Mchezo wa mpira ni mchezo wa furaha,upendo, utani mwingi pamoja na tambo za hapa na pale za kishabiki hili kunogesha ushindani kwanzia ndani mpaka nje ya uwanja.
Ila sasa kuna mashabiki WUPUMBAVU, WASIOKUWA NA HAYA,WALIOJAZA VINYESI BADALA YA UBONGO KATIKA VICHWA VYAO, WALIOJAMPWA NA MAMA ZAO BADALA YA KUZALIWA, WALIOKUZWA NA WASIMBE NA HAWANA NA CHEMBE YA KISTAARABU KAMA WEWE HAPO unaejiita sergio5, ndio mnafanya mpira uonekane ni mchezo wa chuki na unashabikiwa na walevi.
Comment yangu inaweza kuwa ni ya kipuuzi sawa kwa kumfananisha Sergio na hamis tambwe lakini hizo ni kauli za kawaida katika ushabiki, lakini sasa kitendo cha wewe kunitusi tena ukiwa nje kabisa ya mada, seriously ni kitendo ambacho hakivumiliki kwangu, ngoja nikwambie naujua vizuri kuliko nyie mashabiki mbuzi msiojua Ku handle mjadala kistaarabu! Sina haja ya kukwambia ground za comment yangu KUNGURU wewe sababu haustahili.