Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Bandari ya dar ilijengwa,bila kujenga ni ufuo na si bandari,Kuna bandari gani ya serikali haikujengwa!?..Leo fezza Akitaka kujenga shule Dodoma hiyo sheria ya maliasili itamkumba!?
 
Mkataba hauna masilahi. Lakini hoja kuwa TEC inaweza kuichachafya serikali ?, hilo linawezekana tu kama TEC iko upande wa haki na serikali iko upande wa dhulma, Ila kama serikali iko upande wa haki, TEC haina nguvu hizo. Mfano Mzuri, Vatican nzima wakishirikiana na mkatoliki Nyerere walishindwa vita huko BIAFRA Nigeria, sioni ni kwa namna gani unaweza kudhani Taasisi ya Katoliki ni invincible!.

Kwenye hili la bandari TEC ipo upande wa haki,kwa hiyo ni bora serikali iwasikilize!
 
Bandari ya dar ilijengwa,bila kujenga ni ufuo na si bandari,Kuna bandari gani ya serikali haikujengwa!?..Leo fezza Akitaka kujenga shule Dodoma hiyo sheria ya maliasili itamkumba!?
Nikukumbushe tu unapojadili isues jaribu kupanua WiGo wako wa ufahamu wa mambo yanavuoelezwa na kuoambanuliwa.

Hukuona malalamiko kwamba DP walitaka haki za ardhi contrary na Sheria zetu za ardhi na uwekezaji?

Unapizungumzia maji huepuki kuitaka bahari, ndio maana mkataba huu ilienda bungeni ili kuendana na matakwa ya sheria hii Hapa
 

Attachments

  • Screenshot_20230906-193959_1.jpg
    49.8 KB · Views: 2
Imeshasikiliza ndio mana wamewaita DP mezani mkuu kulikua hakuna namna,
Wamewasikia. Ndio mana wamesitisha mabadiliko ya Sheria ya uwekezaji na Ile ya Maliasili ya mwaka 2017
 
Wanafadhiliwa na katoloki nyuma ya pazia
Haiwezekani.
Yaani watu wanasema "Allahu Akbar", wanashambulia makanisa ya Wakatoliki na kuwaua , useme wanafadhiliwa na Wakatoliki?
Kama wangefadhiliwa na Wakatoliki, wasingeshambulia makanisa Katoliki, wangeshambulia makanisa mengine.

Fanya utafiti kwanza kabla hujaandika chochote.
 

Nje ya mada, kile chama ulisema kitaanzishwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2025 ni lini kitaanza?
 
Bandari siyo maliasili,we mbona unapenda kuzungukazunguka
 
Unazungukazunguka tu
We ndio unaona nazungukia au unahisi, watu wa Facebook kwaza sana hawataki, kufuatilia mambo hawataki, kutafuta taarifa na maarifa hawataki, kujadili mambo hawataki wanataka majibu short na hoja za kishabiki! Sidhani na sitaki kuamini kama wewe ni Moja wapo! Ila Kwa namna unavyowasilisha sentensi zako itoshe kusema wewe ni Moja
 
Bandari siyo maliasili,we mbona unapenda kuzungukazunguka
Ni Mali asili jipe Muda, kasome vyema sana sehemu anuwai. Sasa hivi ndio tumeongeza bandari kavu na artificial habours .... Na ukisoma sheria ya Maliasili inaiconfine bandari humo humo! Kiwango chako Cha elimu na uelewa wa mambo kinatia mashaka!
 
Ni Mali asili jipe Muda, kasome vyema sana sehemu anuwai. Sasa hivi ndio tumeongeza bandari kavu na artificial habours .... Na ukisoma sheria ya Maliasili inaiconfine bandari humo humo! Kiwango chako Cha elimu na uelewa wa mambo kinatia mashaka!
Niwekee sheria ya bandari
 
Hahahaha,wewe unanizidi Mimi kutafuta na kufuatilia taarifa/mambo!?..unajaza insha ziso msingi,intellectuals tunaongea msitari mmoja sababu huwa tunajua wote tuliopo hapa tuna uelewa,siyo insha babu
 
Ni Mali asili jipe Muda, kasome vyema sana sehemu anuwai. Sasa hivi ndio tumeongeza bandari kavu na artificial habours .... Na ukisoma sheria ya Maliasili inaiconfine bandari humo humo! Kiwango chako Cha elimu na uelewa wa mambo kinatia mashaka!
Unajua tofauti ya port na harbour!?
 
Mkuu, nani alikuambia CCM ni mama au Baba yangu?

Kama CCM na viongozi wake wanakengeuka lazima nipambane nao ili kulinda maslahi ya taifa.

Kuna ahadi namba 8 ya mwana CCM ndani ya katiba ya CCM inasema; "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko"
wamissionari au TEC ni kweli wana nguvu pitia historia yao ndiyo chimbuko la ukoloni Afrika, kukomesha biashara ya utumwa,nchi nyingi kupata uhuru etc they are very influencial
 
Wewe ndiyo muongo. TEC Walimtandika Magufuli nyaraka mbili .
1. Utawala bora
2. Wakatoa msimamo wa kanisa kuhusu corona tukaacha kupeana mikono makanisani.

Juzi juzi ndo wameruhusu tena kupitia raisi wao wa TEC
Magufuli akukinzana na TEC wala taasisi yeyote ya dini,msimchafue.Magufuli alilazimisha watu kushikana mikono?
Uo utawala bora uliboreshwa mpaka tuone kweli TEC walisikilizwa?
 
Samahani mtoe mada, nikumbushe jambo moja tu ambalo Nyerere alilitaka akshindwa kwa sababu kanisa lilimgomea...
 
Uharo mtupu huu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…