fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mie sipo hapa kukupinga,lakini ukweli ndio huo wanawake wote huchepukaSio kweli na ithibati ninazo
Changia hoja,acha kudhania eti kama umesalitiwa ni wewe,huo ni uchanga katika uwezo wa kuchangia hoja na kama huwezi kuchangia badi kaa kinya tu,sio lazimaUsiwajumuishe wote kama unawajua vile kama umesalitiwa wewe na huyo wa kwako usiwahukumu wengine zaidi sana ujifunze kutokujumuisha unapotoa maoni yako kuhusiana na kitu
Zip hizo mkuu hamna wanawake Malaya kama wake za watu na sisi tunawagonga sanaSio kweli na ithibati ninazo
kuchepuka kwa mwanamke hakufanyi watu wasioe au kuolewaWanawake kuchepuka kwao ni rahisi sana ukijenga nao mazoea hasa sehemu za kazi. Hasa asubuhi kali na jioni kwenye changing rooms. Ilee ya kugusisha ukuta na kuchuma mboga.
Halafu unapishana nao mtaani kama mmoja nilikutana naye supermarket na mume wake supermarket wameshikana mikono kwa mahaba na upendo nimecheka tu .
Tukataeni ndoa asee.
Mkuu umeoa malaya unajifariji kuwa hata wa wenzio wapo ivooKwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Ni kweli pia wanasema kuna wengi Balthazar Egonga aliwatokea akapigwa chini.Mkuu si kila mwanamke mchepukaji
Sasa hapo ndio umeongea nini?Wanawake kuchepuka kwao ni rahisi sana ukijenga nao mazoea hasa sehemu za kazi. Hasa asubuhi kali na jioni kwenye changing rooms. Ilee ya kugusisha ukuta na kuchuma mboga.
Halafu unapishana nao mtaani kama mmoja nilikutana naye supermarket na mume wake supermarket wameshikana mikono kwa mahaba na upendo nimecheka tu .
Tukataeni ndoa asee.
Utembee na weseZip hizo mkuu hamna wanawake Malaya kama wake za watu na sisi tunawagonga sana
Kwa utafiti gani ulioufanya au references from other sources ulizokuwa nazo mkuu?Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
sasa hapa mjinga ni nani,mimi nimetoa maoni wewe unakuja tu vuupu na kudai kuwa mawazo haya ni ya kijinga,tujifunze kutoa maoni na pia kuvumilia hoja za wengine hata kama hatuzupendiUjinga ku generalized experience yako.
That is your own experience usiilazimishe iwe ya wengine.
Ebwana ni ukweli kuna manzi ni mke wa mtu nikaambiwa huyu ameolewa ila ni mke wa wote nikabisha siku hio nikaambiwa leo yule uliekua huamini anaenda kugongwa tena anagongwa nje kabisa nikabisha bwana weee mida ikafika akapita kuelekea kwenda kugongwa sikuamini nilichokiona siku ile yaan jamaa alimuinamisha tu kwenye chochoro akamtafunaUsiwajumuishe wote kama unawajua vile kama umesalitiwa wewe na huyo wa kwako usiwahukumu wengine zaidi sana ujifunze kutokujumuisha unapotoa maoni yako kuhusiana na kitu