwara danganyaneni wenyewe hapo koridoni ila mtaji wa ujinga mmebaki wenyewe.
Pokeeni ukweli huo kuwa mmepoteza ushawishi kwa watanzania na Sasa mmebaki hamna ajenda Wala Sera ya kueleweka, wananchi wanahitaji Sera zitakazoguaa maisha yao, wanataka mambo yatakayobadilisha maisha yao, Sasa nyie kutwa nzima kurukia vimatukio vya mpito, wakati CCM Ina ajenda za kudumu ambazo Ni pamoja na kuwatumikia watanzania na kuinua uchumi wa mtanzania mmoja mmoja na jamii yote kwa ujumla
 
Hela alizotoa sabodo mlipeleka wapi Kama hata ofisi zinewashinda kujenga?
Kumbe ndio gubu lililokujaa kooni!? Afadhali wenyewe wanaopata kupewa kihalali hebu waulize hao vibaka unaowapigia chapuo na kung'ang'ania ngozi zao kikupekupe wamepeleka wapi mabilioni walikwapua Escrow, na mengineyo na sasa wizi wa mchana wa tozo!! Waulize wakugawie siyo umekalia kuvizia kunyonya damu kitandani kunguni mkubwa
 
Kumbe ndio gubu lililokujaa kooni!? Afadhali wenyewe wanaopata kupewa kihalali hebu waulize hao vibaka unaowapigia chapuo na kung'ang'ania ngozi zao kikupekupe wamepeleka wapi mabilioni walikwapua Escrow, na mengineyo na sasa wizi wa mchana wa tozo!! Waulize wakugawie siyo umekalia kuvizia kunyonya damu kitandani kunguni mkubwa
Kwani wewe huoni kazi kubwa zilizofanywa na Tozo zetu, hujaona miradi mbalimbali ya kimaendeleo iilivyojengwa, fuatilia hotuba ya mh Waziri wa fedha leo bungeni ujuwe manufaa yaliyopatikana kutokana na watanzania kuamua kujibana ili kuchangia katika maendeleo ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom