Hakuna mtu mwenye kujitambua na mwenye Akili Timamu anayeweza kuishabikia au kuiunga mkono CHADEMA kwa Sasa

Hakuna mtu mwenye kujitambua na mwenye Akili Timamu anayeweza kuishabikia au kuiunga mkono CHADEMA kwa Sasa

Hata Uhuru ulionao wa kuandika na kutukana hapa Ni matokeo ya kazi njema ya CCM ya kusitawisha demokrasia na Uhuru hapa nchini
uhuru nilionao is granted by God. Na ccm ikitoka madarakani ndiyo uhuru utaimarika zaidi. Hata wewe mjingamjinga utakuwa na uhuru wa kifikra kuliko sasa fikra zako zimekaa kitumwa
 
Kwani wewe huoni kazi kubwa zilizofanywa na Tozo zetu, hujaona miradi mbalimbali ya kimaendeleo iilivyojengwa, fuatilia hotuba ya mh Waziri wa fedha leo bungeni ujuwe manufaa yaliyopatikana kutokana na watanzania kuamua kujibana ili kuchangia katika maendeleo ya nchi yetu
Maskini !! Hivi wewe una umri gani samahani!
Unafuatilia jinsi wanavyojichanganya lakini?
Hivi unajua tumekopa mkopo wa kibiashara kujenga miradi na mashule?
tozo+mikopo= Yu tong za mwigulu +umaskini wa watz+umbumbu kama wewe
 
Maskini !! Hivi wewe una umri gani samahani!
Unafuatilia jinsi wanavyojichanganya lakini?
Hivi unajua tumekopa mkopo wa kibiashara kujenga miradi na mashule?
tozo+mikopo= Yu tong za mwigulu +umaskini wa watz+umbumbu kama wewe
Hayo magari uliyaleta wewe hapa nchini, ulikuwa dalali katika ununuaji wake? Unao ushahidi wa kinyaraka? Unaweza tuwekea hapa huo ushahidi? Unaweza thibitisha madai yakuonyesha mh kaleta gari hizo? Unaweza onyesha Tarehe muda na siku ya kuongozwa kwake nchini? Acha kuwa mzushi kwa vitu usivyo na ushahidi navyo na ambavyo huwezi vitolea ushahidi
 
uhuru nilionao is granted by God. Na ccm ikitoka madarakani ndiyo uhuru utaimarika zaidi. Hata wewe mjingamjinga utakuwa na uhuru wa kifikra kuliko sasa fikra zako zimekaa kitumwa
Hakuna chama Cha kuweza kuitikisa Wala kuiondoa CCM madarakani hapa nchini, vyama vilivyopo Ni Kama vyama SHIKIZI tu
 
Hayo magari uliyaleta wewe hapa nchini, ulikuwa dalali katika ununuaji wake? Unao ushahidi wa kinyaraka? Unaweza tuwekea hapa huo ushahidi? Unaweza thibitisha madai yakuonyesha mh kaleta gari hizo? Unaweza onyesha Tarehe muda na siku ya kuongozwa kwake nchini? Acha kuwa mzushi kwa vitu usivyo na ushahidi navyo na ambavyo huwezi vitolea ushahidi
Ushahidi siyo wa kutuma kwa chawa kama wewe!!
Escrow walikataa hadi wakapata ushahidi!
Na hili laja!!
 
Ndugu zangu huo ndio ukweli japo Ni mchungu lakini ndio uhalisia wenyewe wa mambo, kwa Sasa hakuna mtu mwenye Akili Timamu na anayejiheshimu anayeweza akaanza kuiunga mkono Chadema

Kwa Sasa Ni chama kilichokosa dira na muelekeo, Ni chama kilichokosa uongozi wenye kufanya maamuzi ya mwisho na yakaheshimika na kufuatwa na wanachama wake, Ni chama ambacho kimejaa vijana wenye mihemuko, kukurupuka,wasio na adabu Wala heshima, hawana staha Wala Subira, hawana utulivu Wala vifua, Ni Kama makambale tu kila mtu ana ndevu na Hakuna wakumheshimu Wala kumsikiliza kiongozi wake, ndio maana unaweza ukaona kakijana kadogo kiumri kanamtukana mtu mwenye umri sawa na babu au Bibi yake

Ni chama ambacho kila mtu Ni kiongozi kwenye ukurasa wake wa kimtandao na atakachokiandika anataka iwe ndio msimamo wa chama chote, kila mtu Anayo Amri ndani ya chama, Haieleweki Nani msemaji wa chama au Nani katibu wachama, Haieleweki nani mtoa msimamo wa chama na Nani mfafanuzi wa masuala ya chama maana kila mtu ni mjuaji na Nikiongozi hata Kama unaona kabisa huyu kichwani hamna kitu na Hana taarifa za kutosha

Ni chama kilichojaa vijana ambao Ni Kama wamekosa malezi ya wazazi wao, Ndio maana unaona wao wanaweza mtukana yeyote Yule kwa matusi ya nguoni na wakawa wanapongezana na kusema huyu ndio kamandaa na kupigiwa debe la kupewa uongozi kwa kuwa mtukanaji mzuri, kwao adabu Ni Kama almasi kwao maana hawana msamiati huo katika vinywa vyao,

Ni chama kilicho jaa vijana walio na upeo mdogo Sana, wao hubeba taarifa na kuishadadia hata Kama hawajuwi ukweli wake, Ni chama kilichokosa Sera na ajenda za kugusa maisha ya watanzania wanyonge, hakina dira Wala muelekeo, hakina hoja zenye mashiko Wala mvuto kwa watu kuweza kuwaunga mkono

