Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Mkuu,mbona kama unajiongelesha peke yako?Mimi sijaelewa.Watu humu mambooz .
Tusichorane .
Hakuna mtu
Single humu
Ndani
Nikwamba mtu anamadai eti yupo single halafu ukichunguza nikwamba hayupo single yupo double .
Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi sasa mtu wangu sio poa maisha yanaenda sana .
Na ndio maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo .
Aliye elewa anieleweshe
Nmecheka nusu nipaliweYaani ni hivi huyo mzabzab anapenda kutomb kila mwanamke humu jf. Sasa huyo dada alijua yuko mwenyewe kumbe wako double.
Ametishia kumfanya jogoo awe tetea.
Tusubiri majibu ya mzabzab kama katomb hapa
😂😂😂Yaani ni hivi huyo mzabzab anapenda kutomb kila mwanamke humu jf. Sasa huyo dada alijua yuko mwenyewe kumbe wako double.
Ametishia kumfanya jogoo awe tetea.
Tusubiri majibu ya mzabzab kama katomb hapa
😂😂😂Ukielewa nieleweshe na mimiAliye elewa anieleweshe
Single boy wa kweli kwel nipo hapa nimetulia nakula chapati na bia 😁Watu humu mambooz.
Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili.
Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha yanaenda sana.
Na ndiyo maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo.
Sikumbuki kama nilishawahi kukukagua....Watu humu mambooz.
Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili.
Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha yanaenda sana.
Na ndiyo maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo.
Unazeeka vibaya. Ingia PM fasta. Kuku wa kienyeji kakosea kangia banda la paka....Aliye elewa anieleweshe
🤣🤣🤣🤣 Midhambi juu chini chini Kati kushoto kuliaAliye elewa anieleweshe
Ww unaweza kua ni mzabzab wa kike🤣🤣Watu humu mambooz.
Tusichorane. Hakuna mtu yuko peke yake humu ndani. Ni kwamba mtu anamadai eti yupo peke yake halafu ukichunguza ni kwamba hayupo peke yake wapo wawili.
Ni hali tu ya kuwa hajaridhika na mtu wake anataka aongeze aone kama hiyo nayo ni vepi, sasa mtu wangu siyo poa maisha yanaenda sana.
Na ndiyo maana mnalogwa majogoo hayapandi na wala watu wapati vinyweleo.
😂Mtanivunja mbavu😂😂Ww unaweza kua ni mzabzab wa kike🤣🤣
Midhambi gani tena jamani.🤣🤣🤣🤣 Midhambi juu chini chini Kati kushoto kulia
🤣🤣😂Mtanivunja mbavu😂😂
Dada alikuwa anafatilia waliosingle na research akafanya akaona bila bila😂😂😂