Hakuna mZanzibar aliwahi kushika nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya nje

Hakuna mZanzibar aliwahi kushika nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya nje

GHIBUU

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2011
Posts
4,432
Reaction score
3,013
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.

Hii sio haki.
 
Ahmed hassan Diria- alikuwa Mzanzibari na ameshashika uwaziri wa Mambo ya Nje

Amina Salum Ali- amewahi kuwa Waziri wa Nchi- Ushirikiano wa Kimtaida

aidha kila mara manaibu waziri wa mambo ya Nje kutoka Zanzibar wamekuwepo- Dk Abdulkadir Shareef, Balozi Seif Ali Idi, Dk.Mahadhir Juma,,
 
Wa ZANZ..Kama Watoto Kazi Yao Kulia Lia Kama Watoto Waliodekezw,diria Aliwah Hata Kukaguliw Uwanja Wa Ndege India Wakihisi Muuza Madawa Ya Kulevya,nadhan Ulikuwa Hujazaliwa Ni Mzanzibar.
 
Wa ZANZ..Kama Watoto Kazi Yao Kulia Lia Kama Watoto Waliodekezw,diria Aliwah Hata Kukaguliw Uwanja Wa Ndege India Wakihisi Muuza Madawa Ya Kulevya,nadhan Ulikuwa Hujazaliwa Ni Mzanzibar.R.I.P DIRIA
 
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.

Hii sio haki.

Fanya uchunguzi kwanza kabla ya kulalama.
 
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.

Hii sio haki.



Mkuu Ghibuu leo naona umeteleza kidogo ndugu yangu. Waombe mods wafute tu hii thread haiwakilishi upeo wako mkuu.
 
Hii mijitu ya kulialia sijui kwa nini CCM Inaing'ang'ania!
 
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.

Hii sio haki.

Huu ujinga mengine. Ndio maana huwa nasema kuna haja ya kuverify wenye uwezo wa kuanzisha threads maana kuna uwezekano hizi ni akili za shule ya msingi
 
Mkuu tafuta hata ka thread kengine ili kuhalalisha lalamiko lako. Hii inaonesha jinsi ambavyo Zenji mmekuwa watoto wa kubebwa tu na mbeleko. Hii inaonesha jinsi ambavyo mnadekezwa mpaka mnapewa wabunge 20 kwenye bunge la Jamhuri hamridhiki.
Nyie Wa bara, Tanganyika, mnafaidi nini huko Zenji??? Kama ni Karafuu si mnunue kutoka Oman watakako zipeleka wakikataa kutuuzia?
Nasema; Hatutakuwa Muungano wa kwanza kuvunjika duniani ila tutakuwa muungano wa kwanza wa kipekee kwani haupo hata katika jina. Nchi moja yenye marais 3 tena wote madaraka sawa. Kama hamtaki iwe nchi moja maraisi 2 na mmoja lazima atoke Zenji. Tutafika kweli??? Haya, na huyo wa JMT atoke Zenj pia. Nasikia kidhungu dhungu
 
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.

Hii sio haki.
Huu muungano umeshikwa na uzi wa buibui.kupata win win situation na kuondoa manung'uniko yako unaonaje Rais wa Tanzania akitoka Mwa.akwerekwe basi Rais waZanzibar atoke Nanjilinji Tanzania bara.
 
Fanya uchunguzi kwanza kabla ya kulalama.

Mkuu msamehe, kazaliwa juzi historia haijui. Dogo anatakiwa kabla hajaja JF awe anachunguza na kukusanya data b4 hajaanzisha thread.
 
Huyu naye hajasoma hata historia hata kidogo, ndo kusema hamjui hasan diria wala salim ahmed salim?
 
Ndugu yangu wa Mchambawima, siku hizi dunia kama kijiji ati...kabla ya kupost jaribu ku Google wazo lako ili ujipatie ufahamu zaidi la sihivyo utajikuta unaambulia matusi kama haya...anyway tukiwajadili mawaziri wa mambo ya nje ambao wamewahi kufanya vizuri kwenye wizara ya mambo ya nje mpaka sasa hakuna alieweza kunywa wine vizuri kwa niaba ya wananchi wa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mhe Rais Jakaya Mrisho Kikwete... Huyu ni top diplomat tuliebahatika kuwa nae so far.... Membe nadhani atakuwa wa hovyo kuliko wote...
 
GHIBUU we juha au mnafiki kama wenzio. Wanzanbar zaidi ya watano wameshakuwa mawaziri wa hiyo wizara au wewe unaishi Oman. Maana wapemba hamna kwenu. ------- na unafiki wako na wanafiki MWENYEZI MUNGU ATAWACHOMA MOTO
 
Ahmed hassan Diria- alikuwa Mzanzibari na ameshashika uwaziri wa Mambo ya Nje

Amina Salum Ali- amewahi kuwa Waziri wa Nchi- Ushirikiano wa Kimtaida

aidha kila mara manaibu waziri wa mambo ya Nje kutoka Zanzibar wamekuwepo- Dk Abdulkadir Shareef, Balozi Seif Ali Idi, Dk.Mahadhir Juma,,

Miaka 50 ya muungano wazanzibari wanne tu walio shika nafasi hio ? Salim ahmed salim peke yake ndie alikuwa waziri kamili, hao wengine wote walikuwa manaibu waziri tu ?

Bado hakukuwa na balance katika huu muungano. Kwa upande wa urais wa muungano vile vile hakutokea mzanzibari kuwa rais wa muungano, Ali hassan Mwinyi sio mzanzibari wa kuzaliwa zanzibar ni mkaazi tu,kwao munakujua.
 
Ali hassan Mwinyi sio mzanzibari wa kuzaliwa zanzibar ni mkaazi tu,kwao munakujua.
Ni kweli Alhaj Ali Hassan Mwinyi asili yake ni Kisarawe lakini nyie si mlimletea fitna Dr. Salim Ahmed Salim ambaye Mwalimu alipendekeza awe Rais wa muungano? Sasa malalamiko ya nini?
 
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.

Hii sio haki.

mat..ako yenu
 
Back
Top Bottom