Hakuna namna, Wamasai lazima wakubali kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao

Hakuna namna, Wamasai lazima wakubali kuondoka Ngorongoro kwa hiari yao

Uhuni mtupu. Muwape tu waarabu ardhi na huko muwauzie pembe zote zilizooneshwa royal tour.
Ngorongoro tunawapa wawekezaji na huko Pemba tunakodisha tu mkuu
 
Akili yako haina akili! wewe ungekubali kuhamishwa kwenu huko Nakapanya na Kintinku?! Wamasai wako malaki ya binadamu, makazi nyumba 100 ndio kitu gani? Na kwa nini sasa, sio katika awamu ya 5?! uharaka ni wa nini, kwa nini tusitoe muda wa majadiliano na kuafikiana! Ngorongoro ni "multiple land use area", samahani kama nimekuacha wewe kayumba skuli! Ni eneo la matumizi mchanganyiko, binadamu na wanyama, leo kwa nini unawasukuma binadamu waondoke, wakati kuna zuio la mahakama ya afrika mashariki?! Ubabe wa nini? Ubabe ulimfikisha wapi magufuli? mbona kaacha kila kitu, uraisi uliokuwa unampa kiburi, familia yake, mali zake zote za halali na za dhuluma!
Maasai ni binadamu sio bidhaa, za kutumia na kutupa isipokufaa, Something needs to change in our politics; and that is The race for money and glory, and to focus on human governance. Nonsense!
Mwambie huyo chawa
 
Back
Top Bottom