whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Alikujaga na uzi anamchamba mdau anafuga kuku, sasa sijui kuku ni dhambi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Na wew si ulisema ukosingle 😭😭😭Chupa limeamka na chai🤣
Weee ahsante sikuelewaYaani ni hivi huyo mzabzab anapenda kutomb kila mwanamke humu jf. Sasa huyo dada alijua yuko mwenyewe kumbe wako double.
Ametishia kumfanya jogoo awe tetea.
Tusubiri majibu ya mzabzab kama katomb hapa
Unanisingizia single ya nini labda?😂😂😂Na wew si ulisema ukosingle 😭😭😭
😂😂😂Yaani isiwe kweliHuu uzi unachekesha jamani
Labda kama anatania, ila kama ni kweli maskini pole yake
Mwenye ujumbe wake hajaelewaAliye elewa anieleweshe
Single boy 😂😂😂Unanisingizia single ya nini labda?😂
Ohoooo ndio umemtuma Unique Flower anichambe?🤣🤣🤣Single boy 😂😂😂
Kwanza sipendagi watu single unakuwaje single inamaana watu wote huko mtaani hawakutaki😂😂😂😂Ohoooo ndio umemtuma Unique Flower anichambe?🤣🤣🤣
Jamani mambo ya u single ameeleza vizuri huyu mwamba Unique Flower 🤣🤣🤣🤣🤣Kwanza sipendagi watu single unakuwaje single inamaana watu wote huko mtaani hawakutaki😂😂😂😂
😂😂😂Jamani mambo ya u single ameeleza vizuri huyu mwamba Unique Flower 🤣🤣🤣🤣🤣
Msimchukulie poa huyu ni bidada wa maana sana, sema tu kiswahili kinamsumbua yeye ni Mfilipino🤣🤣
Sikuhiz nikijiita Mzabzab maanayake Niko single💃💃💃😂Jamani mambo ya u single ameeleza vizuri huyu mwamba Unique Flower 🤣🤣🤣🤣🤣
Msimchukulie poa huyu ni bidada wa maana sana, sema tu kiswahili kinamsumbua yeye ni Mfilipino🤣🤣
Yaani mparamiaji kila mti sio?🤣Sikuhiz nikijiita Mzabzab maanayake Niko single💃💃💃😂