Hakuna mwanasiasa/Rais aliweza kupambana na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) na akashinda!

Bandari hujengwa, bandari so Maliasili
 
Historia inaonesha hata masuala ya Loliondo yalipingwa vikali. Kinyume chake nchi imepata laana. Na tuna watu ni wakimbizi ndani ya taifa lao!
Aibu kubwa sana!
 
Wasioelewa nguvu ya TEC wajiulize kwanini Serikali ilihaha kuzuia vyombo vya habari kutoa habari juu ya waraka huu. Roma ikisema imeusha hiyo.
 
Roma ilisema imeisha nani anajua hilo
 
Wasioelewa nguvu ya TEC wajiulize kwanini Serikali ilihaha kuzuia vyombo vya habari kutoa habari juu ya waraka huu. Roma ikisema imeusha hiyo.
Kama serikali ilizuwia kuandika habari za waraka wa TEC,nani ana nguvu kati ya serikali na TEC!?
 
Bandari hujengwa, bandari so Maliasili
Hahaaa brother kasome tena vizuri kwanza tuna natural harbour na built harbour! Na Kwa Mujibu wa Sheria yetu ya mwaka 2017, ni sehemu ya waters, na continental shelf, and land at large katika sehemu hizo ndio Bandari huwepo, ndio maana ukisoma Sheria hii, ukija ukiangalia mkataba na DP inataka hayo maeneo hasa inapotafsiri neno territory (inataja, anga, ardhi na Maji ya Tanzania)
 

Attachments

  • Screenshot_20230906-193959_1.jpg
    49.8 KB · Views: 1
Kama serikali ilizuwia kuandika habari za waraka wa TEC,nani ana nguvu kati ya serikali na TEC!?
Lakini ukasomwa kuanzia ngazi ya jumuiya, parokia, Jimbo, mpaka taifa na kupitia Radio Tumaini, Radio Maria na gazeti la kanisa, na ukasamabaa kwenye social media. Serikali Kuna watu myopic sana.
 
Wasioelewa nguvu ya TEC wajiulize kwanini Serikali ilihaha kuzuia vyombo vya habari kutoa habari juu ya waraka huu. Roma ikisema imeusha hiyo.
Hawawezi kukujibu sababu hawajui mbele ni wapi na nyuma ni wapi
 
Mungu yupi Allah, Mungu baba, Mungu mwana , budha, mzimu wa kolelo, Jehova, au mungu jiwe?
Authority ipi ya huu cartel ya kihuni(Mafia)iliyotupwa kule kwa waliostaaribika ulaya na Marekani,?
Mamlaka hayo labda huko kwenye vigango vyao sio kwa serikali.
 
Wakatoliki ndio chanzo Cha machafuko yote duniani
Yeah sure!!!

Hata hapo Somalia ambapo 100% ni waislam Wakatoliki ndiyo wameanzisha machafuko,bila kusahau Nigeria Syria etc.

Kichwa boga!!!
 
Lakini ukasomwa kuanzia ngazi ya jumuiya, parokia, Jimbo, mpaka taifa na kupitia Radio Tumaini, Radio Maria na gazeti la kanisa, na ukasamabaa kwenye social media. Serikali Kuna watu myopic sana.
Nimeuliza nani ana nguvu!?..acha kujibu usivyoulizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…