binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Eeenhee hebu muite Eva tumuulize maana ndio mwenyekiti 🤣Haman cha kupinduka ilikuwa hivyo toka zamani.
Nyie pia mna matamanio ya kuonja ladha tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeenhee hebu muite Eva tumuulize maana ndio mwenyekiti 🤣Haman cha kupinduka ilikuwa hivyo toka zamani.
Nyie pia mna matamanio ya kuonja ladha tofauti
ha ha haKwanza,nisaidie kuniombea msamaha kwa wifi yako maana sikuhizi amevuta mdomo....!!
Kupigana sababu ya nini tena?🤣
Kwa asili wanawake wote? Mke wa Adam(Hawa/Eva) alitembea na nani zaidi ya Adam. Wanawake waliookoka kikwelikweli wanatosheka na waume zao. Kutembea nje ya ndoa ni dhambi. Ni uzinzi. Wazinzi watatupwa katika moto wa milele siku ile ya mwisho.Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
Sasa hicho unachokifanya nao hufanya hivyo hivyo wanawake nao ni watu kama wewe, ishi nao kwa akiliHiyo kinyume chake ndio kweli....mwanamke kutoka nje ya ndoa yake kuna tatizo mahali na Mara nyingi linatokana na huyo mume wake.....ila kwa sisi wanaume haijalishi mkeo ni mrembo na ana maadili, utatoka kuangalia je wasio na maadili wakoje,,,,kama mkeo ni mwembamba utajaribu wanene wana ladha gani...yaani ni tamaa kwa kwenda mbele na hasa kama una vijipesa.
Sababu hiyo….Kwanza,nisaidie kuniombea msamaha kwa wifi yako maana sikuhizi amevuta mdomo....!!
Kupigana sababu ya nini tena?🤣
Me wamekua wakali kidogo 😅 hawataki kusikia hii tafiti hewaMbona kama mesa imepinduka
Nimecheka eti tafiti hewa 😂Me wamekua wakali kidogo 😅 hawataki kusikia hii tafiti hewa
Uliwezaje kuishi nae baada yakujua mwenza wako kachepuka.Mimi ni mwanamke, niliolewa nikiwa 22 years na sasa niko 30+ na sijawahi kuchepuka pamoja na kwamba najua mume wangu kuna kipindi alichepuka
SIJAWAHI KUCHEPUKA
Modes please hii people 🔥hata wewe mkeo malaya,mama yako malaya na dada zako malaya
Ndo maana nimekuambia kila binadamu amekamilika lakini ukitaka wewe kutokamilika ni wewe tu usidanganye mwanadamu woteMungu alishakamilisha kazi yake gentleman,
mdhaaifu ya kibinadamu kama vile kiburi na tamaa ndiyo mapungufu hasa ambayo nayamaanisha ambayo waanzilishi wa haya yote ni Adam na Eva, ambao kwa kiburi na tamaa walipuuza maagizo na maelekezo ya Mungu pale bustanini 🐒
KabisaWanaume na wanawake wasiochepuka wapo.
Mjadala unaweza kufungwa sasa!
Hili naweza nikaafikiana nalo. Mwanamke hapendi bila sababu😀Kuna kitu watu wanashindwa kuelewa kuhusu wanawake
Mwanamke always ukiona amekukubali ujue kuna kitu amekipenda kutoka kwako mwanamke hajawahi kupenda mtu bila sababu yeyote ya msingi
Sasa tafiti iko ivi ukiona mwanamke ametoka nje ya ndoa ujue kabisa kuna kitu alikuwa anakipata kwako alafu kwasasa anakikosa hiyo inaweza kuwa sababu ya mwanamke kutoka nje ya ndoa cha pili vurugo nazo zinachangia wanawake kutoka nje ya ndoa kwa ufupi mwanamke yeyote yule hawezi kutoka nje ya ndoa bila sababu kwa ufupi sio wote ambao wanatoka kuna wengine wanajiheshimu
Mamaako alichepuka?sawa mie sipo hapa kukupinga,lakini ukweli ndio huo wanawake wote huchepuka
Hii huwezi kula mwenyewe labda iwe haitoki nje kuonekana na walaku wa mbunye😁
Sema cha kushangaza akikutana na mtu mpya hizo ashki anazipata vizuri tu na ndio tatizo huanziaga hapo.🤣Sio wote huo ndio ukweli.
Hivi unajua kuna wanawake wengi tu Hawana msisimko ya tendo la ndoa ?!
Unayo Habari wanawake wengi kwenye ndoa ashki zilishakata zamani sana na ndio maana wanaume wengi wakitaka tendo la ndoa toka kwa wake zao ni kwa mbinde.
acha uzinzi sasa na usisingizie shetani kwa tamaa zako binafsi za kimwili 🐒Ndo maana nimekuambia kila binadamu amekamilika lakini ukitaka wewe kutokamilika ni wewe tu usidanganye mwanadamu wote
Kabla yako walikuwepo wenzio.Kwa asili wanawake wote hutembea nje ya ndoa,ukioa hilo ulijue na wewe mwanaume,uwe mtulivu tu na usilete ugomvi jifanye kama vile hukuona
naona anataka kuzua taharuki nafikiri ni kijana wa kataa ndoa bila shakaSio kweli na ithibati ninazo