Hakuna mZanzibar aliwahi kushika nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya nje

Hakuna mZanzibar aliwahi kushika nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya nje

Wacha porojo mzee,


Tulikuwa na Salim Ahmed Salim kama Waziri wa Mambo ya nje kabla hajapanda kuwa Waziri Mkuu; na baada ya hapo walifuatia akina Ahmed Diria na Amina Salum Ali. Vipi hao wewe huwatamabui kama wazanzibari, au ni mwenendo wa kulalamika. Mlalamikaji huwa analalamika kuwa kaonewa hata pale anapokuwa amependelea.

In fact balozi kubwa kubwa nyingi sana hapa duniani zina wazanzibari wengi kuliko watanganyika!
Baadaya ya Ahemed salim hao wengine walikuwa manaibu tu, huoni kwamba hamuleta balance katika muungano ? Kwanini nyinyi munapenda kujifanya big brother ? Huyo Ahmed salim mbona hamukumpa kugombania Urais wa Muungano ? Wabaguzi tu juu ya wanzanzibari munawapa madaraka watu ambao munawatumia kwa maslahi yenu binafsi.
 
Baadaya ya Ahemed salim hao wengine walikuwa manaibu tu, huoni kwamba hamuleta balance katika muungano ? Kwanini nyinyi munapenda kujifanya big brother ? Huyo Ahmed salim mbona hamukumpa kugombania Urais wa Muungano ? Wabaguzi tu juu ya wanzanzibari munawapa madaraka watu ambao munawatumia kwa maslahi yenu binafsi.

Huyo hata agombee na jiwe huku bongo hawez pata,hhakuna mzanzbar yyte yule atakae kuja iongoza Tanzania kwa kura za watu,unlesss ufanyike udikteta wa CCM
 
Hili jamaa halina akili
Nitambue umri,kiwango chake cha elim na kaz anayofanya kwa sasa,akil huna hata kidogo unaongea usiyoyajua mnachokililia waZenj kipo karbu mtakipata
 
Hili jamaa halina akili
Nitambue umri,kiwango chake cha elim na kaz anayofanya kwa sasa,akil huna hata kidogo unaongea usiyoyajua mnachokililia waZenj kipo karbu mtakipata
Kifuu kweli wewe
 
Mkuu tafuta hata ka thread kengine ili kuhalalisha lalamiko lako. Hii inaonesha jinsi ambavyo Zenji mmekuwa watoto wa kubebwa tu na mbeleko. Hii inaonesha jinsi ambavyo mnadekezwa mpaka mnapewa wabunge 20 kwenye bunge la Jamhuri hamridhiki.
Nyie Wa bara, Tanganyika, mnafaidi nini huko Zenji??? Kama ni Karafuu si mnunue kutoka Oman watakako zipeleka wakikataa kutuuzia?
Nasema; Hatutakuwa Muungano wa kwanza kuvunjika duniani ila tutakuwa muungano wa kwanza wa kipekee kwani haupo hata katika jina. Nchi moja yenye marais 3 tena wote madaraka sawa. Kama hamtaki iwe nchi moja maraisi 2 na mmoja lazima atoke Zenji. Tutafika kweli??? Haya, na huyo wa JMT atoke Zenj pia. Nasikia kidhungu dhungu





suluhisho ni kugawana mbao tu ila nashangaa tunang'anganiana, wazenji wao wanasema siku nyingi tu wapewew nchi yao
 
huwaga najiuliza wana jf, hivi ni kitu gani tanganyka tunafaidika ktk muungano, mimi siamini kama serikali ya ccm haifaidiki na lolote, kuanzia nyerere hadi uongozi tulionao sasa, hivi ni kweli kua wao ni wajinga kua waendelee kung'ang'ania muungano usio na faida, si bure iko kitu
 
suluhisho ni kugawana mbao tu ila nashangaa tunang'anganiana, wazenji wao wanasema siku nyingi tu wapewew nchi yao

Sallas
ukitaka ushikwe na kidhungu dhungu waza muungano wa Tz. Alipokuwepo mwenyewe muumini wa huu muungano Mwl. alitueleza alioyajua kuuhusu huu muungano. Akafa na siri zake. Leo yeyote anayeutetea ni kwa anayo yafaidi tu huko si vinginevyo.
Waende kwao tukae tujadiliane tena kama hitaji litajitokeza baadaye
 
siku Wazenj mkiamua kuvunja Muungano huu uliopo mjue imekula kwenu, Tanganyikans have nothing to loose. Wapemba na Wanguja waliohuku Tanganyika, tunawarudisha Zenji ndani ya saa 24. Huko kwenu lazima kutanuka tu kwa msongamano wa watu na ardhi ya kuwahifadhi hamna. Vunjeni huo muungano bila kufikiria kesho inakuwaje itakula kwenu.

Halafu tuone kama kweli mna jeuri ya kuwatuliza wananchi wenu watakaokuwa wamepoteza matumaini kutokana na ujinga wa akina Jussa.

Tulipofikia ni pagumu Wazenj, tumieni busara kwa maslahi ya Wazenj ili isije kula kwenu!!!!!
 
