ToniXrated
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,134
- 2,993
Mkuu umegonga mwanafunzi aliyemaliza darasa la saba nini? Maana nimesoma hiyo post mara kumi na bado sijaielewa......!!!!Aliye elewa anieleweshe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umegonga mwanafunzi aliyemaliza darasa la saba nini? Maana nimesoma hiyo post mara kumi na bado sijaielewa......!!!!Aliye elewa anieleweshe
Sio kweli Lenie kabla ya hoja yako hii mfikirie mtoa mada kwanza katika Wanaume wote humu kaona mzabzab ndio mwanaume?Ila mtoa mada hua unanifurahisha sana mada zako 😂😂
Anyway humu wote wako double so date nao at your own risk
Unique Flower umeua si mchezo comment hii imeniacha hoi 🤣Mzab zab where are you??
Usijifanye hujaona hii post
Unataka kunichonganisha na mtoa mada😂😂😂Sio kweli wewe akili ya mtoa mada unaiyonaje?
Mtoa nada sitak kumzungimzia vby sana kwa sbb ni rfk angu kindaki ndaki Ila anakoelekea wanaume wa humu wataamza kunitangaza yeye maan mwanaume hajawai kua na nidhamu........ mzabzab tafadhali ndugu yangu punguza umalayer unaona utawekwa kweny magazeti mwaka huuMnatuonea aisee hiv nikuulize wewe akili ya mtoa mada unaiyonaje kwanza?
Mnakuwaga single lakini sio kivilee😂😂😂sophy27 Waliosingle wapo sema dada yetu akili yake haileweki ndio maana anapata watu kulingana na yeye alivyo mbona hata mimi nipo single kuwa single ni maamuzi ya mtu labda unakuta hajaona mtu sahihi wakuingia nae kwenye relationship, kuna mwingine anagundu tu kila sehemu anakataliwa, Mwingine hana interest na wanawake kabisa na wengine unakuta katoka kuachwa au kaacha sasa sijajua kwanini dada yetu anaona ni kitu ambacho akiwezekani
Huyo nzifunamwa sio mwanafunzi maan wanafunzi wa sasa akili nyingi sanaMkuu umegonga mwanafunzi aliyemaliza darasa la saba nini? Maana nimesoma hiyo post mara kumi na bado sijaielewa......!!!!
Unaogopa utapigwa knockout 🤣Unataka kunichonganisha na mtoa mada😂😂😂
Kama alizopigwa Mandonga mtu kazi😂😂Unaogopa utapigwa knockout 🤣
Sio wote wapo hivyo hiv unaamini wapo pia Wanaume ambao hawajawahi kuwa kwenye mahusiano wala kufanya sex?Mnakuwaga single lakini sio kivilee😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Kama alizopigwa Mandonga mtu kazi😂😂
Unagata na kuuma 🤣Huyo nzifunamwa sio mwanafunzi maan wanafunzi wa sasa akili nyingi sana
Wewe unajua kabisa unayempa tunda ni mtu wa aina gani alafu Cha ajabu unaanza kuja kulaumu humu jamiiforum shida ni yeye au wewe?Mapenzi upofu ndugu yangu
Labda wanaume wa mikoani sio wanaume wa dar😂😂Sio wote wapo hivyo hiv unaamini wapo pia Wanaume ambao hawajawahi kuwa kwenye mahusiano wala kufanya sex?
🤣🤣🤣Unagata na kuuma 🤣
Unamuogopa mtoa mada asije akakupiga knockout 🤣 ile namba sio ya mchezo
Aiseee,uzi ufungweYaani ni hivi huyo mzabzab anapenda kutomb kila mwanamke humu jf. Sasa huyo dada alijua yuko mwenyewe kumbe wako double.
Ametishia kumfanya jogoo awe tetea.
Tusubiri majibu ya mzabzab kama katomb hapa