Ndio maana watu wenye akili kwa Sasa wanawakwepa na Wala hawapo tayari kuwasaidia kwa lolote, hata wapige kelele vipi hakuna anayewasikiliza Wala kuwajari maana wamepuuzwa na watanzania, wamekuwa Kama vibaraka wa wanyonyaji, maana chadema wapo tayari kuungana hata na shetani kuleta machafuko hapa nchini

Jiulize Nani mwenye akili anayewatetea hao chadema kwa Sasa,?jiulize wale wafadhiri waliokuwa wanawasaidia huko awali wamekwenda wapi kwa Sasa,? Utasaidiaje mtu asiyejitambua? Hivyo Basi kwa kuwa hawajitambui Ni lazima waongozwe nakunyooshwa njia ya kufuata na kupita, hawawezi wakaachwa hivihivi maana hawawezi kujiongoza hivyo Ni lazima waongozwe na CCM Tuuu watake wasitake lazima wasonge mbelee
Hivi Tanzania bado tuna watu wenye ufahamu finyu namna hii?
 
Acha maneno maneno weka ushahidi wako hapa, huna kaa kimya acha kuchafua majina ya watu hapa
Mbona tayari huyu ni mchafu! Unataka nani amchafue zaidi. Wewe uende kwenye tundu la choo udai unahitaji kulichafua wakati ndani mavi matupu!
Hebu niambie ni nani msafi kwenye CCM
Hivi ni nani alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati Ben saanane anatekwa?
Hivi ni nani alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati Tundu Lissu anapigwa marisasi ya tembo?
 
Hivi Tanzania bado tuna watu wenye ufahamu finyu namna hii?
Hata ukiukwepa ukweli lakini utabaki kuwa ukweli tu kuwa chadema kwa Sasa imepuuzwa na watanzania, Angalia hata habari za kikao Chao na maazimio yao jinsi yalivyo potezewa na watanzania
 
Hata ukiukwepa ukweli lakini utabaki kuwa ukweli tu kuwa chadema kwa Sasa imepuuzwa na watanzania, Angalia hata habari za kikao Chao na maazimio yao jinsi yalivyo potezewa na watanzania
Someni alama za nyakati. I rest my case.
 
Sasa kwanini hamkukaa kujadili hayo mawazo yenu? Sasa kukimbia kwenu kuliwafikisha wapi? Na he saiz hamtakimbia ten? Nani wakuwaamini Tena nyie

Hatukukimbia bali hatukuwa tayari kuwa sehemu sehemu ya wavuruga maoni halali ya wananchi. Sisi hatuhitaji kuaminika na nyie CCM maslahi.
 
Hakuna chama Cha kuweza kuitikisa Wala kuiondoa CCM madarakani hapa nchini, vyama vilivyopo Ni Kama vyama SHIKIZI tu
usihamishe mjadala kutoka kuw ana fikra huru ambazo ccm wameshindwa na kuuhamishia katika kuiondoa ccm. Una mawazo hayo kuwa ccm haiwezi kuondoka kwa sababu wewe bado ni mfungwa wa fikra, hauko huru bado.
 
Hakuna chama Cha kuweza kuitikisa Wala kuiondoa CCM madarakani hapa nchini, vyama vilivyopo Ni Kama vyama SHIKIZI tu
Chama dola kinacho iba chaguzi unafikiri kita ondolewa vipi? Si siri JPM aliongoza majeshi yake kuiba uchaguzi 2019 na 2020.
 
Tehe teheeee hivi ni nani aliyetuita sisi ni wapumbavu na malofa?

Ukimtaja, taja na chama chake ndio utajua chawa na kunguni wote ni wadudu wanyonya damu zetu, tofauti ni majina tu 😂
 
Kwa Sasa Ni chama kilichokosa dira na muelekeo,
CCM ilishakosaga dira tangu enzi za Kolimba, Mzee wa watu mkampoteza - mna dhambi nyingi nyie CCM.

Sasa Tozo wananchi wamewagomea, mnahaha mfanyaje huku sheria mmetunga kwa hati ya dharura - mna dhambi nyingi nyiee.
 
Aliyefanya usanii wa nyongeza za mishara ametoa mtaji kwa wapinzani.
 
Mbona tayari huyu ni mchafu! Unataka nani amchafue zaidi. Wewe uende kwenye tundu la choo udai unahitaji kulichafua wakati ndani mavi matupu!
Hebu niambie ni nani msafi kwenye CCM
Hivi ni nani alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati Ben saanane anatekwa?
Hivi ni nani alikuwa waziri wa mambo ya ndani wakati Tundu Lissu anapigwa marisasi ya tembo?
Lissu arejee
CCM ilishakosaga dira tangu enzi za Kolimba, Mzee wa watu mkampoteza - mna dhambi nyingi nyie CCM.

Sasa Tozo wananchi wamewagomea, mnahaha mfanyaje huku sheria mmetunga kwa hati ya dharura - mna dhambi nyingi nyiee.
Kasome utafiti wa Twaweza juu ya maoni ya wananchi kuhusiana na suala la Tozo
 
Chama dola kinacho iba chaguzi unafikiri kita ondolewa vipi? Si siri JPM aliongoza majeshi yake kuiba uchaguzi 2019 na 2020.
Wananchi Wana Imani na CCM ndio maana waligoma hata mlipowaambia waandamane
 
Kwa hoja na sera zipi mlizonazo za kuitikisa CCM
usihamishe mjadala kutoka kuw ana fikra huru ambazo ccm wameshindwa na kuuhamishia katika kuiondoa ccm. Una mawazo hayo kuwa ccm haiwezi kuondoka kwa sababu wewe bado ni mfungwa wa fikra, hauko huru bado.
 
Back
Top Bottom