fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
- Thread starter
- #21
Hapa ningeweza kutoa data lakini sipo hapa kulazimisha watu wakubaliane na mimiKwa utafiti gani ulioufanya au references from other sources ulizokuwa nazo mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ningeweza kutoa data lakini sipo hapa kulazimisha watu wakubaliane na mimiKwa utafiti gani ulioufanya au references from other sources ulizokuwa nazo mkuu?
Sasa si mpaka unikute naeUtembee na wese
Wanawake wanavyochepuka kirahisi. Inatokeaga sana sehemu za kazi. Ni vigumu sana wanawake kuchepuka wasipokuzoea.Sasa hapo ndio umeongea nini?
tatizo huna hoja ni bora ungekaa kimyaMkuu umeoa malaya unajifariji kuwa hata wa wenzio wapo ivoo
sio kweliMtu akisalitiwa na mwenzi wake au akimsaliti mwenzi wake ndio anakuja kwenye mitandao kutafuta namna ya kujisikia vizuri kwa kutaka kulazimisha wote tuwe wahanga wa yaliyo mkuta.
Waache dharau sasa🌝🌝Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Kwa hiyo kama umeona huyo ameinamishwa ndio kila mmoja 🤔🤔 nilichokataa ni hivyo kuandika kana kwamba umeona wote wakifanya kitu kama hicho na usisahau unavyo sema wanawake wote na mama yako yumo haujamuacha nyumaEbwana ni ukweli kuna manzi ni mke wa mtu nikaambiwa huyu ameolewa ila ni mke wa wote nikabisha siku hio nikaambiwa leo yule uliekua huamini anaenda kugongwa tena anagongwa nje kabisa nikabisha bwana weee mida ikafika akapita kuelekea kwenda kugongwa sikuamini nilichokiona siku ile yaan jamaa alimuinamisha tu kwenye chochoro akamtafuna
Kwa hoja gani uliyo andika hapo zaidi ya upuuzi 🤔🤔 akili zako ziko sawa sawa kweli wewe 🤔🤔Changia hoja,acha kudhania eti kama umesalitiwa ni wewe,huo ni uchanga katika uwezo wa kuchangia hoja na kama huwezi kuchangia badi kaa kinya tu,sio lazima
asante kwa maoni yako,uko vizuri mno katika kuchangia na nadhani wewe hata kazini au mtaani unaheshimika kwa ubora wa maoni yakoHiyo kinyume chake ndio kweli....mwanamke kutoka nje ya ndoa yake kuna tatizo mahali na Mara nyingi linatokana na huyo mume wake.....ila kwa sisi wanaume haijalishi mkeo ni mrembo na ana maadili, utatoka kuangalia je wasio na maadili wakoje,,,,kama mkeo ni mwembamba utajaribu wanene wana ladha gani...yaani ni tamaa kwa kwenda mbele na hasa kama una vijipesa.
Ebwana jamaa yupo sahihi 95% hio 5 nimewapumzisha masista wa kanisa tu wengine wote dau lako tu unakula mzigo tena wanauza mpaka mimba wanaweza wakakuuziaKwa hiyo kama umeona huyo ameinamishwa ndio kila mmoja 🤔🤔 nilichokataa ni hivyo kuandika kana kwamba umeona wote wakifanya kitu kama hicho na usisahau unavyo sema wanawake wote na mama yako yumo haujamuacha nyuma
notedEbwana jamaa yupo sahihi 95% hio 5 nimewapumzisha masista wa kanisa tu
idadi yao sasa!Wanaume na wanawake wasiochepuka wapo.
Mjadala unaweza kufungwa sasa!
Kweli huyu boya anajifariji kupitia wengineMkuu umeoa malaya unajifariji kuwa hata wa wenzio wapo ivoo
mara zote mpuuzi huwa hajioniKwa hoja gani uliyo andika hapo zaidi ya upuuzi 🤔🤔 akili zako ziko sawa sawa kweli wewe 🤔🤔
Ila JF imejengwa kwa kueleweshana kwq hoja na references mkuu. Bhasi sawa kama unaamini hivyo mkuuHapa ningeweza kutoa data lakini sipo hapa kulazimisha watu wakubaliane na mimi