Huu ujinga mengine. Ndio maana huwa nasema kuna haja ya kuverify wenye uwezo wa kuanzisha threads maana kuna uwezekano hizi ni akili za shule ya msingi
Pamoja na kuwa mtoabhoja kaonesha uwezo mdogo sana but naona bado ana uwezo mkubwa by far compared to wewe
 
Baadaya ya Ahemed salim hao wengine walikuwa manaibu tu, huoni kwamba hamuleta balance katika muungano ? Kwanini nyinyi munapenda kujifanya big brother ? Huyo Ahmed salim mbona hamukumpa kugombania Urais wa Muungano ? Wabaguzi tu juu ya wanzanzibari munawapa madaraka watu ambao munawatumia kwa maslahi yenu binafsi.

Balozi Diria alikuwa waziri kamili wa mambo ya nje, hajawahi kuwa naibu waziri; balozi amina ali ni sahihi, alikuwa naibu waziri;

Kwa kuongezea tu, Dr Abdurahaman Babu ilikuwa ateuliwe uwaziri wa mambo ya nje lakini akapewa uwaziri wa fedha baada ya mapinduzi ya zanzibar. Dr. Babu ndiye mtu pekee aliyewahi kushika wadhifa wa waziri wa mambo ya nje wa zanzibar baada ya mapinduzin kabla ya wizara hiyo kufanywa kuwa ni ya muungano na kupewa mtu wa Tanganyika.

Tunatarajia zanzibar kujipatia waziri wake wa mambo ya nje wa pili baada ya miaka 50, kufuatia ujio wa Tanganyika.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kwani Balozi Ahmed Hassan Diria (R.I.P) ambaye alikuwa Mbunge wa Raha Leo Zanzibar alikuwa Mndengereko?...

Mbona huyu amewahi kuwa Waziri wa mambo ya nje na uhusiano wa Kimataifa mwaka 1990 hadi 1993 wakati wa awamu ya pili?....

Acha upotoshaji mkuu....

Bala always not here....
 
Tulikuwa tukiwapiga kavukavu..malalamiko kibaooo sasa tumeamua kutumia TATU BOMBA bado tuuu!
Khaaa mbona hamna shukrani nyie!!?

Yule aliyesachiwa na Wajerumani kwa kesi ya madawa ya kulevya Diria alikuwa Mtanganyika wa wapi na alikuwa waziri wa nini naomba msaada wa kueleweshwa jamani
 
Balozi Diria alikuwa waziri kamili wa mambo ya nje, hajawahi kuwa naibu waziri; balozi amina ali ni sahihi, alikuwa naibu waziri;

Kwa kuongezea tu, Dr Abdurahaman Babu ilikuwa ateuliwe uwaziri wa mambo ya nje lakini akapewa uwaziri wa fedha baada ya mapinduzi ya zanzibar. Dr. Babu ndiye mtu pekee aliyewahi kushika wadhifa wa waziri wa mambo ya nje wa zanzibar baada ya mapinduzin kabla ya wizara hiyo kufanywa kuwa ni ya muungano na kupewa mtu wa Tanganyika.

Tunatarajia zanzibar kujipatia waziri wake wa mambo ya nje wa pili baada ya miaka 50, kufuatia ujio wa Tanganyika.


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Kwa matarajio yako hayo, lakini kwa matarajio ya wazanzibari hailo haliko kwa sababu rasimu ya katiba haeleza kwa kina mgao wa madaraka pamoja na mgawawanyo wa office kuu za muungano, kama ilivyo sasa kwamba eti muungano uko balance, headquarter zote zipo tanganyika za muungano.

Kurudi kwa Tanganyika sio kupata kile wanacho kihitaji wazanzibari, bali ni kwa faida ya watanganyika wenyewe, kwa sasa wanategemea kuwa na serikali mbili za uwendeshaji na kuiburuza zanzibar.

Kama tumeamua kuwa na shirikisho basi kila upande ujitegemee, mambo saba ya muungano kila mtu abebe yake, mnahofia nini Tanganyika kuwa na mambo yenu ya nje na uraia wenu pamoja na ulinzi ?

Mmekuwa mukisema sana kuwa wazanzibari hawajui nini wanacho kitaka lakini kawathibishia Warioba siku ya uzinduzi kwamba asilimia 60 zanzibar wanataka mkataba, na asilimia 61 Tanganyika wanataka serikali tatu, akauuuza maoni ya wazanzibari na kuyachukua ya watanganyika na kuwapa 3.

Juzi alipohojiwa Warioba alisema kwamba katiba ya tanganyika inawezekana kuandikwa ndani ya miezi mitatu kwani maoni mengi ambayo waliopendekeza katika katiba ya muungano yamo mule ina mana ya wazanzibari hayamo.

Jengine zaidi munasema kwamba wazanzibari munawabeba kwa kutumia muungano, sasa jee kwanini munang'ang'ania kuwalazimisha katika huu mungano, si mutawache tupumue , mutapungunguza gharama kubwa za kuendesha muungano kama vile munavyo sema, kwa nini kunazidi kuilazimisha zanzibar kubaki katika muungano.

:sad::sad::sad::sad:
 
huu ujinga mengine. Ndio maana huwa nasema kuna haja ya kuverify wenye uwezo wa kuanzisha threads maana kuna uwezekano hizi ni akili za shule ya msingi
kamanda mtusi kwa tusi lingine mimi taarifa hizi nilikuwa nazo darasa la 3!
 
acha miropoko week ndo inaanza hivi Dr Salim,DIRIA hawa kwako sio wanzanzibar? au unataka watoke CUF
 
Back
Top Bottom