Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
- Thread starter
- #21
hakuna mtoto atakaepata div five pale na shule zingine za namna hiyo,na haijawahi kutokea hata hiyo zero wakati shule inafikisha miaka ishirini mwaka huuLabda uwapeleke nje ya nchi..!! Kama watasoma hapahapa watatungiwa mitihani na serikali ya division 5 hii hii...!!!!