We naye kipi cha ajabu hapoNina mahusiano na mjomba wangu
Kwa kweli mjomba anakula chakula kitamu sana Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile appSio vitamu sanaa kiasi tuwww.jamiiforums.com
Usiamini hivyo...we jaribu uone“Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.”
Katika ushauri mmbovu ambao siwezi shauri wanaume wenzangu ni huu! Wekezeni kwenye furaha zenu tu sababu hakuna kiumbe ambacho hakinaga shukurani kama mwanamke!
Unampa furaha anajiona beyonce anakupanda kichwani anaenda kugongwa na bodaboda wa mtaani kwenu kwa kutumia hela zako ulizompa halafu anakuona fool!
Usipotoshe wenzioMwanaume jenga, nunua magari, vaa ila ishi na mwanamke kama mwanamke tu! Treat your family good ila mwanamke abaki katika nafasi yake kuwa ni mwanamke ila sio Mungu wako flani kama wanavyotaka tuwaone [emoji28]
Usijitutumue eti unataka kujifanya jentomeni wa dunia atakachokufanyia hutakaa uamini![emoji23] Tena hasa hizi ngozi nyeusi dah
Hapo kwenye kuipigia hesabu labda uifafanue. Kwamba nitegemee pesa yake kujikimu. Au ni ile chako chetu changu ni changu?Wanaume mnazani kuitwa kichwa cha nyumba ni mchezoo?
Utakuwaje kichwa ikiwa hela ya mkeo unaipigia hesabuu?
Mume mwenye upendo akikutana na mwanamke mwenye gubu mara nyingi hufa mapema kwa magonjwa ya sukari/preshaHakuna mwanamke jeuri mbele ya mume mwenye upendo.... btw:mimi nimeolewa mkuu
Nivile umesema unaenda mpikia uncleRudi kwenye mada...hyo ilishajadiliwa sana hapa. So sio habari mpya
Hahaha nimeshangaa sana anataka tuwatreat wanwake kama queen.. trust me mpende mkeo mjali play part yako lakini usivuke mipaka yakuwa beta mael na kuanza kuwalamba lamba hawa female creature utatesekaa ...“Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.”
Katika ushauri mmbovu ambao siwezi shauri wanaume wenzangu ni huu! Wekezeni kwenye furaha zenu tu sababu hakuna kiumbe ambacho hakinaga shukurani kama mwanamke!
Unampa furaha anajiona beyonce anakupanda kichwani anaenda kugongwa na bodaboda wa mtaani kwenu kwa kutumia hela zako ulizompa halafu anakuona fool!
Very true!Treating a woman good is a wonderful thing ila ina muda wake maalum sio kila mda ni wa baby sitting. There would be a time utatakiwa u concetrate na mambo yako mengine ila hapo ndipo lawama za kuanza kuambiwa hujali zinapochipukaga!
Huyo mtoto hapo dp n mkali kichzUnadhani wanaelewa basi? Watakuja kubisha
Wanawake masikini wanaroho ya ubinafsi sana na wanajari sana pesa kuliko hata familia!!!!!!Wanaume mnazani kuitwa kichwa cha nyumba ni mchezoo?
Utakuwaje kichwa ikiwa hela ya mkeo unaipigia hesabuu?
Wanaume wamekuwa wakilalamikia baadhi ya wanawake zao kwamba wana midomo na wamekuwa na gubu na ndio sababu kuu ya wengi kuendeleza michepuko. Sasa mimi kwa imani yangu ninaamini kwamba hiyo midomo, kauli chafu na gubu ni matokeo ya mwanaume kuanza tabia chafu, kutomjali mke na kumuoneshea dharau. Wanawake wanapolalamikia hali hizi ndipo wanapoonekana kwamba wana gubu na midomo.
Huwezi kugundulika una michepuko halafu utegemee mkeo aendelee kuwa kimya...anayekuwa kimya ujue kuna nati zimechia mahali au anapanga revenge.
Huwezi kutosimamia familia yako ikiwemo kuwajali watoto na mkeo kwa mavazi, chakula, afya na elimu halafu utegemee kumuona mkeo akiwa kimya...kama atakuwa kimya basi una msaidizi au pia kuna nati kwenye kichwa cha mkeo haijakaza vizuri.
Sasa wababa amua kuwekeza kwenye furaha ya mkeo halafu uje utoe mrejesho maana nyumba itageuka mbingu ndogo. Halafu kumbuka huyu mwanamke unayemuona Ana gubu Leo ni yuelyule ambaye ulimtongoza na ukamuona anafaa kwa ndoa.
Asanteni. Ngojaikampikie uncle wangu.
Kuipigia hesabu kwenye bajet ya familia. Kama akileta alete kwa kupenda ila isipoletwa kwenye bajeti usilie lie. Pambana kiume moshi ufuke hom. Watoto wavae, wasome na maendeleo yawepo. Huo ndo uwanaumeHapo kwenye kuipigia hesabu labda uifafanue. Kwamba nitegemee pesa yake kujikimu. Au ni ile chako chetu changu ni changu?
Tatizo ni 50/50 kadili mnavyo ipigania na ndivyo wanaume wanazidi kupungua. Huwezi fananisha mazingira aliyo kulia baba yako na wanaume hawa ambao siku hizi wanaharakati wenzenu wameingiza 50/50 kwenye mitaala ya elimu, mliona mnawakomoa wanaume ila siku hizi wanaume wanataka kuona 50 kwenye kipato cha familia.Me baba yangu na mama yangu wote ni waajiriwa wa serikali lakini sijawahi kuona baba akimsubiria mama anunue kitu flani kwasababu na yeye Ana mshahara. Baba anasimamia shoo mwanzo mwisho ili matumbo yetu yashibe, tuvae na tusome. Pia anasimamia maendeleo ya familia.
Bila kujali kusimamia shoo baba kwa gharama zake tena alimsaidia mkewe yani mazaa kuongezea elimu hadi kufikia kadiploma ka fani yake (awali aliishia cheti tu).
Sa why mwanaume upigie hesabu kipato cha mkeo? Yeye atoe tu akipenda ila usimlazimishe.