Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nimeshakutana nayo yote hayoNani anaekwambia asilimia 99:9 wanagongwabaya wewe endelea kujifariji na omba mungu sana yasije kukukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshakutana nayo yote hayoNani anaekwambia asilimia 99:9 wanagongwabaya wewe endelea kujifariji na omba mungu sana yasije kukukuta
Ukitolewa mahari unaruhusiwa kuchiti si ndiyo?Huyu hajaolewa bado
Cde Tlaatlaah. Ni bora tu ujikite kwenye mada zako za uchawa wa CCM na Mbowe. Huku kwingine mhh! 😄Yes,
kuna mtu kachoka hilo dude hadi anatamani life awe huru hadi analiruhusu likajiridhishe huko nje ili akalifumanie ili iwe chanzo cha kuaminika cha kulibwaga 🐒
Ok kumbe unayajua ligi ya niniNimeshakutana nayo yote hayo
Gentleman,Cde Tlaatlaah. Ni bora tu ujikite kwenye mada zako za uchawa wa CCM na Mbowe. Huku kwingine mhh! 😄
Kuna mdau amekuuliza hata mama Yako ambae nimwanamke nae anazo hizi tabia?? Sizani kama utampa jibu,,,,ukiumizwa na mkeo usipende kukimbilia kuandika hapa,,,,kilichofanya mkeo apigwe rungu hakipo kwa wanawake wote ,,,Kila mwanamke anasababu zake na akili yake mpaka atoke nje ya ndoa Sasa ukijlisha tunashindwa kukuelewasasa hapa mjinga ni nani,mimi nimetoa maoni wewe unakuja tu vuupu na kudai kuwa mawazo haya ni ya kijinga,tujifunze kutoa maoni na pia kuvumilia hoja za wengine hata kama hatuzupendi
TobaMimi ni mwanamke, niliolewa nikiwa 22 years na sasa niko 30+ na sijawahi kuchepuka pamoja na kwamba najua mume wangu kuna kipindi alichepuka
SIJAWAHI KUCHEPUKA
wewe umeelewa nini? kama hujarlewa kitu kiherehere cha kuandika kimetoka wapi?Sasa hapo ndio umeongea nini?
Kwa ushahidi upi au unatafuta kiki tu?Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Unamdhalilisha hata mama yako?Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Kabisa wala usiache mke kisa wajuba wamesasambua mbususu ya mkeo.Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
wote maana yake wote akiwemo mama yako na mkeo piaUnaposema "wote" Ni kwamba mpaka mama yako ulishamshuhudia akichepuka?