Ngoja tuone kama utatamba naye wapi. Maana kama ni chawa wake labda mtakua pamoja huko kizimkazi akiwa amestaafu urais.Toa ujinga wako hapa wewe.Kama unaumia basi hama nchi.lakini watanzania tuna tamba na Mama hadi 2030.
Ngoja tuone kama utatamba naye wapi. Maana kama ni chawa wake labda mtakua pamoja huko kizimkazi akiwa amestaafu urais.Toa ujinga wako hapa wewe.Kama unaumia basi hama nchi.lakini watanzania tuna tamba na Mama hadi 2030.
Uamuzi huo umo kwenye katiba ya chama?Huo ndio Uamuzi wetu wana CCM.
Je asipofika au akaghairi kugombea fomu mtachapisha kwa ajili ya nani?Fomu ni moja tu kwa ajili ya Rais Samia.
Kama ameleta maendeleo kwanini asikubali ushindani ?Uchapakazi wake umeliletea maendeleo Taifa letu na hatuna sababu ya kumfikiria Mwingine zaidi yake Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania
Uamuzi huo umo kwenye katiba ya chama?Huo ndio Uamuzi wetu wana CCM.
Je asipofika au akaghairi kugombea fomu mtachapisha kwa ajili ya nani?Fomu ni moja tu kwa ajili ya Rais Samia.
Kama ameleta maendeleo kwanini asikubali ushindani ?Uchapakazi wake umeliletea maendeleo Taifa letu na hatuna sababu ya kumfikiria Mwingine zaidi yake Mama yetu Mpendwa kipenzi cha watanzania
Unatudhalilisha sana watu tuliosoma UdsmAcha kufananisha Mlima na Vichuguu. CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM.huwezi kuitenganisha CCM na uhai wa Taifa letu.CCM ni kama ngozi ya Binadamu.huwezi ukamchuna ngozi mtu halafu abakie kuwa hai.CCM itaongoza Taifa letu kwa kadri ya uhai wake.
Tunatamba na Mama hadi 2030.Ngoja tuone kama utatamba naye wapi. Maana kama ni chawa wake labda mtakua pamoja huko kizimkazi akiwa amestaafu urais.
Labda huko mfukoni umeweka leso na viroba vya pombe.Mimi Nina mgombea wangu mfukoni so jiandaeni Kwa surprise Babu kubwa
Labda huko mfukoni umeweka leso na viroba vya pombe haramu..Mimi Nina mgombea wangu mfukoni so jiandaeni Kwa surprise Babu kubwa
Labda huko mfukoni umeweka leso na viroba vya pombe haramu..Mimi Nina mgombea wangu mfukoni so jiandaeni Kwa surprise Babu kubwa
Hakuna mwenye uwezo wa kushindana na Rais Samia hapa Nchini katika sanduku la kura.Awamu ya marehemu ndo ishaisha, sasa hivi ni mpambano mpya...masuala ya eti kumsaidia mama abdul hayo hayapo ...apambame kama ana uwezo...
CCM 2025 Oyeeeee !!
Hakuna mwenye uwezo wa kushindana na Rais Samia hapa Nchini katika sanduku la kura.Awamu ya marehemu ndo ishaisha, sasa hivi ni mpambano mpya...masuala ya eti kumsaidia mama abdul hayo hayapo ...apambame kama ana uwezo...
CCM 2025 Oyeeeee !!
Na wewe ni msomi? Embu acha ukichaa wako hapa.Unatudhalilisha sana watu tuliosoma Udsm
Unda chama chako ndio ukachukue Fomu.lakini CCM Fomu ni Moja tu kwa ajili ya Rais Samia.Huko ni kudidimiza democracy ndani ya chama mkiogopa mimi nitachukua form kujipima na mheshimiwa raisi nione nakubalika kwa kiwango gani