Hakuna mZanzibar aliwahi kushika nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya nje

Hakuna mZanzibar aliwahi kushika nafasi ya Uwaziri wa Mambo ya nje

Kwahiyo tatizo lako ni kwamba wazanzibari hawapati madaraka kwenye serikali ya Muungano? hilo tu. Na je unadhani nyie mnastahili madaraka zaidi ya watanzania wengine? Kwasababu kiukweli wananchi wengi tuliozaliwa baada ya Muungano kwa huku Tanganyika tunajiona kama Watanzania zaidi kuliko "ubara" au "utanganyika" .
 
Ahmed hassan Diria- alikuwa Mzanzibari na ameshashika uwaziri wa Mambo ya Nje

Amina Salum Ali- amewahi kuwa Waziri wa Nchi- Ushirikiano wa Kimtaida

aidha kila mara manaibu waziri wa mambo ya Nje kutoka Zanzibar wamekuwepo- Dk Abdulkadir Shareef, Balozi Seif Ali Idi, Dk.Mahadhir Juma,,

Hata Dr Salim Ahmed Salim eshawahi kuwa WMN......unless Wapemba sio Wazanzibari

Positions held in Tanzania:


  1. Chief Editor of a Zanzibar daily paper, Secretary General of the All-Zanzibar Journalists Organisation 1963–1964
  2. Minister for Foreign Affairs 1980–1984
  3. Prime Minister of Tanzania 1984–1985
  4. Deputy Prime Minister of Tanzania 1986–1989
  5. Minister for Defence and National Service 1986–1989
  6. President of the Julius K. Nyerere Foundation 2001 – current
 
Ni shida sana kubishana na mtu anayetoa maoni kulingana na alivyosikia na si anavyojua. Yaani alisikia kwenye mihadhara ya masheikh kuw hakuna mzanzibar aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje.
Lakini pia mkumbuke utafika wakati wapemba sasa wataanza kutaka chao Zanzibar hapo ndipo waunguja mtakapojua kuwa nyinyi ndio wajanja kuliko sisi au sisi ni wajanja kuliko nyinyi. Na lakini Pia hatujasahau mlivyokuwa mkitutumia vipeperushi mkitutaka wafanyabiashara wa kipemba tuondoke Unguja. Cha muhimu zaidi na wanachokitaka wazanzibari wengi (hasa wapemba) ni kuuboresha muungano kwanza kuwe na serikali 3 au kama ni mbili kila moja ijitegemee na kuwe na ushirikiano fulani na si kuuvunja muungano ghafla hivyo. Sasa nyi mnaotaka zanzibar yenu mjue mtaipata na kutupa Pemba yetu mmetunyonya sana wapemba kwanza nyi ni wavivu wapemba ni wachakarikaji.
 
Mselem2013 - wewe ni Bonge la boya na ni mvivu wa kufikiria wewe
Mambo ya Pemba na unguja yameisha zamani name watu wameridhiana sahivi na ndio maanakuna GNU wewe acha mambo yako ya kiubaguzi na jua kua dhambi hii tumeigundua tulikua tunaifanya coz tulipandikizwa na wasiopenda maendeleo yetu na sidhani kama ni mpemba halisi ww usingefanya dharau kwa masheikh Mimi ni mpemba tena wa pandani ila sijawahi msikia mpemba yeyote mwenye idiot idea kama ya kwako ----en on it ! ! ! ! !
 
Mselem2013 - wewe ni Bonge la boya na ni mvivu wa kufikiria wewe
Mambo ya Pemba na unguja yameisha zamani name watu wameridhiana sahivi na ndio maanakuna GNU wewe acha mambo yako ya kiubaguzi na jua kua dhambi hii tumeigundua tulikua tunaifanya coz tulipandikizwa na wasiopenda maendeleo yetu na sidhani kama ni mpemba halisi ww usingefanya dharau kwa masheikh Mimi ni mpemba tena wa pandani ila sijawahi msikia mpemba yeyote mwenye idiot idea kama ya kwako ----en on it ! ! ! ! !

Kwanza nashkuru kwa kukiri kwako na hiyo tu imedhihirisha nilichokisema sikuropoka. Pili wewe una shida hata kama shekh anakosea we unaitika na ndio nyinyi wavivu wakutafuta ilmu mnaona kama mtakuwa mnakufuru mkichimbua mmambo kw undani. We unasema kwa kuwa halikukugusa tofauti hizi za kibaguzi zikishaanza hazitaisha milele hata kama kulikuwa na usulihishi basi ujue huo usulihishi ni wa kufunika kombe tu kama we ni mpemba halisi hebu niambie mchango wa Pemba na wapemba katika uchumi wa Zanzibar halafu niambie Pemba kuna bandari ngapi za kimataifa, niambie Pemba kuna barabara ngapi za rami, niambie pemba kuna hospitali ngapi za rufaa au hospitali zilizopo zimejengewa uwezo kiasi gani, Pemba kuna vyuo vikuu vingapi, Pemva kuna advance secondary schools ngapi?? Majibu utakayoyapata ndo utajua nani mvivu wa kufikiri. Na pia ujue tu hata Sudan Kusini wakati wanadai nchi yao kwa Sudan Kaskazini kuna baadhi ya mambo waliyaweka pembeni. Wapemba walio wajanja walishashtukia mchezo wenu (nyi waunguja) mnajifanya sasa hiv sisi ndugu zenu ila baadae mtaendelea kutugeuka ili mtutawale vizuri na ndio maana harakati hizo za zote za kupinga muungano mnazifanya Unguja ili baadae mje kusema wakati tunapigania uhuru Pemba hamkuhusika si ndio. Hatoki mtu kwenye muungano kama mnaweza anzisheni nchi yenu msituambukize ubaguzi....
Jipange sana si kila mtu anayechangua kwenye mtandao wa kijamii anaropoka kuna wengine wana taarifa za kina kutoka vyanzo nyeti....
 
Baadaya ya Ahemed salim hao wengine walikuwa manaibu tu, huoni kwamba hamuleta balance katika muungano ? Kwanini nyinyi munapenda kujifanya big brother ? Huyo Ahmed salim mbona hamukumpa kugombania Urais wa Muungano ? Wabaguzi tu juu ya wanzanzibari munawapa madaraka watu ambao munawatumia kwa maslahi yenu binafsi.

kweli mfa maji haachi kutapatapa si ulisema hakuna mzanzibari amewahi kuwa waziri wa mambo ya nje umetajiwa umeanza kuweka visingizio visivyo na msingi wowote
 
Back
Top Bottom