kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
We jinsia ganiKwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jinsia ganiKwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Kwamba hao masista unawajua wote tabia zao 🤔 au hao ambao unadhani ni wachepukaji ulitembea nao wewe au kwa utafiti gani uliofanya hadi useme kwamba huyo jamaa yuko sahihi 🤔Ebwana jamaa yupo sahihi 95% hio 5 nimewapumzisha masista wa kanisa tu
hii kanuni naijua,lakini sisemei kwanini watu wanachepukiana,bali nasema jinsi ke kwa asili ni wa hepukajiInabidi ufahamu; ukiwa mzinifu ndani ya ndoa nawe mke wako watu watamzini. Kanuni ndiyo ipo hivyo!
Malipo ni hapa hapa duniani!
MeWe jinsia gani
Kumbe nilikua sijajua hauna akili timamumara zote mpuuzi huwa hajioni
Waislamu hawaoi wake 4 kwa bahati mbaya sababu ni uzinifu, ili unielewe lazima uwe na akili timamu km huna akili hauwezi kunielewaInabidi ufahamu; ukiwa mzinifu ndani ya ndoa nawe mke wako watu watamzini. Kanuni ndiyo ipo hivyo!
Malipo ni hapa hapa duniani!
Chukua sahumuhumu itapata ukweliIla JF imejengwa kwa kueleweshana kwq hoja na references mkuu. Bhasi sawa kama unaamini hivyo mkuu
Wewe mpaka umkute anakamuliwa ndio utaelewaKwamba hao masista unawajua wote tabia zao 🤔 au hao ambao unadhani ni wachepukaji ulitembea nao wewe au kwa utafiti gani uliofanya hadi useme kwamba huyo jamaa yuko sahihi 🤔
Wapo Wanawake ambao hawachepuki... Kama ilivyo kwa wanaume ambao hawachepuki piaKwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Kwahiyo Bibi, Mama, mama zako wadogo na wakubwa, Shangazi, Dada, wadogo zako, mke kama unaye, mama mkwe wako na watoto wako kama unao ni jamvi la wageni na wanatinduliwa tu nje huko.Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Hata mama yako alichepuka? Wewe ni zao la mama yako kuchepuka?Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
unawezaWanaume na wanawake wasiochepuka wapo.
Mjadala unaweza kufungwa sasa!
asante kwa maoniWapo Wanawake ambao hawachepuki... Kama ilivyo kwa wanaume ambao hawachepuki pia
Wajinga wengi hua wanakimbilia kwa mama km defensive mechanism ili kujiliza kimama mamaVip kuhusu mama yako mzazi umemuona mara ngapi?
Soma ulichoandika,ndipo utajua mjinga ni naniKwahiyo Bibi, Mama, mama zako wadogo na wakubwa, Shangazi, Dada, wadogo zako, mke kama unaye, mama mkwe wako na watoto wako kama unao ni jamvi la wageni na wanatinduliwa tu nje huko.
Kwahiyo mama yako alichepuka ndio maana ukazakowa wewe?
Nyuzi hizi ni za wanaoanza kuota vuzi. Vivuzi vikiwa vinawasha ndio huwa mnaandika huu upuuzi.
Pumbavu kabisa. Jaribu kuheshimu wanawake hutampungukiwa na kitu.
Nimekukumbuka rafiki,niko mjini na zawadi yako.....ikufikie wapi?Mbona kama mesa imepinduka?
Mama yake alitinduliwa ndio akapatikana yeye. Si unaona tabia zake ni tofauti na za Baba yake. 😀😀😀Kwa hiyo kama umeona huyo ameinamishwa ndio kila mmoja 🤔🤔 nilichokataa ni hivyo kuandika kana kwamba umeona wote wakifanya kitu kama hicho na usisahau unavyo sema wanawake wote na mama yako yumo haujamuacha nyuma
HawapoWapo Wanawake ambao hawachepuki... Kama ilivyo kwa wanaume ambao hawachepuki pia