Hakuna mtu "Single" A.K.A mzab zab

Mnatuonea aisee hiv nikuulize wewe akili ya mtoa mada unaiyonaje kwanza?
Mtoa nada sitak kumzungimzia vby sana kwa sbb ni rfk angu kindaki ndaki Ila anakoelekea wanaume wa humu wataamza kunitangaza yeye maan mwanaume hajawai kua na nidhamu........ mzabzab tafadhali ndugu yangu punguza umalayer unaona utawekwa kweny magazeti mwaka huu
 
Mnakuwaga single lakini sio kivilee😂😂😂
 
Yaani ni hivi huyo mzabzab anapenda kutomb kila mwanamke humu jf. Sasa huyo dada alijua yuko mwenyewe kumbe wako double.

Ametishia kumfanya jogoo awe tetea.

Tusubiri majibu ya mzabzab kama katomb hapa
Aiseee,uzi ufungwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…