Hakuna murder case isiyoacha alama/ushahidi

Hakuna murder case isiyoacha alama/ushahidi

Zipo nyingi tu ambazo ushahidi haukuepo.

Nikikutajia ya Jack the Ripper utasema ni ya zamani teknolojia haikua imetanuka.

Nakupa hii. Kasome kesi ya mtu anaitwa Kenneth McElroy, anapigwa risasi na kuna watu zaidi ya 40 wanaona, hakuna aliyeita ambulance na wakati anapigwa risasi alikua na mke wake na hakuna ushahidi uliowahi kupatikana kua kauawa.
 
Zipo nyingi tu ambazo ushahidi haukuepo.

Nikikutajia ya Jack the Ripper utasema ni ya zamani teknolojia haikua imetanuka.

Nakupa hii. Kasome kesi ya mtu anaitwa Kenneth McElroy, anapigwa risasi na kuna watu zaidi ya 40 wanaona, hakuna aliyeita ambulance na wakati anapigwa risasi alikua na mke wake na hakuna ushahidi uliowahi kupatikana kua kauawa.
Ilikuwa ya mwaka Gani? na Taifa gani
 
Aaah wapi,
Kwanza Tanzania ndo rahisi kufanya uhalifu na ukapotea kimya kimya

maana uku ata serikali yenyewe Haina bajeti ya kufanya upelelezi.

Yaani upelelezi WA bongo unategemea na mfuko WA aliefanyiwa uhalifu ukoje.

Bongo Sio ajabu umepeleka kesi kituoni, afu afande mwenye kesi Yako anakuomba Ela ya vocha ampigie mgambo ili muongozane mkamkamate mhalifu

Na usipotoa Ela ya vocha, mhalifu akamatwi 😀
Na hii ndo vibaka utumia hii advantage utapigwa mzinga hadi uchoke mara wauingie vijana wese,vocha,andaa usafiri.
Kwa kweli uchunguzi ni gharama
 
Baada ya miaka 9 mtu katiwa mbaroni
 

Attachments

  • markup_1000111739.png
    markup_1000111739.png
    1.1 MB · Views: 1
Haha! nipeni mimi hiyo shughuli muone kama nitaacha alama mtajuta!
Unaweza kumkurupua mtu kwenye meza ya kusomea, kisha ukatengeneza tukio la kujitoa uhai, na kisha urudishe kila kilichovurugika mahala pake, kama ilivyokuwa?? Hata kama ni ganda la pipi??

Utadakwa tu, labda mamlaka ziamue kupotezea, lazima kuna alama utaacha
 
Back
Top Bottom