Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani sana hiyo, si ni yule aliyeua padre au mwingine?T
Traces zinaweza kuachwa Sana tu,
Ila je, ni wote mnaweza kuziona ?,
Hapa ndo levo ya wapelelezi hutofautiana mkuu.
Umesahau lile tukio la ugaidi Zanzibar?
Bongo na Zanzibar walifeli kumpata mhalifu, wakaomba msaada FBI,
Yule mhalifu aliodakwa Kwa picha ya kuchorwa na penseli ambako Shahid pekee aliekua aliemuona mhalifu alkua ni Mtoto WA miaka 4.
Mauaji ambayo husumbua sana wapelelezi ni yale yanayofanywa na mtu mmoja pekee bila kuhusisha mtu mwingine.Unaweza kumkurupua mtu kwenye meza ya kusomea, kisha ukatengeneza tukio la kujitoa uhai, na kisha urudishe kila kilichovurugika mahala pake, kama ilivyokuwa?? Hata kama ni ganda la pipi??
Utadakwa tu, labda mamlaka ziamue kupotezea, lazima kuna alama utaacha
Imrani kombeKombe Gani?
Huyo choko ndio katuulia pacs, fala sn
Au Accident Man(movie) jamaa anamtengenezea mtu kifo bila mamlaka kujuaTrue detective season 3 kuna unasolved case ukiiangalia utajifunza kitu.