rasimu ya pili ya katiba ya jamuhuri ya muungano wa tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
Kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na mambo ya nje, haya yote kushikwa na watanganyika ili zanzibar isifurukute.
Hii sio haki.
Eti Ameteleza kidogo!!! usimpambe kwa UJINGA NA UKANJANJA WAKE. Sipendi tabia ya hawa jamaa, Ipo siku watasema" mbona sisi hatuna RELI YA KATI hapa Unguja kama ile ya Dar-Kigoma.Mkuu Ghibuu leo naona umeteleza kidogo ndugu yangu. Waombe mods wafute tu hii thread haiwakilishi upeo wako mkuu.
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.
Hii sio haki.
Mimi huwa najiuliza hivi haya mambo ya kuleta huu usanii wa serikali 3, kwani tanganyika bila ya Znz itakuwa watanganyika hamupati tena chakula chenu?
Sisi waznz hatuhitaji mambo yenu yasioleweka tunataka kila nchi ijitawale kivyake.
kama munataka ni muungano ambao uwe kwenye karatasi tuu "mkataba"
Hamutaki hivo tafuteni nchi nyengine muungane tumewachoka" Puuuu
Tanganyika ibaki na ardhi yake na sisi tubaki na wisiwa vyetu, nashangaa kwa nini watanganyika mnangangania muungano,bado mnakwenda kinyerere nyerere badilikeni mnapitwa na wakati, jinchi lenu kubwa basi hichi chetu kidogo kiacheni. Hapa bila Zanzibar yenye mamlaka kamili patachimbika, muulizeni Sitta, sisi vijana wakizanzibar hatukubali dhulma mara hii "under our dead bodies"
Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.
Hii sio haki.
Tanganyika ibaki na ardhi yake na sisi tubaki na wisiwa vyetu, nashangaa kwa nini watanganyika mnangangania muungano,bado mnakwenda kinyerere nyerere badilikeni mnapitwa na wakati, jinchi lenu kubwa basi hichi chetu kidogo kiacheni. Hapa bila Zanzibar yenye mamlaka kamili patachimbika, muulizeni Sitta, sisi vijana wakizanzibar hatukubali dhulma mara hii "under our dead bodies"
Mbona mnapenda kukurupuka? Kwani Salim A. Salim na Hassan Diria siyo Wazanzibar?...
Kwani wewe kabila gani? Mswahili au?Miaka 50 ya muungano wazanzibari wanne tu walio shika nafasi hio ? Salim ahmed salim peke yake ndie alikuwa waziri kamili, hao wengine wote walikuwa manaibu waziri tu ?
Bado hakukuwa na balance katika huu muungano. Kwa upande wa urais wa muungano vile vile hakutokea mzanzibari kuwa rais wa muungano, Ali hassan Mwinyi sio mzanzibari wa kuzaliwa zanzibar ni mkaazi tu,kwao munakujua.
Wacha porojo mzee,Rasimu ya pili ya katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania imechukua mambo saba ya muungano.
kati ya hayo ni mambo ya nje, ambalo wazanzibari wanapigania mamlaka kamili na nje na ndani, katika rasimuu hii ya pili haijatamka mgawavyo wa madaraka, na inaonekana ina usanii mkubwa katika kuidhulumu zanzibar, katika urais na Mambo ya nje, haya yote kushikwa na Watanganyika ili zanzibar isifurukute.
Hii sio haki.